Mbinu za kupata mke au mume

With all due respect kuna namna tunakwama sana hii race yetu.

Nitakutolea mfano, miaka miwili nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na mdada wa kijerumani, alikuwa ni doctor na ana miaka miwili tu toka ametoka amepata kazi.

Kuna wakati tulikuwa tunazungumza future yetu yule dada aliweka very clear kuwa hayupo kuingia kwenye ndoa within five yrs kutoka pale sababu kubwa anahitaji time kudevelop carrier yake na maisha kwa ujumla na ikitokea akafunga ndoa baada ya muda ule anahitaji kuenjoy maisha ya ndoa atleast miaka mitatu kabla hajafikiria kubeba ujauzito wa kwanza na by that time alikuwa na miaka 32 mi nikipiga hesabu zake hapo si chini ya miaka 8, nikaona mambo yasiwe mengi nikapita vilee.

Kiufupi wenzetu wanaplan na kuweka vipaumbele sana mipango ya maisha yao na ndoa mara nyingi inakuja baadae wakati kashaweka mambo yake sawa, sasa sisi wabongo hasa watoto wa kike kwanza ndoa wamechukulia kama kitega uchumi ama tool ya kutatua shida zao za kiuchumi ndio maana wengi wapo desperately, na expectations kibao.
Mimi nina kitu kimoja ambacho huwa nawaza sana huwa ninafikiri kama ambavyo tunatofautiana rangi za ngozi zetu na mionekano pia hata uwezo wa akili na kufikiri baina yetu ni tofauti kabisa.

Sisi kuweza kutofautiana kirangi pia kiakili hatupo sawa namna wanavyo fikiri wazungu na watu wa far east hasa wajapan, wakorea, wachina ni tofauti kabisa na uwezo wa kufikiri na kuona kiurefu mambo kadhaa tulio nao sisi watu weusi.

Bado ninaendelea kulifuatilia hili. Ila sisi ni tofauti kabisa na hao watu weupe sisi tunawaza vitu vyepesi vyepesi na vya hovyo muda mwingi hatupo focus hata viongozi wetu wana thibitisha hili.

Sisi watu weusi hatupo sawa kabisa kufikiri na hao watu weupe.
 
Mimi nina kitu kimoja ambacho huwa nawaza sana huwa ninafikiri kama ambavyo tunatofautiana rangi za ngozi zetu na mionekano pia hata uwezo wa akili na kufikiri baina yetu ni tofauti kabisa.

Sisi kuweza kutofautiana kirangi pia kiakili hatupo sawa namna wanavyo fikiri wazungu na watu wa far east hasa wajapan, wakorea, wachina ni tofauti kabisa na uwezo wa kufikiri na kuona kiurefu mambo kadhaa tulio nao sisi watu weusi.

Bado ninaendelea kulifuatilia hili. Ila sisi ni tofauti kabisa na hao watu weupe sisi tunawaza vitu vyepesi vyepesi na vya hovyo muda mwingi hatupo focused hata viongozi wetu wana thibitisha hili.

Sisi watu weusi hatupo sawa kabisa kufikiri na hao watu weupe.
Hahah mkuu, hili unalosema lina ukweli, lakini ni ukweli mchungu, huwa hatutaki hata kuusikia huo ukweli, na si ajabu wapo watakaokuja kukuattack kwa kuutoa huo ukweli hapa.


Lakini mimi nadhani hizo ni tofauti zitokanazo na misingi ya kimalezi na kimazingira, Mfano wapo watu waliotoka bongo wangali watoto ama umri wa chini na kwenda kukulia nje ya mazingira ya nchi zetu

Wengi wao huwa wanakuwa tofauti sana kwenye mambo kadha wa kadha, mfano vipaumbele vya maisha, savings & planning skills, confidence, privacy, discpline etc.


Kuna namna tunatakiwa kubadilisha mitazamo kwenye maisha ili vizazi vyetu vikuwe kwenye misingi hiyo.
 
Kwa sasa inahitajika mbinu nyingi ili kupata mke au mume.Mkibaki kusubiri kuchumbiwa au kuchumbia,mtazeeka bika kuoa au kuolewa.Sasa jaribuni mbinu hizi:
1.Msikae ndani wiki nzima,toka nje,kama kuna matamasha nenda,mikutano mbalimbali nenda,kila aina ya mikusanyiko unayoweza kwenda basi wewe nenda
2.mikutano au vikao vya kidini,nenda bila kukosa labda kama umesafiri au unaimwa.Kwenye hivyo vikao jitahidi kuongea usikae kimya
3.Kusali ni muhimu sana,kwa hiyo dini yako.Viongozi wako wa kidini wafanye kuwa marafiki na uwe muumini mzuri,mwenye nidhamu kubwa maana huwa wanaombwa sana kuwatafutia wenza
4.Kwa kuzingatia bajeti yako toka kwenye pub mwisho wa wiki hata kama hunywi bia,nenda kanywe juice,kula nyama,ongea na watu,kubadilishana mawazo
5.Kuvaa vizuri,kila siku vaa vizuri bila kujali kama ni nguo za gharama,vaa kwa mpangilio na ni muhimu sana kuvaa viatu vizuri kila siku.
6.Dating sites jiandikishe na kujaribu bahati yako pia huko,hapa pia zingatia bajeti yako maana zingine ni za kulipia
7.Usiogope kuongea na marafiki zako kuulizia kama kuna mtu anatafuta mke au mume,na ukiwajua nenda kaongea nao kuonesha utayarifu wako kuoa au kuolewa
8.Tengeneza vigezo vyako vya mume au mke unayemtaka,ili iwe rahisi kuchagua
9.Shiriki mazishi kadri unavyopata nafasi na uwe umevaa kiheshima
10.Shiriki jogging mbalimbali ambazo hutangazwa na huko jichanganye na watu wa kila aina
11.Chagua timu ya mpira moja uishabikie na uwe unaenda viwanjani na uwe umevaa vizuri
12.Siku zote uwe msafi kwa mwili na nguo,usinuke mdomo,kikwapa na jasho kwani hiyo itakunyima mke au mme
13.Chunguza uwajue ni wanawake wepi au wanaume ambao hawajaoa au kuolewa,ukiwajua fanya urafiki nao mpaka umpate mmoja ambae unaweza kuongea nae
14.Jitahidi sana kutotembea na wanawake hovyohovyo au wanaume hovyohovyo,usimvulie kila mtu auone uchi wako
15.Jifunze sex vizuri,uwe na stamina,na mbinu nyingi za kujamiiana,ili unapopata mpenzi umpe manjonjo ya hatari
16.Fanya urafiki hapo mtaani unapokaa na wazazi ambao wana watoto wa kike na kiume ambao hawajaoa au kuolewa ili uwaambie upo tayari kuoa au kuolewa
17.Jitahidi sana kuongea kwa hadhari kila unapopata fursa kuongea
18.Sali kila siku kuomba Mola wako akupe mme au mke
19.Usisite kuja inbox kupata usaidizi uoe au uolewe na ni bure
Msikae ndani kusubiri,tokeni
20.Kwa wanawake jitahidi sana usizae nje ya ndoa
Kwa mwanamume hayo yote hayahitajiki inatakiwa HELA TU
 
Hahah mkuu, hili unalosema lina ukweli, lakini ni ukweli mchungu, huwa hatutaki hata kuusikia huo ukweli, na si ajabu wapo watakaokuja kukuattack kwa kuutoa huo ukweli hapa.


Lakini mimi nadhani hizo ni tofauti zitokanazo na misingi ya kimalezi na kimazingira, Mfano wapo watu waliotoka bongo wangali watoto ama umri wa chini na kwenda kukulia nje ya mazingira ya nchi zetu

Wengi wao huwa wanakuwa tofauti sana kwenye mambo kadha wa kadha, mfano vipaumbele vya maisha, savings & planning skills, confidence, privacy, discpline etc.


Kuna namna tunatakiwa kubadilisha mitazamo kwenye maisha ili vizazi vyetu vikuwe kwenye misingi hiyo.
Kidogo nimebahatika kuishi na hao watu wa far east hasa wachina, wajapan na wakorea so kuna vitu vingi sana nili gundua kuhusu malezi kutoka kwao unayosema ni kweli kuhusu malezi hapa tunakwama sana kuandaa kizazi bora
 
Kidogo nimebahatika kuishi na hao watu wa far east hasa wachina, wajapan na wakorea so kuna vitu vingi sana nili gundua kuhusu malezi kutoka kwao unayosema ni kweli kuhusu malezi hapa tunakwama sana kuandaa kizazi bora
kabisa, kuna namna tunafail kama taifa. Kuna kila namna taasisi za familia kuwekeza nguvu kubwa katika hilo.
 
21.Kwa wanaume jitahidi usimzalishe mwanamke kama huna mpango naye. Unaongeza idadi ya singo maza, watoto ambao hawatapata malezi ya pamoja ya baba na mama ambayo ni hatari kwa afya yao ya akili na ukuaji kimwili na kiroho.
📌📌
 
Kwa sasa inahitajika mbinu nyingi ili kupata mke au mume.Mkibaki kusubiri kuchumbiwa au kuchumbia,mtazeeka bika kuoa au kuolewa.Sasa jaribuni mbinu hizi:
1.Msikae ndani wiki nzima,toka nje,kama kuna matamasha nenda,mikutano mbalimbali nenda,kila aina ya mikusanyiko unayoweza kwenda basi wewe nenda
2.mikutano au vikao vya kidini,nenda bila kukosa labda kama umesafiri au unaimwa.Kwenye hivyo vikao jitahidi kuongea usikae kimya
3.Kusali ni muhimu sana,kwa hiyo dini yako.Viongozi wako wa kidini wafanye kuwa marafiki na uwe muumini mzuri,mwenye nidhamu kubwa maana huwa wanaombwa sana kuwatafutia wenza
4.Kwa kuzingatia bajeti yako toka kwenye pub mwisho wa wiki hata kama hunywi bia,nenda kanywe juice,kula nyama,ongea na watu,kubadilishana mawazo
5.Kuvaa vizuri,kila siku vaa vizuri bila kujali kama ni nguo za gharama,vaa kwa mpangilio na ni muhimu sana kuvaa viatu vizuri kila siku.
6.Dating sites jiandikishe na kujaribu bahati yako pia huko,hapa pia zingatia bajeti yako maana zingine ni za kulipia
7.Usiogope kuongea na marafiki zako kuulizia kama kuna mtu anatafuta mke au mume,na ukiwajua nenda kaongea nao kuonesha utayarifu wako kuoa au kuolewa
8.Tengeneza vigezo vyako vya mume au mke unayemtaka,ili iwe rahisi kuchagua
9.Shiriki mazishi kadri unavyopata nafasi na uwe umevaa kiheshima
10.Shiriki jogging mbalimbali ambazo hutangazwa na huko jichanganye na watu wa kila aina
11.Chagua timu ya mpira moja uishabikie na uwe unaenda viwanjani na uwe umevaa vizuri
12.Siku zote uwe msafi kwa mwili na nguo,usinuke mdomo,kikwapa na jasho kwani hiyo itakunyima mke au mme
13.Chunguza uwajue ni wanawake wepi au wanaume ambao hawajaoa au kuolewa,ukiwajua fanya urafiki nao mpaka umpate mmoja ambae unaweza kuongea nae
14.Jitahidi sana kutotembea na wanawake hovyohovyo au wanaume hovyohovyo,usimvulie kila mtu auone uchi wako
15.Jifunze sex vizuri,uwe na stamina,na mbinu nyingi za kujamiiana,ili unapopata mpenzi umpe manjonjo ya hatari
16.Fanya urafiki hapo mtaani unapokaa na wazazi ambao wana watoto wa kike na kiume ambao hawajaoa au kuolewa ili uwaambie upo tayari kuoa au kuolewa
17.Jitahidi sana kuongea kwa hadhari kila unapopata fursa kuongea
18.Sali kila siku kuomba Mola wako akupe mme au mke
19.Usisite kuja inbox kupata usaidizi uoe au uolewe na ni bure
Msikae ndani kusubiri,tokeni
20.Kwa wanawake jitahidi sana usizae nje ya ndoa
Nitakucheki dm mkuu
 
Silaha moja kubwa sana ya kuolewa ni dini ukiacha bahati, hivyo jichanganye huko kwenye masuala hayo ya imani hasa wakristo na haitakuchukua muda kujitafuta.

Sababu ni kuwa utamwomba Mungu akupe mke au mume mwema, utakuwa unajifunza namna sahihi ya kupunguza tabia zisizofaa, pia utakutana watu ambao mnafanana mitazamo.

Kama Mwanamke unadate na mwanaume kuanzia 28+ na bado hajaoa, kuwa nae makini sana kwani umri huo na kuendelea huwa wanaanza kutafuta jiko na yoyote mwenye tabia zinazomfaa huamua kujicommit naye, na haimaanishi akikutana na mwingine hawezi kubadili msimamo ila una chances kubwa sana kumteka. Hivyo kuwa real.
 
Silaha moja kubwa sana ya kuolewa ni dini ukiacha bahati, hivyo jichanganye huko kwenye masuala hayo ya imani hasa wakristo na haitakuchukua muda kujitafuta.

Sababu ni kuwa utamwomba Mungu akupe mke au mume mwema, utakuwa unajifunza namna sahihi ya kupunguza tabia zisizofaa, pia utakutana watu ambao mnafanana mitazamo.

Kama Mwanamke unadate na mwanaume kuanzia 28+ na bado hajaoa, kuwa nae makini sana kwani umri huo na kuendelea huwa wanaanza kutafuta jiko na yoyote mwenye tabia zinazomfaa huamua kujicommit naye, na haimaanishi akikutana na mwingine hawezi kubadili msimamo ila una chances kubwa sana kumteka. Hivyo kuwa real.
ni kweli ila kuna wengine hufikisha huo muda na bado wanatafuta na hawajapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
With all due respect kuna namna tunakwama sana hii race yetu.

Nitakutolea mfano, miaka miwili nyuma nilikuwa kwenye mahusiano na mdada mmoja wa kijerumani, alikuwa ni doctor na ana miaka miwili tu toka amepata kazi.

Kuna wakati tulikuwa tunazungumza future yetu yule dada aliweka very clear kuwa hayupo tayari kuingia kwenye ndoa within five yrs kutoka pale sababu kubwa anahitaji time kudevelop carrier yake na maisha yake kwa ujumla (personal life) na ikitokea akafunga ndoa baada ya muda ule anahitaji kuenjoy maisha ya ndoa atleast miaka mitatu kabla hajafikiria kubeba ujauzito wa kwanza na by that time alikuwa na miaka 32 mi nikipiga hesabu zake hapo si chini ya miaka 8 hiyo mipango yake mpaka aje kunizalia nikaona mambo yasiwe mengi nikapita vilee.

Kiufupi wenzetu wanaplan na kuweka vipaumbele sana mipango ya maisha yao na ndoa mara nyingi inakuja baadae wakati kashaweka mambo yake sawa, sasa sisi wabongo hasa watoto wa kike kwanza ndoa wamechukulia kama kitega uchumi ama tool ya kutatua shida zao za kiuchumi ndio maana wengi wapo desperately, na expectations kibao.
tofauti ya kiutamaduni baina ya hao na sisi ni kubwa,tuna tofauti za kidini pia ambazo kwetu zinatutaka kuoana,sio kuzini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" Mimi ni mtu mzima nina akili ndiyo maana nimetoka,
mambo ya kuniletea ushauri kwenye penzi unanikosea "
😳😳😳
 
Back
Top Bottom