Mbinu ya kuangusha noti bila mteja kujua

Mbinu ya kuangusha noti bila mteja kujua

Under-cover

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
2,211
Reaction score
3,517
Pale Ubungo Plaza nilifanyiwa hivyo mara ya kwanza....nikasema poa ngoja na kesho nije nione ...ikawa yale yale...

Nikaa siku mbili nikaenda tena na laki mbili nikafika dirishani kwa yule dada nikaanza kumpa noti moja bada ya nyingine nikamwambia tunahesabu kwa pamoja akataka azuie nikamwambia nadhani unanikumbuka juzi na jana kila nikikupa hela unaniambia imepungua elfu 10 ...au unataka nipige kelele! Akawa mpooole kimyaaa nikahesabu moja moja huku anaonyesha ushirikiano wa kutosha kabisa.
 
Mchezo wa ma cashier wa CRDB.
Wengine hawataki kupandishwa vyeo wanataka wabaki na ukeshia waendelee kuwaibia watu.
CRDB Mbezi mwisho jirekebisheni.
Kuna mashine zinabakiza elfu 20 ndani unakuta anainua mfuniko anatoa halafu anaendelea ila pake hesabu inasoma 100 lakini mbili zinakuwa ndani tena bank kabisa
 
Pale Ubungo Plaza nilifanyiwa hivyo mara ya kwanza....nikasema poa ngoja na kesho nije nione ...ikawa yale yale...

Nikaa siku mbili nikaenda tena na laki mbili nikafika dirishani kwa yule dada nikaanza kumpa noti moja bada ya nyingine nikamwambia tunahesabu kwa pamoja akataka azuie nikamwambia nadhani unanikumbuka juzi na jana kila nikikupa hela unaniambia imepungua elfu 10 ...au unataka nipige kelele! Akawa mpooole kimyaaa nikahesabu moja moja huku anaonyesha ushirikiano wa kutosha kabisa.
Haha! Safi sana mkuu..
 
Pale Ubungo Plaza nilifanyiwa hivyo mara ya kwanza....nikasema poa ngoja na kesho nije nione ...ikawa yale yale...

Nikaa siku mbili nikaenda tena na laki mbili nikafika dirishani kwa yule dada nikaanza kumpa noti moja bada ya nyingine nikamwambia tunahesabu kwa pamoja akataka azuie nikamwambia nadhani unanikumbuka juzi na jana kila nikikupa hela unaniambia imepungua elfu 10 ...au unataka nipige kelele! Akawa mpooole kimyaaa nikahesabu moja moja huku anaonyesha ushirikiano wa kutosha kabisa.
Wewe kweli undercover
 
Pale Ubungo Plaza nilifanyiwa hivyo mara ya kwanza....nikasema poa ngoja na kesho nije nione ...ikawa yale yale...

Nikaa siku mbili nikaenda tena na laki mbili nikafika dirishani kwa yule dada nikaanza kumpa noti moja bada ya nyingine nikamwambia tunahesabu kwa pamoja akataka azuie nikamwambia nadhani unanikumbuka juzi na jana kila nikikupa hela unaniambia imepungua elfu 10 ...au unataka nipige kelele! Akawa mpooole kimyaaa nikahesabu moja moja huku anaonyesha ushirikiano wa kutosha kabisa.
Ni sawa ila siku nyingine uwe na huruma as a Gentl, jua kali pesa hakuna wadada wakale wapi
 
Nishatapeliwa NMB mwaka 2019 nilienda na laki moja na nusu kufanya malipo akazipokeq akanirudishia yule dada wa dirishani
Kaniambia nkalipie kwa wakala

Kufika huko nahesabu nakuta laki na elfu arobaini

Nilileta uzi humu

Niliona noma kwenda kuidai maana kuna ulinzi wangeniitia polisi
 
Back
Top Bottom