Lisinopril
Member
- Mar 2, 2024
- 5
- 9
Hatar na nusu2. Mbinu ya pili maarufu ni kuzidisha mahitaji ya vifaa halafu kama anaenda yeye kuvifata anachukua vya idadi husika ...vingine anabeba hela.....ukienda wewe kuvifata ..atavitafutia wateja site...
Hatar na nusu2. Mbinu ya pili maarufu ni kuzidisha mahitaji ya vifaa halafu kama anaenda yeye kuvifata anachukua vya idadi husika ...vingine anabeba hela.....ukienda wewe kuvifata ..atavitafutia wateja site...
Msimamizi mwaminifu wa kazi zako, nenda kasimame mbele ya kioo cha dressing table yako na utakayemuona mbele yako ndiye mtu sahihi.usije mwaga ubongo wa mtu tukusome magazetini mbinu ni kusimamia tu kikamilifu, ukubali kupigwa kidogo
Hivi hakuna kampuni zilizosajiliwa rasmi kusimamia shughuli za ujenzi? Hii ni fursa nzuri sana basi tukutoaminiana
Mimi nimeezeka juzi fundi alichonifanyia. Yani kanifanya nenunua bati kwa sqm na zimebaki bati za zaidi ya milioni. Sijui alitaka azipige.Kuorodhesha idadi kubwa zaidi ya vinavyohitajika
Kuelekeza ununuzi wa material katika maduka wanayojua wao
Ujenzi nafanya nikiwa likizo tu,kila kitu nanunua mwenyewe fundi akiniagiza cement mifuko 30 mimi nanunua mifuko 20 tu,mbao 150 mimi nanunua mbao 100 halafu naangalia kama itatosha isipotoshea ndio naagiza mingine. Nafanya hivi kwa sababu mafundi wetu wengi hawajui makadilio walishawahi kuninunulisha mabati 200 zikatumika bati 140 tu 60 zikabaki
Hahaha.........ikitokea hivyo ni kumbana fundi arejeshe vifaa vyako alivyoiba ama kutomlipa hela yake ya mwisho ya kaziusije mwaga ubongo wa mtu tukusome magazetini mbinu ni kusimamia tu kikamilifu, ukubali kupigwa kidogo
Hivi hakuna kampuni zilizosajiliwa rasmi kusimamia shughuli za ujenzi? Hii ni fursa nzuri sana basi tukutoaminiana
Hakika ww ni mtu makini mno. Ndio wanataka ivyoNilimaliza kupauwa...fundi nlkuwa nae bega kwa bega....sasa namsindkza stend asepe zake ile nashka begi lake nakuta n zito sana...nkafungua zipu....oh...nakuta packet za misumali ya msauzi kaniibia nilichukua huku anaona....japo tuliendelea kuwa marafik..
Wa umeme sie alikuwa mstaarabu hakutupiga kabisa ila wa pvc, gutters, plaster ......nacheka kwa hurumaKupigwa ni lazima. Hizi mbinu nyingi wanatumia haswa kwa wanaofanya ujenzi kwa mara ya kwanza. Usikubali kufanya manunuzi maduka anayoshauri fundi. Lakini umakini mkubwa unahitajika kwenye manunuzi ya vifaa vya umeme. Hapa ndiyo unapigwa vibaya. Mimi nililetewa Main Switch ya laki 3 wakati dukani nimelipia Main Switch ya laki 8. Hii nilikuja kugundua baadaye sana baada y kucheki bei ya Main Switc niliyoletewa.
Wawekwe sehemu moja ila mafundi kiboko aisee akili zao wazijua waoKuliko viongozi wa serikali ?
Kweli aisee ina maana ukiwa na ujenzi uache kazi zote ni wewe na site tu, kuna ile huna idea ila upo tu km picha napo utapigwa tu, kiufupi bongo pagumu sanaMsimamizi mwaminifu wa kazi zako, nenda kasimame mbele ya kioo cha dressing table yako na utakayemuona mbele yako ndiye mtu sahihi.
Wengine wote, sijui kampuni, ndugu, rafiki na takataka zingine ni fekelo, utapigwa hadi uchakae.
Alitaka akupige au ulimbana akaona akutie hasara tuMimi nimeezeka juzi fundi alichonifanyia. Yani kanifanya nenunua bati kwa sqm na zimebaki bati za zaidi ya milioni. Sijui alitaka azipige.
Kuchelewa au kutokuja kwa siku kadhaa, maana yake ana dili lingine anajenga kwa tamaa zao wanataka kila mahali waoMbinu nyingine ni kuchelewa kuja site ilimradi siku za kazi zionekane ni nyingi ili mwisho wa siku akuletee kiswahili
Nipo tanga mkuu, hizo Bei ninazokuambia Ni za madukani na wala si za magendo.Cement ya elfu 14-15 umeipata wapi mkuu? Inaweza kuwa magendo hiyo. Bei aliyokutajia fundi wako ni sahihi kwa hali ya soko ya sasa.
Kuna umuhimu pia wa kujenga uhusiano mzuri na fundi ambao ndio utakuwa msingi wa uaminifu.
Heri kuingia mkataba na hizo kampuni kama unakuwa bize na majukumu mengine kuliko stress za mafundi wetu hawa wa kusimamia km watoto mwishowe unajikuta ushakuwa fundi maiko wa mchongoHahaha.........ikitokea hivyo ni kumbana fundi arejeshe vifaa vyako alivyoiba ama kutomlipa hela yake ya mwisho ya kazi
Zipo Kampuni zinafanya kazi ya Ukandarasi wa Ujenzi, kwahiyo unaweza kuzilipa kwaajili ya kukujengea
Hahaha .........ogopa sana Fundi MaikoHeri kuingia mkataba na hizo kampuni kama unakuwa bize na majukumu mengine kuliko stress za mafundi wetu hawa wa kusimamia km watoto mwishowe unajikuta ushakuwa fundi maiko wa mchongo
naomba kufahamu mbinu zilizotumika kukupia pia.Kwenye hii thread tutakuwa tuna share Mbinu za wizi za mafundi ujenzi ili kusaidia wale wanaotaka kujenga "wasipigwe ".
Wengi tumepigwa sana hadi kuzijua hizi mbinu.
Karibuni.