mindpower
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 1,049
- 1,214
- Thread starter
- #101
Sasa unakuta umechat nae mda mrefu na umemzoea kama ndugu yako, mapenzi motomoto kwa njia ya simu,Mbinu zote hizo, mimi naona mpumbavu ni mwanaume tu, Unaanzeje Kutoa hela ndefu Namna hiyo bila Kumuona mtu uso kwa uso, Haya ndiyo madhara ya mtu kuweka imani kwenye Picha, bila Kuonana na mhusika, Sikatai, Ni kweli ULaghai Upo, Lakini Mwingine Ni Wa Kijinga sana, yaani Kwenye Picha tu, mtu Unanyofolewa hele zote!!!
Siku anatengeza tatizo kisomi unatoboka mfukoni mpaka unanganikiwa
Tupeni mbinu tuzijue msilaumu sana