Mbinu wanazotumia wadada kuchuna buzi mitandaoni

Mbinu wanazotumia wadada kuchuna buzi mitandaoni

Mkuu hata wanaume wanajifanya ni KE wanaweka picha za wadada warembo, kisha wanayafanya hayo uliyoyasema
 
Kwanini mnafanya hivyo mkuu au ndo ajira ambazo wanawake wameamua kujiajiri

( )
Ndo mtaji huooo!
Yaani mdada ni rahisi sana kupata hela, ata asipokuomba directly!
Unakuta anakwambia kwa upendo tu!!! Jamani baby, nimefika nyumbani umeme umeisha na sina hela kabisa kwenye simu... Kuna kitu nilitaka tuongee ila tutaongea baadae simu inaisha chaji. Basi apo vidume kama vitano vinatuma elfu 10 ili ununue umeme!!!
 
Mkuu hata wanaume wanajifanya ni KE wanaweka picha za wadada warembo, kisha wanayafanya hayo uliyoyasema
Mwanaume hawez kunichuna bila kujua watanikamata wadada tu labda!
Yaani hata kicheko chake nisgundue, haipo hiyo!
 
[QUOTE="mindpower, post: 20206624, member]Jana tu nimechunwa elf90 kizembe, nmeamka nikaamua nipost huu Uzi nisaidiwe mbinu zngne niwe macho mbeleni![/QUOTE]
Mbinu huwezi zijua zote! Wengine wanakuja na njia ambazo kiubinadamu ni lazima tu utatoa pesa. Haswa ukiwa unafikiria na kichwa cha chini ndo kabisaaa!!! Unachunwa ki.fa.la.
 
Ndo mtaji huooo!
Yaani mdada ni rahisi sana kupata hela, ata asipokuomba directly!
Unakuta anakwambia kwa upendo tu!!! Jamani baby, nimefika nyumbani umeme umeisha na sina hela kabisa kwenye simu... Kuna kitu nilitaka tuongee ila tutaongea baadae simu inaisha chaji. Basi apo vidume kama vitano vinatuma elfu 10 ili ununue umeme!!!
Sawa mkuu hongera kwa wanawake kujifunza ujasilia Mali mpya kabisa ila kumbuka jasho la mtu haliliwi
 
Sawa mkuu hongera kwa wanawake kujifunza milia Mali mpya kabisa ila kumbuka jasho la mtu haliliwi

Wanaume na nyie mda mwingine mnakua kama mmelogwaa! Unakuta unamtumia msichana elfu 90 akati upo kwenu mama yako anatumia neti ya mbu ina matobo hatari!!! Au ndala zimebonyea hadi kutoboka mpaka kisigino kinagusa chini.
Muendelee tu kuchunwa kwa kweli!
 
[QUOTE="mindpower, post: 20206624, member]Jana tu nimechunwa elf90 kizembe, nmeamka nikaamua nipost huu Uzi nisaidiwe mbinu zngne niwe macho mbeleni!
Mbinu huwezi zijua zote! Wengine wanakuja na njia ambazo kiubinadamu ni lazima tu utatoa pesa. Haswa ukiwa unafikiria na kichwa cha chini ndo kabisaaa!!! Unachunwa ki.fa.la.[/QUOTE]
Nipen hizo mbinu zote mwanamke akija na mbinu za buz kizembezembe nimchase away faster!
 
Huyo mwanamke mmoja si ndio tunaemtafuta wanaume ila tunaishia kupgwa tu,
Huu Uzi si ndo umeanzia hapo
Tafuta kwa akili.. Usipelekwa na mihemuko... Wala ligi..

Wengi mnaumizwa pale unapoona mwanamke labda katoa post au picha basi... Kila mtu anataka aoneshe ujogoo wake nani zaidi... Ndiyo mnapopigwa hapo...
 
Mbinu huwezi zijua zote! Wengine wanakuja na njia ambazo kiubinadamu ni lazima tu utatoa pesa. Haswa ukiwa unafikiria na kichwa cha chini ndo kabisaaa!!! Unachunwa ki.fa.la.
Nipen hizo mbinu zote mwanamke akija na mbinu za buz kizembezembe nimchase away faster![/QUOTE]
Kua makini tu kutofautisha mwenye uhitaji wa kweli na mchunaji.
 
Wadau hata mimi jana tu nimepigwa na demu hivyohivyo kimtandao elfu 50 kama nauli, na hakuja, na mwaka jana alinipiga tena kama elfu70, lakini hakutokea,
Lakini huyo demu ni mzuri sana, najitahidi kumpotezea,
Nikiangalia picha zake tu naingia kingi, mpaka ananitumia video clip,

Lakini siku nimemdaka namfungia siku tatu.
 
Wanaume na nyie mda mwingine mnakua kama mmelogwaa! Unakuta unamtumia msichana elfu 90 akati upo kwenu mama yako anatumia neti ya mbu ina matobo hatari!!! Au ndala zimebonyea hadi kutoboka mpaka kisigino kinagusa chini.
Muendelee tu kuchunwa kwa kweli!
Kumlea mama ni kazi ya baba mi nikijisikia ndo nasaidia kidogo
 
Nipen hizo mbinu zote mwanamke akija na mbinu za buz kizembezembe nimchase away faster!
Kua makini tu kutofautisha mwenye uhitaji wa kweli na mchunaji.[/QUOTE]
Ni kazi Paprika mwenzio nalizwa daily nipe mambinu, Yale international
Mfano yale wewe unawaliziaga vibosile
 
Wadau hata mimi jana tu nimepigwa na demu hivyohivyo kimtandao elfu 50 kama nauli, na hakuja, na mwaka jana alinipiga tena kama elfu70, lakini hakutokea,
Lakini huyo demu ni mzuri sana, najitahidi kumpotezea,
Nikiangalia picha zake tu naingia kingi, mpaka ananitumia video clip,

Lakini siku nimemdaka namfungia siku tatu.
hahahhaha umenifurahisha sana mkuu
 
Wadau hata mimi jana tu nimepigwa na demu hivyohivyo kimtandao elfu 50 kama nauli, na hakuja, na mwaka jana alinipiga tena kama elfu70, lakini hakutokea,
Lakini huyo demu ni mzuri sana, najitahidi kumpotezea,
Nikiangalia picha zake tu naingia kingi, mpaka ananitumia video clip,

Lakini siku nimemdaka namfungia siku tatu.
Hii mbinu ya nauli naona ni kiboko, inapiga wengi
 
..Mfano nipo Barclay's bank, network down, nina shida ya dola mia 400, please nitumie nitakurudishia. Nimepata accident please my dear lak3 nahitaji, hapo mtu kaliwa Tayari..

Umtumie mtu Laki tatu...mtu uliyekutana nae kwenye mitandao na probably hujakutana nae physically? Akili yako itakuwa imekwenda likizo ndefu tena isiyo na malipo.
 
Back
Top Bottom