Mbinu mpya ya CCM; Tuwe makini

Chadema/Ukawa walishashtuka kitambo ndo maana inatumika "Mabadilikoooo... Lowasaaaaaa..., Lowasaaaaaaaa... Mabadilikooooo!!!" yeye aige tu. tena namshauri aite abadilishe na jina la chama chake aite CHADEMA

Siku hizi akihutubia lazima atie; PEOPLEEEESSSSS
 

Naamini maneno yako kiongozi
 
Hata wamlete docta mihogo na lipumba.hiyo mbinu haitosaidia kitu.tena ndio wataharibu zaidi.watu wameamua sasa hivi.na hakuna wa wa kuwarudisha nyuma.wanamtaka huyo huyo mgojwa.
 
Paul Alex

Mimi binafsi nakushukuru kwa hilo ila kwa slaa naona wamechelewa sana maana hakuna mtanzania anaye msikikiza tena slaa

Mi nitaanza kumsikiliza na kuzirudia hotuba zake ikiwa ni pamoja na kuzifanyia kazi kuanzia trh 26/10/2015
 
Hata wamlete docta mihogo na lipumba.hiyo mbinu haitosaidia kitu.tena ndio wataharibu zaidi.watu wameamua sasa hivi.na hakuna wa wa kuwarudisha nyuma.wanamtaka huyo huyo mgojwa.

Lowasa hadi ikulu hakuna breki
 
Tena mi naifurahia hii ya dr slaa kupanda majukwaani... mmm embu wamuweke kwenye hilo jukwaa...

Kwa jinsi ninavyo tazama misimamo ya mamilioni ya watanzania kudhamilia mabadiliko, slaa akipanda jukwaani kunadi sera za ccm watanzania watamshusha kwa mawe na makoota
 
Lowasa ndo anahitajika kwa sasa sana na waTanzania then oxygen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…