REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Hizi ni Tuhuma nzito lakini itapendeza kama chanzo chake sio mambo ya siasa bali ukweli.
chanzo chako lazima kiwe karibu sana na waliohusika na kadhia hii ama serikalini au kutoka vyombo unavyovituhumu....yamkini wewe ni mmoja wao uliosaliti
Ni heri awepo mtu kama huyu ambaye anawasaliti hawa mafisadi wajinga,kuliko anayesaliti
raia na kuwaua.