Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,080
- 10,436
Dah... Bado kuna mijinga inadhani watz wote ni wajinga....ifike mahala tuambiane ukweli..... Njooni na njia mbadala bora ya kukuza uchumi wetu...... tutawaelewa. Njooni na njia mbadala bora kuboresha huduma za kijamii tutawaelewa....huo ndiyo upinzani wa kweli tunaoulilia...wa kuwa na mawazo mbadala yaliyo bora kwa afya njema ya nchi yetu... . Lakini wajinga nyie wenye bei rahisi mnakomaa na vitu vya kijinga sana....ambavyo havina faida yoyote kwa watz.... zaidi ya kuwa neemesha wezi wa mali ya umma na wahalifu wanaoharibu akili za vijana...... Wenye akili WANAZIDI KUWADHARAU [emoji13] [emoji13]