Mbinu 10 zinazotumiwa na CCM kulinda madaraka

Tamaa ni kuacha Ukatibu Mkuu wa Taifa wa Chama chako na kuwa Balozi

Tamaa ni kukana msimamo wenu wa kumpa Ugombea Urais mtu mliekuwa mnamuita Fisadi

Tamaa ni kutangaza kususia uchaguzi wa Serikal za mitaa kwa kuwa si huru lakin mkaja kushiriki uchaguzi Mkuu wakati hakuna lolote lililoboreshw

Unahitaji mifano zaid ya Tamaa? Hapo sijaongelea Makamanda wa Covid 19 waliposaliti msimamo wa chama
... huo ni mtazamo wako usioakisi maana halisi ya neno tamaa. Kubadili mbinu za mapambano haijawahi kuwa tamaa! Katafute maana sahihi ya tamaa badala ya porojo! Mwenye tamaa ni yule aliyekabidhiwa jukumu la kutunga sheria na kanuni sawa kwa wote na kuzisimamia kwa haki lakini hataki kufanya hivyo kwa sababu wengine watafaidika au kumnyang'anya madaraka "yake".

Badala yake njia iliyobaki ni ukandamizaji usiozingatia haki. Unapowanyima wengine haki ya kutekeleza majukumu yao ya kikatiba lakini wewe unajifanyia upendavyo kwa kulindwa na dola hapo nani mwenye tamaa?
 
Tamaa ni kuacha Ukatibu Mkuu wa Taifa wa Chama chako na kuwa Balozi

Tamaa ni kukana msimamo wenu wa kumpa Ugombea Urais mtu mliekuwa mnamuita Fisadi

Tamaa ni kutangaza kususia uchaguzi wa Serikal za mitaa kwa kuwa si huru lakin mkaja kushiriki uchaguzi Mkuu wakati hakuna lolote lililoboreshw

Unahitaji mifano zaid ya Tamaa? Hapo sijaongelea Makamanda wa Covid 19 waliposaliti msimamo wa chama
Tamaa ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani matokeo yake sasa Nchi inaongozwa na wabunge ambao siyo chaguo la wapiga kura
 
1. Kesi za kubumba kama vile ugaidi, uhaini, kukamatwa na madawa ya kulevya, uhujumu uchumi n.k.
2. Kufunga watu bila kesi zenye mashiko (detention without trial - kumbuka mashehe wa Zanzibar);
3. Makosa ya mtandaoni na faini kubwa kubwa. TCRA ni agent wao mkubwa wa ukandamizaji.
4. Kutangaza watu si raia ili washindwe kuendelea kupigania haki;
5. Kuwanyang'anya leseni za biashara mawakili na kuwabambikiza kodi kubwa wafanya biashara;
6. Kuzuia mikutano, makongamano na maandamano kinyume na katiba. Wakati mwingine watu huambiwa wazi wakiandamana watavunjwa miguu au kuuliwa
7. Kutisha viongozi wa vyama kupitia ofisi ya msajili wa vyama na IGP
8. Kutumia ugaidi wa dola na uhalifu unaofadhiliwa na dola
9. Kutumia tume isiyo huru na kuing'ang'ania iendelee kusimamia uchaguzi
10. Kutetea katiba ya mwaka 1977 ili waendelee kuchakachua matokeo kupitia mamlaka makubwa ya rais.
Tanzania hakuna uchaguzi huru na haki tokea mwaka 1995
 
Back
Top Bottom