Polisi wengi wamepata vyeo kama pongezi ya walichoifanyia ccmMasoud ni very bright. Baadhi ya Polisi ni vibaraka wa CCM
Polisi wengi wamepata vyeo kama pongezi ya walichoifanyia ccmMasoud ni very bright. Baadhi ya Polisi ni vibaraka wa CCM
... huo ni mtazamo wako usioakisi maana halisi ya neno tamaa. Kubadili mbinu za mapambano haijawahi kuwa tamaa! Katafute maana sahihi ya tamaa badala ya porojo! Mwenye tamaa ni yule aliyekabidhiwa jukumu la kutunga sheria na kanuni sawa kwa wote na kuzisimamia kwa haki lakini hataki kufanya hivyo kwa sababu wengine watafaidika au kumnyang'anya madaraka "yake".Tamaa ni kuacha Ukatibu Mkuu wa Taifa wa Chama chako na kuwa Balozi
Tamaa ni kukana msimamo wenu wa kumpa Ugombea Urais mtu mliekuwa mnamuita Fisadi
Tamaa ni kutangaza kususia uchaguzi wa Serikal za mitaa kwa kuwa si huru lakin mkaja kushiriki uchaguzi Mkuu wakati hakuna lolote lililoboreshw
Unahitaji mifano zaid ya Tamaa? Hapo sijaongelea Makamanda wa Covid 19 waliposaliti msimamo wa chama
we sasa ndo mdau anayejua tatzo lililopo. iko wazi ...IF YOU WANT PEACE START A WARIla yote kwa yote ccm wamepata nguvu sababu ya uoga wa watz
Polisiccm ni Tawi la CCM kama ilivyokuwa uvccm11) Kuwatumia polisi kama ngao na kinga yao dhidi ya wapinzani.
Tamaa ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani matokeo yake sasa Nchi inaongozwa na wabunge ambao siyo chaguo la wapiga kuraTamaa ni kuacha Ukatibu Mkuu wa Taifa wa Chama chako na kuwa Balozi
Tamaa ni kukana msimamo wenu wa kumpa Ugombea Urais mtu mliekuwa mnamuita Fisadi
Tamaa ni kutangaza kususia uchaguzi wa Serikal za mitaa kwa kuwa si huru lakin mkaja kushiriki uchaguzi Mkuu wakati hakuna lolote lililoboreshw
Unahitaji mifano zaid ya Tamaa? Hapo sijaongelea Makamanda wa Covid 19 waliposaliti msimamo wa chama
Tanzania hakuna uchaguzi huru na haki tokea mwaka 19951. Kesi za kubumba kama vile ugaidi, uhaini, kukamatwa na madawa ya kulevya, uhujumu uchumi n.k.
2. Kufunga watu bila kesi zenye mashiko (detention without trial - kumbuka mashehe wa Zanzibar);
3. Makosa ya mtandaoni na faini kubwa kubwa. TCRA ni agent wao mkubwa wa ukandamizaji.
4. Kutangaza watu si raia ili washindwe kuendelea kupigania haki;
5. Kuwanyang'anya leseni za biashara mawakili na kuwabambikiza kodi kubwa wafanya biashara;
6. Kuzuia mikutano, makongamano na maandamano kinyume na katiba. Wakati mwingine watu huambiwa wazi wakiandamana watavunjwa miguu au kuuliwa
7. Kutisha viongozi wa vyama kupitia ofisi ya msajili wa vyama na IGP
8. Kutumia ugaidi wa dola na uhalifu unaofadhiliwa na dola
9. Kutumia tume isiyo huru na kuing'ang'ania iendelee kusimamia uchaguzi
10. Kutetea katiba ya mwaka 1977 ili waendelee kuchakachua matokeo kupitia mamlaka makubwa ya rais.