Mbinga: CCM chali, CHADEMA kidedea


powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Habari njema kwa wa Tz na watu wake..ukomboz unakaribia
 
Sii Komba alisema chadema haipo mbinga?kudadeki jeuri kwisha kazi.yeye aendelee kusinzia bungeni

Mwongo yule huko Lituhi anakotoka CHADEMA ipo, mm nafahamu hata kijiji alichokulia.Kwani tu kijiji kimoja na hana lolote.Kule walizarau kwa sifa za kijinga eti anawambia mmemwona jakaya kaja kwa sababu yake. Wakamuuliza inasaidia nn?
 


Du! umefurai ee?
 
Mama Bhoke? Ebhu reta ire kuku yote kwenye chyungu ture!! Hawa sichui wanawaitaga Peoples Power?! Sichui Chatema noooo!! CHADEMA! Wananipa purutani kweri!! Ha haaaaaaaaaa.....
Phiipooooooooooos?!
 
Haiwezekani ngoja nitumie mamlaka yangu!Nanihii we Chagonja no we Kova ah no we Tendwa,fungia Chadomo mara moja!.Inasababisha wananchi kuacha kuwapa "kula" chama tawala na hivyo kuleta vurugu kwenye mishipa ya damu na fahamu ya viongozi wa chama tawala na serikali!si mnamuona mh Kombe halali bungeni siku hizi?!hawana adabu kabisa hawa!
 
Chadema ndiyo chanzo cha wanafunzi kufeli. By Komba msinziaji


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

juzi Komba alijigamba bungeni kuwa kule kwao wameikataa Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…