tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Mbezi tanki bovu yavamiwa na mateja.
Mateja wavamia na kuwapiga mawe wafanyakazi wanaotengeneza barabara
Wakidai waachiwe mabomba ya maji yanangolewa ili waka yauze kama chuma
chakavu.Baada ya kukataliwa ikawa vita.
Na sasa hivi kuna polisi wa wengi wanalinda huku wakiwakamata mateja.
Mateja wavamia na kuwapiga mawe wafanyakazi wanaotengeneza barabara
Wakidai waachiwe mabomba ya maji yanangolewa ili waka yauze kama chuma
chakavu.Baada ya kukataliwa ikawa vita.
Na sasa hivi kuna polisi wa wengi wanalinda huku wakiwakamata mateja.