Mbezi Mwisho palivyonitoa ushamba

Mbezi Mwisho palivyonitoa ushamba

Wewe Bado
Hope mko salama

Nina muda mrefu sana sijapita Mbezi Mwisho nikiwa nadrive mwenyewe.

Sasa leo nmetoka Kibaha uelekeo ukiwa ni Tabata na lengo nipite hii njia ya Maramba Kinyerezi kisha Tabata. Nilipofika Mbezi Mwisho pale ile sijui niite ni round about au ni kitu gani.

Nimehangaika sana yani, mwisho wa siku nikafanikiwa baada ya mahangaiko mengi.

Ugeni na ushamba wa barabara hii umechangia lakini pia hapo kuna jambo itabidi lifanyike maana kinachotumika kwa madereva hapa ni uzoefu tu.

Serikali inaweza ona namna ya kuweka interchange hapo hapo
Wewe Bado ni mshamba na ushamba haujakitoka
 
Pale Mbezi wapo sahihi Kwa sababu diversion inatengenezwa kulingana na mahali barabara zinazochepuka zilipo, kosa kubwa la Serikali na mamlaka husika ni kutoweka clear information pande zote za barabara unapoaproach hizo interchange.

Na Kwa jinsi palivyo complex Kwa mgeni zilitakiwa hata ziwepo kwenye mabango makubwa na kwenye Google map kuonyesha ramani nzima .....

Sasa sijui tukifika huku itakuwaje

View attachment 2504112

View attachment 2504113
Hapa mkuu unaeza zunguka siku nzima mpaka mafuta yakuishie na bado usijue njia ya mguu kuelekea petrol station ni wapi.
 
Kama unatokea Goba unaweza pia kuvuka daraja la kwanza then ukakata kushoto, utazunguka ile round about ya zamani, ukishaizunguka ukiwa kama unarudi Goba utaona kanjia mchepuko kushoto kwako kwa chini ukitambaa nacho kinakupeleka Malamba mawili, daraja la pili ulipopita kuzunguka kwa Yusuf mbali sana kule.
Pale pale mkuu huna haja ya kurudi nyuma kana unarudi goba ukizunguka ike round about fanya kama unaifata stand ya dala dala kuna kamchepuko kapo kushoto unashuka nacho unaenda kutokea round about ya stand ya dala dala then round about ya maramba mawili nduki nene.
 
Daraja la kwanza kama unatokea goba ukifika kwenye round about wengi ujichanganya wanakata kulia,kulia atatokea stendi ya daladala kule ukiingia kutoka ni jero au atokee njia kutokea malamba mawili ambayo inaenda tu airudi,wazee wa fursa uwa wanajificha chini ya daraja pale na vest zao 🦺 ,ukijichanganya wanasema na wewe
Mkuu kwa mbele pale kuna kimchepuko kushoto ila ukiwa wenge sio rahisi kukiona kabisa mi ndio huwa nakitumiaga hicho.
Kimekaa kikuda kuda sana kile kimchepuko
 
Smartphone mnazo lakini hamtaki kuzitumia. Ukiona huelewi pale kwenye zile barabara tumia Google map!
 
Pole Mkuu.
Kweli kinachotumika hapo ni uzoefu.

Kama nakuona ulivyohangaika
Usipopita barabara ya magufuli terminal,ni mtihani kuikamata barabara ya Kinyerezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe tupo wengi, me pia kuna siku nimetoka njia ya Goba naenda Tabata..
Mbona jasho lilinitoka...
Sitaki hata kupasikia.
Panachanganya sana
Hapo hadi uzunguke hiyo r.about ya Goba,uwe kama unaenda magufuli Terminal,ukate kushoto uvuke daraja
Ndipo uipate barabara ya Malamba
Complications kama zote.

Mgeni hatoboi kiurahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwako tuu ni wengi tuu kwa mara ya kwanz lazm utulze kichw kdogo , au uzunguke mara mbili
 
Hope mko salama

Nina muda mrefu sana sijapita Mbezi Mwisho nikiwa nadrive mwenyewe.

Sasa leo nmetoka Kibaha uelekeo ukiwa ni Tabata na lengo nipite hii njia ya Maramba Kinyerezi kisha Tabata. Nilipofika Mbezi Mwisho pale ile sijui niite ni round about au ni kitu gani.

Nimehangaika sana yani, mwisho wa siku nikafanikiwa baada ya mahangaiko mengi.

Ugeni na ushamba wa barabara hii umechangia lakini pia hapo kuna jambo itabidi lifanyike maana kinachotumika kwa madereva hapa ni uzoefu tu.

Serikali inaweza ona namna ya kuweka interchange hapo hapo
hakuna vibao?
 
Ukikosa kile kinjia mchepuko unaenda mpaka juu kule,zunguka ile round about rudi tena kule chini
Mkuu kwa mbele pale kuna kimchepuko kushoto ila ukiwa wenge sio rahisi kukiona kabisa mi ndio huwa nakitumiaga hicho.
Kimekaa kikuda kuda sana kile kimchepuko
 
Back
Top Bottom