Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,179
- 3,103
Hope mko salama
Nina muda mrefu sana sijapita Mbezi Mwisho nikiwa nadrive mwenyewe.
Sasa leo nmetoka Kibaha uelekeo ukiwa ni Tabata na lengo nipite hii njia ya Maramba Kinyerezi kisha Tabata. Nilipofika Mbezi Mwisho pale ile sijui niite ni round about au ni kitu gani.
Nimehangaika sana yani, mwisho wa siku nikafanikiwa baada ya mahangaiko mengi.
Ugeni na ushamba wa barabara hii umechangia lakini pia hapo kuna jambo itabidi lifanyike maana kinachotumika kwa madereva hapa ni uzoefu tu.
Serikali inaweza ona namna ya kuweka interchange hapo hapo
Nina muda mrefu sana sijapita Mbezi Mwisho nikiwa nadrive mwenyewe.
Sasa leo nmetoka Kibaha uelekeo ukiwa ni Tabata na lengo nipite hii njia ya Maramba Kinyerezi kisha Tabata. Nilipofika Mbezi Mwisho pale ile sijui niite ni round about au ni kitu gani.
Nimehangaika sana yani, mwisho wa siku nikafanikiwa baada ya mahangaiko mengi.
Ugeni na ushamba wa barabara hii umechangia lakini pia hapo kuna jambo itabidi lifanyike maana kinachotumika kwa madereva hapa ni uzoefu tu.
Serikali inaweza ona namna ya kuweka interchange hapo hapo