BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Habari zenu wakuu,
Natoka mkoani nipo njiani nakuja Dar kufatilia ishu fulani St. Joseph nimeambiwa ipo Mbezi Mwisho, kwahiyo nataka nilale hapo Mbezi Mwisho ili kesho asubuhi nikiamka nishughulike na hiyo ishu.
Naombeni mniambie Lodge nzuri maeneo hayo ambayo naweza kupata kwa bei nafuu, nashukuruni sana.
Natoka mkoani nipo njiani nakuja Dar kufatilia ishu fulani St. Joseph nimeambiwa ipo Mbezi Mwisho, kwahiyo nataka nilale hapo Mbezi Mwisho ili kesho asubuhi nikiamka nishughulike na hiyo ishu.
Naombeni mniambie Lodge nzuri maeneo hayo ambayo naweza kupata kwa bei nafuu, nashukuruni sana.