malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,712
Wakuu nauliza Lodge gani nzuri na bei rahisi stend mpya ya Magufuli Bus Stand- Mbezi Mwisho
Natarajia kusafiri nakaa vikindu ndo nataka nikalale jirani nastendMmmh...uko safarini, au unatarajia kusafiri na huna pa kufikia nini??
Hapana nasafiri naenda mkoani sanatokea uku mbali vikindu nimeona Bora nkatafute lodge usiku huu jirani nastand tu ukoSwala zima la uchakataji
Hakuna mkuu Niko mjini naenda mkoa Sasa nakaa mbali kinoma vikindu huku sabora nkalele uko uko jirani nastendAtakua na abiria katoka nae Tunduma anataka akapige kimahasihara
Ndio mkuu"stendi ya magufuli bus standi"
Ndio mkuu..ndio Niko njiani naenda huko nambie nielekeze lodge nzuri Bei nafuu nkalale"stendi ya magufuli bus standi"
usisahau zana mkuuNdio mkuu..ndio Niko njiani naenda huko nambie nielekeze lodge nzuri Bei nafuu nkalale
Vikindu karibu hapo!!hadi ukalipie 15-20 ya chumba, labda kama una familia ,hapo vikindu unatoka saa 9, usiku magari yapo, saa 9.30, uko mbagala, na siku hizi magari ya mbezi yanaanza saa 9.00 kutokea mbagala.kumi na dk 45, upo mbezi.Natarajia kusafiri nakaa vikindu ndo nataka nikalale jirani nastend
Nakushauri uondoke Vikindu saa 7 kisha uingie Buguruni au Kariakoo kisha tafuta usafiri wa Mbezi utafika saa 10 alfajiri unazuga kidogo unazama kwenye ndinga, pale kuna vyoo mia mbili tu unapiga mswaki unasubiri wawashe basi saa kumi na moja unazamaHakuna mkuu Niko mjini naenda mkoa Sasa nakaa mbali kinoma vikindu huku sabora nkalele uko uko jirani nastend
Bei zake?Ruwaaikambe, iko nyuma tu ya stendi hauhitaji hata pikipiki kufika.
Nyingine Double M mwambie bodaboda akupeleke ni buku tu!
Kuna kyoro ila sio nzuri ya kiloko loko sana
Mbususu?Swala zima la uchakataji
Kwani kuna tatizo?"stendi ya magufuli bus standi"
Bei zake sizifahamu sana, ila hazitozidi bei za kizalendo. Itakuwa around 15k, double M kidogo ya kishua shua kimtindo inaweza kuwa juu kidogo ya hizo nyingine!!Bei zake?