Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Bado najiuliza kwanini mbezi kimara haina hata bank moja?
Inakuwaje Bank sinaegemea pande nyingine lakini sio kimara
Mbezi kimara ina watu wengi lakin haina bank ya kusadia wakzi wa huku
kufanya shughuli za kibenki
Inakuwaje Bank sinaegemea pande nyingine lakini sio kimara
Mbezi kimara ina watu wengi lakin haina bank ya kusadia wakzi wa huku
kufanya shughuli za kibenki