Ukipita maeneo ya Mbezi Luis asubuhi unaweza kusifu sana jitihada za serikali kuboresha mazingira na makazi yetu.
Ikifika jioni hali inabadilika wamachinga wanavamia stendi yote na maeneo yote ya waenda kwa miguu na kupanga bidhaa zao.
Je,serikali inafanya kazi mchana tu, kwani kuanzia jioni hakuna watumiaji wa barabara mpaka machinga waachiwe kurudi?
Kwa kurudi huku muda si mrefu hali itarudi kama awali. Kama wamepewa maeneo wabaki huko usiku na mchana sio kurudi rudi tena barabarani.
Ikifika jioni hali inabadilika wamachinga wanavamia stendi yote na maeneo yote ya waenda kwa miguu na kupanga bidhaa zao.
Je,serikali inafanya kazi mchana tu, kwani kuanzia jioni hakuna watumiaji wa barabara mpaka machinga waachiwe kurudi?
Kwa kurudi huku muda si mrefu hali itarudi kama awali. Kama wamepewa maeneo wabaki huko usiku na mchana sio kurudi rudi tena barabarani.