Arusha inaongoza kwa five star hotels sio guests house.Arusha,, hiyoo,,
Wachungaji wengine wapiga nyagi hatari,mfano yule mzee wa kupakaa.Ndo maana kuna wachungaji wengi wanatoka huko pia waimbaji wa nyimbo za injili.
Yana umuhimu mkuu hebu fikiria yasingekuwepo haya matukio si yangekuwa mara tatu ya hapo.Hayo madhehebu hayana maana . Maana huko Mbeya ndio number moja kwa maambukizi ya Ukimwi.....Maujaji ya albino na vikongwe...
duuh! aiseeeKuna kipindi walisema kuwa Mbeya inaongoza kwa kuwa na watu wengi wanaoishi na VVU kwa kuwa watu wengi ni maaskofu na wachungaji hivyo wanaona aibu kununua condom kwa nyadhifa zao!
Umejiuliza ni kwanini matukio hayo yatokee Mbeya kwenye makanisa mengi..?? Kwann maeneo ambayo hakuna utitiri wa makanisa vitendo hivyo hakuna...??Yana umuhimu mkuu hebu fikiria yasingekuwepo haya matukio si yangekuwa mara tatu ya hapo.
Ni kweli kabisa....Hawa tunawaita extremist. ..Ukiona mtu kalewa kilevi cha dini basi usishangae kumkuta ni mfitinishi na mtu aliepotoka haswa, Hatukatai kuabudu ili isiwe too much ivo inaleta utahira
Wewe ni mtu usiyejitambua. These are only two cases. Hakuna katika link ambapo Mkoa wa Mbeya umetajwa kuongoza kwa mauaji ya albino. Ni vema kusoma na ukaelewa. Ni vema pia kusoma with an open mind than with a closed one.Pita hapa..
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=http://www.brotherdanny.com/2015/06/waliomuua-albino-mwakalija-wa-mbeya-leo.html?m=1&ved=0ahUKEwitlJyp_svQAhXmIMAKHRORAzAQFghDMAo&usg=AFQjCNGp3ca8jilsettI1dweAHQAN3O6FQ
Jiridhishe na hapa..
https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&url=/amp/www.jamiiforums.com/threads/albino-afukuzwa-shule-jijini-mbeya-kwa-madai-kwamba-ni-mchawi.448063/%3Famp%3D1368070893&ved=0ahUKEwitlJyp_svQAhXmIMAKHRORAzAQFghUMA4&usg=AFQjCNGgG2VjKVCCuIKaMvCZIm3G2sIj1w
We ngedere acha ujinga weye!!! Mbeya inaongoza kwa mauaji ya vikongwe na albino....Wewe ni mtu usiyejitambua. These are only two cases. Hakuna katika link ambapo Mkoa wa Mbeya umetajwa kuongoza kwa mauaji ya albino. Ni vema kusoma na ukaelewa. Ni vema pia kusoma with an open mind than with a closed one.
You are no better than an ignorant.
Alafu pia inaongoza kwa wachungaji wengi MF lusekeloWe ngedere acha ujinga weye!!! Mbeya inaongoza kwa mauaji ya vikongwe na albino....
Hivi uchunaji wa ngozi ulikuwa Shy..??
I never knew I was responding to an insane. Kwa heri.We ngedere acha ujinga weye!!! Mbeya inaongoza kwa mauaji ya vikongwe na albino....
Hivi uchunaji wa ngozi ulikuwa Shy..??