MBEYA WING SPECIAL THREAD: hata kama hauko mbeya thread inakuhusu!!!

MBEYA WING SPECIAL THREAD: hata kama hauko mbeya thread inakuhusu!!!

dah! pc namsoma sana mzaz but roma simpati mi niko kota f.f.u!!!!!

Safi sana, Roma anakaa kota za magereza karibu na bwalo pale. Nilikua huko last July nimemiss sana kitaa aisee
 
Green city forest ya zamani hapa maeneo ya Mzumbe waungwana.
 
Forest ya zamani karibia na sabasaba ndio home.. Mbeya daima

Ilikuwa mitaa yangu hiyo enzi hizo nikiwa kijana...

In fwakti nilikuwa natughasya iforesiti ya zamani karibu na Mzee Tweve au Mama Bhughali ...
 
Ilikuwa mitaa yangu hiyo enzi hizo nikiwa kijana...

In fwakti nilikuwa natughasya iforesiti ya zamani karibu na Mzee Tweve au Mama Bhughali ...
watu8
Umenikumbusha kitu tofauti hapa!
 
Last edited by a moderator:
Ilikuwa mitaa yangu hiyo enzi hizo nikiwa kijana...

In fwakti nilikuwa natughasya iforesiti ya zamani karibu na Mzee Tweve au Mama Bhughali ...

Umeniua na in fwakti mkuu. Hiyo ndo mitaa yangu born&raised
 
Dah unanikumbusha kitaa mkuu chips za Anania, totoz za mzumbe na mambo kibao

Anania bado yupo km kawaida haaahaa jamaa fundi raia wanatoka mjini kufata chips pale tena kuna foleni ya totoz za mzumbe ni shidaaaa
 
Anania bado yupo km kawaida haaahaa jamaa fundi raia wanatoka mjini kufata chips pale tena kuna foleni ya totoz za mzumbe ni shidaaaa

Hahah safi sana, kaacha matusi maana yule jamaa anatukana balaa.. Nimedaka totoz kadhaa nikiwa pale
 
Anania bado yupo km kawaida haaahaa jamaa fundi raia wanatoka mjini kufata chips pale tena kuna foleni ya totoz za mzumbe ni shidaaaa

Gaga kadege yupo? Last time I met him comfort kitonga mwaka Jana aliniona akaniita kwa sauti kinoma katikati ya watu hadi aibu mzee
 
Gaga kadege yupo? Last time I met him comfort kitonga mwaka Jana aliniona akaniita kwa sauti kinoma katikati ya watu hadi aibu mzee

Haaahaa kwl ww mkongwe duh,Gaga anapatikana Tunduma mara nyng ukifika pale Bonanza ni wageni 2pu wengi wametawanyika.
Anania hawezi kuacha matusi tena kaweka tangazo "mteja kwetu mfalme usisikikize maneno ya Anania" haaahaaa
 
Hahah nakumbuka hilo tangazo, kile kibanda toka 90s kiko vile vile wateja wanaongezeka ila hamna mabadiliko ya mazingira. Bonanza sijaingia kitambo sana

Ndio mitaa yangu hiyo bro yani kama nikidisclose my real identity lazima unanijua akina Rama, Tei, Bariki na Bernard Gemba, Gaga, Steve byser, Ibu, marehemu Eric wote wanangu
 
Hahah nakumbuka hilo tangazo, kile kibanda toka 90s kiko vile vile wateja wanaongezeka ila hamna mabadiliko ya mazingira. Bonanza sijaingia kitambo sana

Ndio mitaa yangu hiyo bro yani kama nikidisclose my real identity lazima unanijua akina Rama, Tei, Bariki na Bernard Gemba, Gaga, Steve byser, Ibu, marehemu Eric wote wanangu

Kwa watu uliowataja tunafahamiana vzr kbs mtani Rama yuko Zambia,Gemba anasoma Mafinga hapo kijana Ibu kaweka kambi Tunduma kafungua saloon tena haaaahaa vile hauja-disclose nshaanza km kukusoma haaaha.
 
Kwa watu uliowataja tunafahamiana vzr kbs mtani Rama yuko Zambia,Gemba anasoma Mafinga hapo kijana Ibu kaweka kambi Tunduma kafungua saloon tena haaaahaa vile hauja-disclose nshaanza km kukusoma haaaha.

Ahahaha tafadhali huwezi nisoma kirahisi hivyo Brother.. unahisi nani?

Wadau wameondoka wote aisee
 
Watarudi hapa ndo asbh ishafika hii sisi km mapopo vile haaahaa ntakucheki PM brother nikikupa hints chache hopn tutajuana.
 
Anania bado yupo km kawaida haaahaa jamaa fundi raia wanatoka mjini kufata chips pale tena kuna foleni ya totoz za mzumbe ni shidaaaa

Yani umenikumbusha hizo chips..na nyama za Anania na mwenzie Jude.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom