MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,070
Nimeroll sana mitaa hiyo enzi nasoma Iyunga tech school.. sijui kama kuna sehemu Mbeya sijawahi fika, naijua Mbeya kama pesa
umetishaaa
Nimeroll sana mitaa hiyo enzi nasoma Iyunga tech school.. sijui kama kuna sehemu Mbeya sijawahi fika, naijua Mbeya kama pesa
dah! we jamaa uko wapi kaka siku hizi the vibes imebadilishwa siku hizi inaitwa maisha club so uko wapi mkuu tufahamiane!!!!!
mama yangu weee aisee juakal umenikumbusha jaman pale kwa baba furaha anauza karanga tamu hataaar
Isanga cku hizi imeamia iganzo
tufahamiane wanambeya kiukweli tuko nyuma sana mbona ndugu zetu wa arusha,tanga,dar wana umoja? cc Arusha one,chagalady,heven on earth,jugdement etc
Namkumbukaga jamaa mmoja pande za Isanga mid 80s alikuwa anauza karanga alikuwa maarufu kama kababa....wapi stend ya Chunya enzi hizo..!?
Jambo gani nililokukumbusha weye...
Mzee Tweve aliishi zamani sana na sasq ni marehemu...
Enzi hizo kiota cha maraha Forest nzima ilikuwa ni Summer Night, sijui kama hii bar ipo!!!
duh sijui nmechelewaaa....hyo wing tayari?
yap mzee baba furaha yupo in short juakali mitaa yangu sana vp unapakumbuka kwa msukuma
ujachelewa queen upo pande zip mkuu?!
hahahaaaa umeniacha hoi kwa msukuma napapata sana kuna cku nilikuwa na tafuta vocha ya TTCL niliipata kwake na zantel ilikuwa zaman kidogo
napatikana pande za sinde karibu quen!mie nko block T