jiwe jeusi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 863
- 850
wa wapi wewe?
Wewe mwehu nini mbeya ipi unayoizungumzia?haya mimi nipo mbeya mjini niambie umepita mitaa ipi umesikia upuuzi huo.
Acha uongo wako baraza la mawaziri likipitisha hakuna Wa kukataa usipotoshe watu au sema magufuri ndio kaujenga maana ccm kwa uongo
Hivi kuna haja ya kumjibu mtu kwa matusi hivi? Mzee Mkapa mmemshutumu sana kwa maneno yake aliyoyatamka pale uwanjani, sasa kuna tofauti gani kati yake na wewe!
Katika pitapita zangu huku mitaani nimekutana na jambo jipya kabisa. Nimekuta watu wakijadiliana jinsi Lowasa alivyohujumu maendeleo ya mkoa huo alivyokua waziri mkuu.
Wananchi hao wanadai Lowasa kwa makusudi kabisa alitaka ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Songwe uzidi kuchelewa au kufa kabisa.
Wanaendelea kwa kudai kuwa bila Mwandosya kusimama kidete basi ujenzi wa uwanja wa Songwe ungeishia njiani.
Wanadai Lowasa hana mapenzi ya dhati na jiji hilo linalokua kwa kasi hivyo wamejidhatiti kumkata kwa mara nyingine na kura zao wanadai watazipeleka kwa Magufuli.
Kwa anaefahamu, je kuna uhusiano wowote kuhusu kusua sua kwa ujenzi uwanja wa Songwe na Lowasa?
Mjumbe hauawi.
Umeelezaaaa halafu mwisho ulichomaliza nacho unaoneka hufahamu ila unataka kufahamishwa.... ungeweka basi kwa mtindo wa maswali
Nitashangaa sana kama mbeya wataipa ccm kura.
" Mtanzania atakayemchagua LOWASSA anatakiwa kwenda kupimwa akili" by MCHUNGAJI MSIGWA.
nafikili mtakuwa mmesahau hiyo nukuu toka kwa mbunge kipenzi kwa wana CDM..
your stupid to the maximum the one who write a post
lowassa atakatwa tuuu
mjinga wewe unaongelea mbeya IPI.?msoga.?mimi npo mbeya habari ya mjini ni 25 October kura kwa lowassa
mbeya ya bumbuli au???