Katika hali inayoonyesha kupingana sera ya Magufuli ya elimu bure darasa la kwanza mpaka kidato cha nne serikali za mitaa ya Mwanyanje,Sokoni na Chemichem kata ya Igawilo jijini Mbeya wameagiza wananchi kuandikisha watoto wanatakaoanza darasa la kwanza mwakani 2016 na waende na malipo ya shilingi 15,000/=
Hii imetolewa leo katika mkutano wa wazazi wa shule ya msingi Mwanyanje uliofanyika leo viwanja vya shule hiyo leo ijumaa na kumalizika saa saba mchana huu eti yale yalikuwa maneno tu ya jukwaani kwenye suala la elimu tuache siasa MAGUFULI TUFAFANULIE (NILIKUWEPO KWENYE MKUTANO HUO)
Hii imetolewa leo katika mkutano wa wazazi wa shule ya msingi Mwanyanje uliofanyika leo viwanja vya shule hiyo leo ijumaa na kumalizika saa saba mchana huu eti yale yalikuwa maneno tu ya jukwaani kwenye suala la elimu tuache siasa MAGUFULI TUFAFANULIE (NILIKUWEPO KWENYE MKUTANO HUO)