figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,662
- 59,100
- Thread starter
- #41
Wanatumiwa na Wanasiasa. Polisi ni Taasisi ambayo haijaweza kujitegemea. Kidogo JWTZ wana mfumo unaeleweka. Polisi ni UVCCM kwenye Magwanda ya SerikaliTukiwasema polisi akili hawana, huu ndio moja ya ushahidi.
Wanaliabisha jeshi la polisi. Makamishina msiendekeze hizi mambo. Kemeeni kulinda heshima ya jeshi.