Mbeya: Polisi Washusha Bendera za CHADEMA

Mbeya: Polisi Washusha Bendera za CHADEMA

Hapa ndiyo Huwa nihoji ueledi wa polisi.... Kwani hapa kulikuwa na jinai gani mpaka wafanye hivi Hawa police?...
Ukweli hapo haujulikani.
Inaweza kuwa mwenye eneo lake hakupendekezewa kuwekwa bendera.
Au hio sehemu sio ya CHADEMA.
Ukweli haujulikani
 
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe hicho, Polisi wakiongozwa na OCD wa Mbeya Vijiji walifika wakiwa na magari, wakawatawanya wananchi waliokuwa eneo la Stand ya Inyala na kuwakamata Masaga Kaloli, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Elisha Chonya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Mbeya pamoja na wanachama wengine.

Imebakia tu waende napo Idodomya washushe zile zote zenye rangi ya mboga mboga!
 
Back
Top Bottom