Mbeya: Polisi Washusha Bendera za CHADEMA

Mbeya: Polisi Washusha Bendera za CHADEMA

Tukiwasema polisi akili hawana, huu ndio moja ya ushahidi.

Wanaliabisha jeshi la polisi. Makamishina msiendekeze hizi mambo. Kemeeni kulinda heshima ya jeshi.
 
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe hicho, Polisi wakiongozwa na OCD wa Mbeya Vijiji walifika wakiwa na magari, wakawatawanya wananchi waliokuwa eneo la Stand ya Inyala na kuwakamata Masaga Kaloli, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Elisha Chonya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Mbeya pamoja na wanachama wengine.

Hicho chama kimeminywa mno..

Paper Democracy
 
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe hicho, Polisi wakiongozwa na OCD wa Mbeya Vijiji walifika wakiwa na magari, wakawatawanya wananchi waliokuwa eneo la Stand ya Inyala na kuwakamata Masaga Kaloli, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Elisha Chonya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Mbeya pamoja na wanachama wengine.

CHADEMA NI TISHIO KUBWA SANA
1768912545280.jpg
 
Wakuu, twende mbele, na turudi nyuma. Vipi ile hukumu iliyotolewa kuhusu CHADEMA kutofanya shughuri zake, ilishafutwa? Kama bado ipo, basi polisi walikuwa sahihi. Ile hukumu ni halali, lakini sio ya haki. Cha msingi, ni kuipigania hiyo haki kwa nguvu zote, lakini kwa kufuata njia zilizowekwa!
Kwamba hawaruhusiwi hata kukumbuka kuanzishwa kwa chama chao? Literally you mean hawaruhusiwi hata kualikana lunch au picnic?
 
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe hicho, Polisi wakiongozwa na OCD wa Mbeya Vijiji walifika wakiwa na magari, wakawatawanya wananchi waliokuwa eneo la Stand ya Inyala na kuwakamata Masaga Kaloli, Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya, Elisha Chonya, Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Mbeya pamoja na wanachama wengine.

Hii nchi ina polisi wapumbavu sana!
 
Wakuu, twende mbele, na turudi nyuma. Vipi ile hukumu iliyotolewa kuhusu CHADEMA kutofanya shughuri zake, ilishafutwa? Kama bado ipo, basi polisi walikuwa sahihi. Ile hukumu ni halali, lakini sio ya haki. Cha msingi, ni kuipigania hiyo haki kwa nguvu zote, lakini kwa kufuata njia zilizowekwa!
Hii inatia doa chama chetu na kuifanya chadema kuzidi kupendwa
 
Wakuu, twende mbele, na turudi nyuma. Vipi ile hukumu iliyotolewa kuhusu CHADEMA kutofanya shughuri zake, ilishafutwa? Kama bado ipo, basi polisi walikuwa sahihi. Ile hukumu ni halali, lakini sio ya haki. Cha msingi, ni kuipigania hiyo haki kwa nguvu zote, lakini kwa kufuata njia zilizowekwa!
Hawajakatazwa kufanya shughuli zao. Mahakama iliwakataza kutumia mali za chama. Ikiwemo Ofisi, Magari, Komputa nk.
 
Back
Top Bottom