Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

Tena hapa naona mnanisadia kujenga hoja. Watumishi wakipangwa Lindi, Mtwara Sumbawanga hawataki, wakiambiwa Kilimanjaro, Arusha,, Mbeya wanakwenda. Je hakuna attractiveness hapo.
Si mnakumbuka mikoa fulani iliwahi kufanywa kama mikoa ya adhabu! ni kwanini?

Kwa Machinga hawawezi kwasababu tayari kule kuna machinga ambao ni more advance ndio maana hawaendi. Kule kuna nguvu kazi tayari kwahiyo anayekwenda ajiandae.

Na vipi kuhusu ukweli kuwa ukienda kule unatakiwa uwe mshindani haswa! Hilo mbona hamlijibu. Hamuoni ni sababu ya kuzuia uhamiaji hasa kwa wasioweza kuhimili ushindani?

Huwezi kwenda sehemu ambayo aina fursa za kiuchumi machinga kutoka Mtwara hawezi kwenda kutembeza bidhaa zake Kibosho au Rombo, Waha kutoka Kigoma kwenda Moshi kupeleka biashara wateja wapo?
 
H
ivi kuna sababu yoyote ile inayowafanya wa Tanzania wanaotoka maeneo ya Mbeya na Kilimanjaro kuwa na nyoyo za kuthubutu na kuweza kufanya na hasa kwenye medani ya siasa?

Wanasiasa wao hawana woga, nimejaribu kuwachukia lakini wapi I cant hate their hustle, ukienda Benki unawakuta, Ukienda kwenye michozo wamo, Universities nyingi ziko kwao (hawategemei hand outs za serikali) na hawana mambo ya kuoneana aibu wao wenyewe kwa wenyewe wanaambiana ukweli bila woga. I mean tazama mtu kama 2 Proud alipotokea na mpaka alipofikia, I simply have nothing but respect.

Sasa tazama mikoa ambayo watu hawana maendeleo kama Tanga, Pwani na huko kusini watu hawana hasira yoyote ile na wako more at ease na maisha kama kawaida.

Kweli mtu anaweza kusema kuwa wako more exposed na wana network kila sehem lakini naamini kuwa siri kubwa ya wa Tanzania wanaotoka mikoa hii ni kuwa wao ni watu wa kuthubutu na muhimu zaidi wana CONFIDENCE za ajabu na sijapata ona.

Sasa kama kama wakijipanga vizuri hawa watu sitoshangaa kuona vijana wao (nazungumzia under 32) wakiwa tayari washaandaliwa kuwa movers and shakers in the next 20 years na kama hamuamini tazameni medani ya siasa Tanzania ni akina nani wako more active

Hongereni sana wana Mbeya na Kilimnajaro.
Sababu za kihistoria zimechangia maeneo yaliyotajwa kufikia hapo walipofikia:
Maeneo ya pwani[Lindi,mtwara,Tanga,Pwani] na baadhi ya maeneo kama Tabora, mwarabu alipita akaweka kasumba yake,mpaka leo unakuta watu hawataki kujishughulisha kutwa nzima ni kukaa kwenye vijiwe,kuzungumzia watu,kusambaza maneno ya uongo na kutengeneza fitina kwa wageni wa kutoka maeneo mengine badala ya kujifunza kwa mambo waliyo nyuma wanatengeneza uzushi na visingizio vingi.!!

Ili wajikwamue inabidi wahamasishe jamii husika kwenda shule na kuipenda,pia wawe tayari kuacha kutumiwa katika vurugu za kidini,eti ndio sababu za wao kutokuwa katika nafasi ya maendeleo.

Jamii iwe tayari kufanya kazi kama msingi wa kupata kipato,waache kufikiria kufanikiwa kwa njia za mkato[kupata utajiri kwa njia za kishirikina]
wawe tayari kwenda kufanya kazi maeneo ya mbali na kwao,ili wajifunze mila za jamii nyingine,kwani wanahisia na mtazamo tofauti na jamii inayotoka bara.
 
H
Sababu za kihistoria zimechangia maeneo yaliyotajwa kufikia hapo walipofikia:
Maeneo ya pwani[Lindi,mtwara,Tanga,Pwani] na baadhi ya maeneo kama Tabora, mwarabu alipita akaweka kasumba yake,mpaka leo unakuta watu hawataki kujishughulisha kutwa nzima ni kukaa kwenye vijiwe,kuzungumzia watu,kusambaza maneno ya uongo na kutengeneza fitina kwa wageni wa kutoka maeneo mengine badala ya kujifunza kwa mambo waliyo nyuma wanatengeneza uzushi na visingizio vingi.!!

Ili wajikwamue inabidi wahamasishe jamii husika kwenda shule na kuipenda,pia wawe tayari kuacha kutumiwa katika vurugu za kidini,eti ndio sababu za wao kutokuwa katika nafasi ya maendeleo.

Jamii iwe tayari kufanya kazi kama msingi wa kupata kipato,waache kufikiria kufanikiwa kwa njia za mkato[kupata utajiri kwa njia za kishirikina]
wawe tayari kwenda kufanya kazi maeneo ya mbali na kwao,ili wajifunze mila za jamii nyingine,kwani wanahisia na mtazamo tofauti na jamii inayotoka bara.

Ndugu umefika bara na kuangalia kulivyochoka? Au kwa sababu unamuona mtu mmoja katoka bara anafundisha UDSM, basi awe anawakilisha watu wote wa bara.
 
Mkuu Nico, mimi nimesoma Minaki nilikuwa na kawaida ya kutembelea vijiji vya pwani na kushiriki kwenye harusi zao, sikuwahi kukutana na wanawake wanao kaa barazani bila shughuli yoyote au kuona miguu yao imejaaa masagamba (would you believe IT) au wamejifunga sijuhi kanga moja!! Hivi umewahi kutembelea vijiji vya pwani kuingia nyumba wanazo ishi na kuangalia mazingira yanayo wazunguka? - ni watu wanao jali usafi wa mwili na mazingira hawakati miti ovyo!!

Sina hakika unazungumzia wanawake wa vijijini au mijini, wewe umekili kwamba kuna wavivu kila kabila - kama kuna mahali walikuwa wanalega lega kidogo watajifunza na kujirekebisha mbona wapo wengi wanao chakalika - cha muhimu hapa nikuwa-encourage na siyo kuwa-condem WHOLESALE hii haipendezi haka kidogo.

Pengine ndugu yangu ni ule wema uliozidi ndio unakupa taabu hapa.kuna maneno unaogopa kuyasema ,pengine ni masuala ya haki za binadamu na kuishi na watu wa kuheshumiana kulikopiliza ndipo kunakufanya ujiwekee mipaka sana.masagamba wal ausianzie mbali anzia buguruni, tuu.panda bot ya zenj , pita Tanga Mjini, hata Kariakoo tuu, wanawake wamejipta rasa usoni kwa vipodozi km gari iliyopigwa putty, miguuni wamejichora kwa Hina.

Ndugu yangu mimi pia nimesoma dar, minaki,pugu ,kibaha hadi ruvu kulikuwa na wenzangu wengi sana na mara nyingi nilikuwa nakwenda huko nao walikuwa wakata mitaa sana na hivyo kuingia mitaani. Nikuambiacho ni observations pana zaidi ya unavyoweza dhani.Pia nimefanya research fulani imenipitisha sana mitaani ya waswahili,nyumba nyingi nilikunya hwadi chai na wana familia.Ninawafahamu fika ndio maana nikakuambia hembu anzia hapo magomeni mida ya saa 4(wengi ndio wanaamka) nenda mpaka ruvu kwa gari na mahali pana wingi wa nyumba ingia ndani kidogo.Anzia buguruni chapa njia haki kisarawe ukikuta mwanamke yupo busy ni kuchota maji tuu,baada ya hapo sijui, wanaume ni vijiwe vya baiskeli na camp.

Kuna vitu vichache sana nilivyohisi si sahihi kuwahoji wahusika basi nilitafuta majibu pengine huku nikijaribu verify kwa njia nyingi.
 
Ina faida gani kutowaambia watu yale tuyafanyayo kt yao na kufanikiwa,wakati tukiyafanya kwa vitendo yanatupa edge over them?kwanini nikiwaita watu wavivu kwa mdomo inakuwa shinda wakati kuna watu naweza nisipende waajiri kwa vile najua ni wavivu na anayebisha na kuwaajiri anakuja akilia na kuniambia the same?

Siwezi kataa everage productivity ya waafrica ipo chini kwa vile makundi mengi sana yana uvivu uliotofautiana huku wale productive nao wakiwa na level ndogo,sana.

Nimeshawahi shuhudia office ya binafsi naya serikali,mfanyakazi anaingia 2:30 asb, anaingia na kuwasha computer, wakati anakaa ama yeye amfuate mwenzie au mweinzie amfuate kuja angalia nguo mpya aliyovaa siku hiyo,halafu inafuatia na events za jana yake,ama kisiasa au michezo, kisha anakuna mfagiaji ambaye hakuweza ingia oktk office kwani ilikuwa imefungwa.Then wanakwenda ktk chai kama si kuongelea habari cha michango ,na shughuli nyingine za jamii, kisha anakuja jamaa aliyeambiwa apite office.Then simu za ndani ya office kukumbushana report na mengine.Kisha muda wa kula,halafu baada ya lunch kunakuwa na kazi ndogo kama(issue za bank kudepoit hela kwa watoto wa shule hazipo),kabla ya saa tisa simu za kukumbushwa vikao muhimu,kupitia maduka kabla hayajafungwa and the sort na siku imekwisha.Kwa watu wenye connection mjini, haya mambo ya nje ya office yanaweza kuwa mengi sana kiasi cha kila siku kuwa na kibarua cha kuyapa priorities.

Haya yote hayajaunganishwa na siku hawaji kwa misiba ya watu wa jamii zao,ambao wengine ni wa mbali,majirani, ndugu wa karibu,harusi, send off, shughuli za kucheza ngoma, kushughulikia majukumu ya kamati, majukumu ya saccos.

watu siku hizi huchukua waasia ktk kazi huku wakijitahidi watafuta wale ambao ni wageni,wasio na familia kubwa ili baadaye isiwa cost.Kwani watu wasiojua mtu hawana matukio ya misiba,sherehe za kuhudhuria, wengine ahata ibada hawafanyi, hawana haja ya kuwahi kwenye matukio, na wanaweza piga overtime bila malipo au kwa malipo kidogo
 
Nicholas,

tafadhali sana watch your language. jaribu kusoma vitu unavyoandika kabla hujabonyeza reply. wananchi wa pwani shughuli yao kubwa ni uvuvi. sasa kabla ya kuwaita wavivu, unajua ndugu zetu hawa wanadamka saa ngapi kwenda baharini kuvua? je, unajua shuruba wanazokabiliana nazo siku hadi siku?

halafu unapoleta hoja ya wanawake wa pwani na kupasuka miguu, hivi unajua unachokiongea wewe? halafu umejivika kilemba cha kuzungumza kwa niaba ya wachaga huku ukiwakosea wengine adabu. sasa unataka kusema wanawake wa kabila lako hawapasuki miguu, au hawana kasoro yoyote ile?

thread hii ilikuwa na lengo na kuwa uwanja wa kufundishana. nashangaa sana wewe ni mchangiaji pekee hapa unayetoa kashfa kwa watanzania wenzako. WE NEED SOME TOUGH LOVE, LAKINI SIYO DHARAU, NA KEJELI.
kumbe nyie watu wa pwani mkiambiwa ukweli mnaumia
 
Aliyeanzisha huu uzi ni ****** kweli,haya si mambo ya kuongelea ktk tz hii,kwa hiyo anashauri wale ambao hawajaendelea wafanye nini kama siyo kupandikiza chuki, aende rwanda akajifunze mla mavi huyu

bila shaka we ni mtu wa pwani
 
Miafrika bana kwa kujikweza hawajambo nyie endeleeni kusifiana makabila yenu huku mkijazana ujinga lakini kaaeni mkijua uchumi wa Tanzania 80% unashikiliwa na Waasia.

Ebu nitajieni matajiri 10 wa Kitanzania wasiokuwa na ubia na mtu yoyote. Ukingalia karibia makampuni makubwa Tanzania kama Banking and Finance, food ana Retail, Real Estate, Newspapers and Publishing, Techology, na mengineyo wote ni wasia.

Hata huko Arusha kwenye mpunga za wanyama mahoteli makubwa makampuni ya uwindaji wengi ni wahindi, waswahili wa kuheshabu, viwanda vyetu hapa Tanzania vingi na vya waasia.

Mtanzania hakiwa na mtaji wa milioni 30 na nyumba na gari ya dola 3000 basi mnamuona tajiri.
 
cmply sehemu waliko tawala sazungu ni tofauti na waliko tawala waarabu!...

shiiiiii .......huyo masta hagusiki....kwani ilimu yake ndio iliibwa na watu wa magharib na kuleta maendeleo unayoayona nchi za magharibu leo.
 
Mkuu Joka Kuu,
Labda nikumbushe kuwa mkoa wa Tanga ndio wa kwanza kuwa na gazeti wakati wa Wajerumani 1905.
Mkonge ulikuwepo miaka mingi sana kabla ya uhuru na ndilo chimbuko la miundo mbinu kama bandari na reli.

Katika shule za zamani sana mojawapo ni Tanga Tech school iliyokuwepo kabla ya Uhuru.
Athari zitokanazo na wageni kama Waarabu zilikuwepo, ikiwa ni pamoja na wamishenari waliofika mapema.
Tanga imekuwa manisapaa tangu mwaka 1966. Umetoa takwimu nzuri tu kuwa wasomi walikuwepo tangu zama hizo.
Kwahiyo factor zote zimekamilika! Je, kwanini Tanga imefika hapo ilipo?

Tuangalie mikoa ya Kanda ya Ziwa. Ukiacha Kagera uliokuwa na cash crop kama Kilimanjaro, Mwanza na Shinyanga zilikuwa na Pamba pamoja na madini (Williamson Diamond 1948). Hata kama wazawa hawakuchimba lakini ukweli unabaki kuwa hicho ni kitu muhimu sana katika maendeleo.

Katika miaka ya 70 na 80 Pamba ilikuwa hot cake na moja kati ya Cash crop kubwa sana nchini.
Tofauti na matarajio athari za Kahawa Kagera zinaonekana katika maendeleo hadi leo, kwanini basi Mwanza na Shinyanga zisiwe kama Kagera achilia mbali Mbeya au Kilimanajaro?

Uwepo wa Bandari ya Mtwara ulitokana na kilimo cha Korosho na mengine ya cash crop. Hata kama Korosho ilianguka kama kahawa ilivyoanguka katika soko la dunia, kwanini hatuoni effect yake hata kama si kwa kiwango cha Mbeya na Kilimanjaro?

Zakumi, kama kipimo kimojawapo cha maendeleo ni net immigration, huwezi kuishia hapo ni lazima uende mbele zaidi.
Kilimanjaro, mathalani, watu hawahamii kwasababu ya uhaba wa ardhi. Kesi nyingi za Kilimanjaro ni kuhusu migogoro ya ardhi. Lakini pia lazima ufahamu kuwa ili mtu aweze kuhamia Kilimanjaro ni lazima awe contender na si pretender. Hilo linawazuia wengi kuhamia kule. Matokeo yake ni kinyume, Wakazi wengi wa Kilimanjaro, Mbeya na Kagera wanazidi kuteka maeneo mengine kwasababu wanahimili competition.

Nicholas, nadhani unawahukumu Wapare bila kuwa na inside out zao. Sidhani kuwa wewe kufanya kazi na Mpare mmoja kitakwimu inakidhi haja ya kujenga hoja achilia mbali ukweli wa takwimu hizo. Unasahau kuwa katika mkoa wa Kilimanjaro ni wilaya mbili tu ndizo zenye wenyeji wakaazi wapare yaani Same na Mwanga. Na kuna ukweli kuwa watu wanashindwa kutofautisha hata kwa majina. Njau ni Mpare na Mchagga, Mberesero ni Mchaga na ni Mpare, Minja anaweza kuwa Mchaga au Mpare. Kwahiyo ukijenga hoja kuna 'thin line' unayotakiwa kuiangalia.

Ningeomba unsome vizuri Bagusule ana hoja za msingi sana si kutaka kushinda majadiliano ni kuweka sawa kumbu kumbu.
Mfano, nimeona mifereji ya umwagiliaji iliyotumika vizazi 4 vilivyopita. Endapo kizazi kimoja kina life expectancy ya miaka 40 tu, hapo tunazungumzia umwagiliaji kuanza kutumika miaka 160 iliyopita.

Ni wapare waliowahi kusimama toe to toe na Mkoloni kupinga kodi kwa kuelewa kuwa haikuwa sahihi na wala haikuwasaidia kwa matarajio yao( MBIRU). Unapodai ni waoga na hivyo CCM itawatawala unakosea sana.
Ninachojua ni kuwa utiifu wao upo kwa viongozi wao na si chama! wamejenga shule na zahanati baada ya kuweka tofauti za kisiasa pembeni. Wakati watu wanazungumzia shule za kata wao walimaliza siku nyingi sana na Msuya.
Walivunja miamba, wakachangishana majogoo kwa kutumia mbunge wao.

Ubahili wao unawasaidia sana na ingekuwa ni majuu tungesema 'financial discipline yao ni excellent na ni fiscal conservatives. Kwa vile ni Wapare wanaitwa Mabahili.Ubahili wa kupeleka mtoto shule nadhani ni mzuri kuliko kuwa Frugal (Arusha wanasema Fogo) kusikosaidia.
Sipendi kujadili watu napenda tujadili issue, hivyo hilo sitaendelea nalo.

Tujiulize, Je, wale ndugu zangu za Malinyi, kidogo basi, Zignali na viwanja sitini wanaotumia mpunga wa msimu katika hafla za kila siku ikiwa ni pamoja na pombe wamlaumu nani?

Ninachosema hapa ni kuwa maendeleo yana vichocheo lakini kubwa zaidi ni hulka na tabia zilizojengwa na tamaduni.
mkuu kwanza nikupe hongera kw auwezo wako wa kuandika, kuchambua na kujenga hoja pia naweza jihakikishia kuwa nia yako pia ni njema sa.Ila ktk dunia ya leo hayo yote hayawezi kuhakikishia kuwa utafikia ktk maamuzi sahihi sana.Kwa wenye kufanya research watakubaliana na mimi kuwa specimen ikiwa poisoned basi majibu yatakuwa tete sana,kwa wenye kutengeneza program za computer wanajua rootkit ni balaa ingine, kwa magwiji wa democrasia wanajuawatu wakipotoshwa matokeo yanakuweje.

Kwa haraka ukioangalia data za Tanga ni kwamba walipoondoka wajerumani basi wao walimalizia vilivyokuwepo laif ikaishia hapo hapo.NI tatizo la miradi mingi africa wakiondoka wageni basi miradi hushindwa kuwa endelevu kama ilivyokusudiwa kuwa.Ila kwa Tanga mhh uvivu na uwekezaji ktk ushirikina na umalaya ndio umemaliza kila kitu.

Kwa haraka kuhusu wapare,umejitahidi tupa data nzuri sana na za kweli ila conclusion yako siiafiki sana.Hujapenda angalia effects za wapare wenye damu za nje.Pengine angalia data za within.Hata zenji kuna wavivu wengi ila pia kuna wachapa kazi sana ingawa wanafanya kazi za kupoteza nguvu tuu.Ila ukiangalia within utaona uwiano wa wachapa kazi kwa asili zao, angalia wanyamwezi wanachapa kazi kuliko makonde,kuliko wazaramo na wadigo etc kwa asili.

Hta ukienda china leo kuna wachina waliopo katk manufacturing na biashara watakupa data nzuri sana za wafanya biashara wa kitanzania na pengine watakutajia kwa sifa nyingi makundi ya wachaga, wakinga, wasukuma etc.Ila wkaija humu nchini watashindwa pata picture nini kinawatofautisha hawa raia hivi.Nilitoa mfano wa wapare wenye asili ya ukamba, na tabia zao ambazo hata wakenya wenyewe huwa hawakosei kwenye hilo,sijaongea wenye damu za kigosi,wamasai, etc na tabia zao.


Kuhsu hilo la kusimama kidet na mkoloni ili wasilipe kodi linaweza kuwa na tafsiritofauti sana kwa mtu kama mimi.Hembu jaribu tazama hii mifano: Mwanafunzi mzito darasani anapolazimishwa kwenda soma hesabu shuleni?hembu angalia mtu bahili akiambia atoe hela? hembua fikiria mtu mvivu akipewa kazi ngumu kwa ujira usiomtajirisha siku hiyi hiyo, hembu fikiria.Umewahi jiuliza watu wasiojua umuhimu wa elimu wakiambiwa wachangie elimu?Umewahi jiuliza reactions zao na utayari wa kutumia nguvu kuondokana na hiyo hali?

Ubahili wa wapare ndio ulikuwa factor ya wao kuchukia kodi kama wanavyojaribu chukia miradi fulani,hujawahi uliza sadaka ktk nyumba za ibada huwa ni coins tuu.Watu wanachukiwa sadaka kama kuchezea hela huku wakiahalalisha kwa kutazama scandle za watumishi wa hizo nyumba za ibada.Ila wanasahau sadaka uitoayo huhitaji jua imetumika vipi, na imani yako ni kwamba waliopokea wanajua wajibu wao, na adhabu yao kwa mujibu wa imani yao.Na ulichofanya wewe ni kutimza jukumu lako,wao watajua na majukumu yao.

Wapare wana success yao kubwa sana na sitofanya haki kuwapa zero,ila kw akiasi fulani hawawezi fanya kazi kwa ufanisi pale panapohitajika tumia hela tengeza hela.Na hawaaminiki sana kwa kauli zao.Ni watu wa kumumunya sana maneno pale wanapoogopa mpa ukweli unaopingana na aliyepo mbele yao.Watu wanaowajua wapare na watu wa mikoa fulani ya kigoma,Tabora,mpaka Dodoma wanasema Mbowe angeahidi kama alivyoahidi Arumeru kuwa wangeshinda kwa kishindo basi angeaibika sana na Nape angesimama kifua mbele.Sasa ni kwa kiasi gani haya yanaoneka ktk jamii za kipare nature yao ndio inasema.
 
Miafrika bana kwa kujikweza hawajambo nyie endeleeni kusifiana makabila yenu huku mkijazana ujinga lakini kaaeni mkijua uchumi wa Tanzania 80% unashikiliwa na Waasia.

Ebu nitajieni matajiri 10 wa Kitanzania wasiokuwa na ubia na mtu yoyote. Ukingalia karibia makampuni makubwa Tanzania kama Banking and Finance, food ana Retail, Real Estate, Newspapers and Publishing, Techology, na mengineyo wote ni wasia.

Hata huko Arusha kwenye mpunga za wanyama mahoteli makubwa makampuni ya uwindaji wengi ni wahindi, waswahili wa kuheshabu, viwanda vyetu hapa Tanzania vingi na vya waasia.

Mtanzania hakiwa na mtaji wa milioni 30 na nyumba na gari ya dola 3000 basi mnamuona tajiri.

teh teh....sasa huoni hata wao wamejitahidi kupiga step ya ukombozi kama na wengine wangejisogeza ktk middle class wahindi wangeanza hama haraka.Sasa haya makabila mavivu yaliyopo ktk siasa si ndiyo yanawapa hawa wahidni an waarabu paltform ya kupata njia rahisi kuanzia ktk permits, mikopo mabank, na tender, kaulize Makamba alifanya nini ktk mradi wkaujenga chuo Morogoro akiwa mkuu wa mkoa huo, alishirikiana na diria kulazimisha Mhindi apate tender wakati mfadhili alishasema akichukulia miwngine nje wale watatu waliopitishwa na mshauri basi msaada ungeota mbawa.Makamba aling`ang`ana tuu.Wahindi wote wa morogorogo,Singida, Dar wamelindwa na wazawa na mara zingine kupitia dini.Waliofanikiwa arusha walichukulia deal na vibali Dar , kuanzia kupewa vitalu hadi vya ziada hadi kupeleka wageni porinin a mlimani, pamoja na nafasi za kujenga camps na lodges nadani ya hifadhi.

Manji anapeta nchini kwa udini na hata bifu lake na Mengi halikupaswa ingizwa ktk udini ila mwishowe lilirudhwa huko,kempisk ya leo alinyimwa Mengi kwa udhaifu wa uatawala unaotoka makabila yenye utumwa, Arusha mwekezaji 77 naye alipew amezani na watu wasiojua hata utalii, sasa hiyo fahari kwa waasia ina sifa gani?

Mama wa kisomali Zahra kapeta kupitia mama zakia Meghji na Kinana.Sasa hivi kama kamonopoliza mlima vile.Shida ni hao waswahili waliopo ktk serikali na idara nyeti ambao sifa zao za kiongozi bora ni km fulani tuu ndi anaiwezea wizara fulani.Jk kusikia hivyo anafuata.kama watu walivyosema kigoda nd husein mwinyi ndio wanaweza wizara walizonazo leo JK kawapeleka, bado kuboronga ni kule kule huku jitihada zikiw ani kuficha maovu kama kawa.Aliyefichiwa mengi ndiye msafi.
 
Mleta mada lazima ni mpumbavu, kwani kilimanjaro na Mbeya kuwa na vyuo vingi inakusaidia nini wewe binafsi?. Kama vyuo vimejengwa si kwamba wamejenga wao, vimejengwa kwa kodi ya watanzania wote. Hivyo ni vyuo vya watanzania wote. Komaa na maisha yako binafsi acha ukabila, hivyo ni vya kodi ya watanzania
 
Mleta mada lazima ni mpumbavu, kwani kilimanjaro na Mbeya kuwa na vyuo vingi inakusaidia nini wewe binafsi?. Kama vyuo vimejengwa si kwamba wamejenga wao, vimejengwa kwa kodi ya watanzania wote. Hivyo ni vyuo vya watanzania wote. Komaa na maisha yako binafsi acha ukabila, hivyo ni vya kodi ya watanzania
haha ...vingine si kodi ya watanzania.Ni sadaka ya waumini na michango ya watu wa eneo husika.+ raia wa nchi hisani."kwa hisani ya watu wa german,US,Japan,South Korea etc"
 
teh teh....sasa huoni hata wao wamejitahidi kupiga step ya ukombozi kama na wengine wangejisogeza ktk middle class wahindi wangeanza hama haraka.Sasa haya makabila mavivu yaliyopo ktk siasa si ndiyo yanawapa hawa wahidni an waarabu paltform ya kupata njia rahisi kuanzia ktk permits, mikopo mabank, na tender, kaulize Makamba alifanya nini ktk mradi wkaujenga chuo Morogoro akiwa mkuu wa mkoa huo, alishirikiana na diria kulazimisha Mhindi apate tender wakati mfadhili alishasema akichukulia miwngine nje wale watatu waliopitishwa na mshauri basi msaada ungeota mbawa.Makamba aling`ang`ana tuu.Wahindi wote wa morogorogo,Singida, Dar wamelindwa na wazawa na mara zingine kupitia dini.Waliofanikiwa arusha walichukulia deal na vibali Dar , kuanzia kupewa vitalu hadi vya ziada hadi kupeleka wageni porinin a mlimani, pamoja na nafasi za kujenga camps na lodges nadani ya hifadhi.

Manji anapeta nchini kwa udini na hata bifu lake na Mengi halikupaswa ingizwa ktk udini ila mwishowe lilirudhwa huko,kempisk ya leo alinyimwa Mengi kwa udhaifu wa uatawala unaotoka makabila yenye utumwa, Arusha mwekezaji 77 naye alipew amezani na watu wasiojua hata utalii, sasa hiyo fahari kwa waasia ina sifa gani?

Mama wa kisomali Zahra kapeta kupitia mama zakia Meghji na Kinana.Sasa hivi kama kamonopoliza mlima vile.Shida ni hao waswahili waliopo ktk serikali na idara nyeti ambao sifa zao za kiongozi bora ni km fulani tuu ndi anaiwezea wizara fulani.Jk kusikia hivyo anafuata.kama watu walivyosema kigoda nd husein mwinyi ndio wanaweza wizara walizonazo leo JK kawapeleka, bado kuboronga ni kule kule huku jitihada zikiw ani kuficha maovu kama kawa.Aliyefichiwa mengi ndiye msafi.

Mengi kaikosa Kempinski kutokana na pesa hana halafu hana huwezo wa mambo ya kuendesha hotel za nyota tano, huwezi kumpambanisha Mengi na the world's richest Al-Waleed bin Talal, anamiliki Kempinski New York, France, Hong Kong, Dubai, mtamlaumu bure Wilson Mutagaywa Masilingi.
 
Mengi kaikosa Kempinski kutokana na pesa hana halafu hana huwezo wa mambo ya kuendesha hotel za nyota tano, huwezi kumpambanisha Mengi na the world's richest Al-Waleed bin Talal, anamiliki Kempinski New York, France, Hong Kong, Dubai, mtamlaumu bure Wilson Mutagaywa Masilingi.

Acha uzembe wewe ,mengi yupo katk Dawa, madini ya Tanzanite na mengine, Vinywaji, media na mengine mengi , bakhresa yupo ktk kila field tofauti sana.Bill gates sasa yupo ktk research za madawa kama malaria na HIV wakati yeye ni wa computer software.Sasa nini kingemshinda?

Kwani nyota 5 ndio kuwa na hela?Mbona Mt meru ina nyota tano hela ni mkopo,Sheraton ikianzishwa hadi kujengwa ni mikopo tupu.Hata huyo al waheed kawa contract wazungu na alinunua kampuni za Kizungu ambazo zilikuwa wel established ktk business ya hotels and hospitality.

Sijui kinakukwaza nini hela uwezo wa taaluma?Hela hakosi na kama angekosa angekopa hata world bank,kama ni taaluma yeye haendi pika wala panga staff kuna wataalamu wa hizo fanya na wakaguzi wa vigezo watakaotumika.Pia ujue hizo nyota 5 si ughali wa majengo ni quality ya services na arrangement ya Vitu zaidi ya majengo.Ndio maana hata zile za makuti zinaweza kuwa nyota 5 au zaidi ukipenda.

Naona hapa unathibitisha nisemacho kuwa kuna makabila yana utamaduni wa kitumwa,hata wakiwezeshwa hadi dunia ifike mwihso bado hawataweza jitawala wataanaguaka tuu na kurudia fagilia watu mamasta wao.Sasa wewe unavyomsobokea huyu all waheed sijui al nyang`au ndio unataka shindana na Chaga weye.Sasa wewe ukipata dili unakwenda muuliza mhindi au muarabu, wachaga wanakwenda fanya huku wakiamini kila kitu kitajulikana huko huko.
 
Acha uzembe wewe ,mengi yupo katk Dawa, madini ya Tanzanite na mengine, Vinywaji, media na mengine mengi , bakhresa yupo ktk kila field tofauti sana.Bill gates sasa yupo ktk research za madawa kama malaria na HIV wakati yeye ni wa computer software.Sasa nini kingemshinda?

Kwani nyota 5 ndio kuwa na hela?Mbona Mt meru ina nyota tano hela ni mkopo,Sheraton ikianzishwa hadi kujengwa ni mikopo tupu.Hata huyo al waheed kawa contract wazungu na alinunua kampuni za Kizungu ambazo zilikuwa wel established ktk business ya hotels and hospitality.

Sijui kinakukwaza nini hela uwezo wa taaluma?Hela hakosi na kama angekosa angekopa hata world bank,kama ni taaluma yeye haendi pika wala panga staff kuna wataalamu wa hizo fanya na wakaguzi wa vigezo watakaotumika.Pia ujue hizo nyota 5 si ughali wa majengo ni quality ya services na arrangement ya Vitu zaidi ya majengo.Ndio maana hata zile za makuti zinaweza kuwa nyota 5 au zaidi ukipenda.

Naona hapa unathibitisha nisemacho kuwa kuna makabila yana utamaduni wa kitumwa,hata wakiwezeshwa hadi dunia ifike mwihso bado hawataweza jitawala wataanaguaka tuu na kurudia fagilia watu mamasta wao.Sasa wewe unavyomsobokea huyu all waheed sijui al nyang`au ndio unataka shindana na Chaga weye.Sasa wewe ukipata dili unakwenda muuliza mhindi au muarabu, wachaga wanakwenda fanya huku wakiamini kila kitu kitajulikana huko huko.

Ukiangalia uzi huu mie na wewe nani anasifia watu? Umetaja wanaume wengi sana kina Mengi na wengine mie siwajui, wewe jamaa muongo sana eti ukienda China wachaga ndio wanakwenda wengi sijui umeipata wapi, wachaga kariakoo wanaangaika tu kama watu wengine wala hawatishi kwa chochote kujenga nyumba kimara ndio utajiri.
 
Back
Top Bottom