Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

Watu wengine bwana kwa kuleta analysis za kibaguzi.....ndio maana hatushangai kuona Department mzima mmejezana kindugu (watu wa mbeya na kilimanjaro)....

Kila siku kujisifia......Kila siku kuwatukana watu wa Pwani ,eti Mnawaita Waswahili lakini Humuondoki Huku Pwani..kila siku mnadandia magari kuja Dar es salaam....Mshachoka Kuchunana ngozi huko kwenu ?


Hembu tutolee List ya top 20 most successfully entrepreneurs hapa Tanzania..kama hamjajikataa wenyewe...
Mtaacha lini Kujisifia kuukanda kila siku ?
Halafu kama mnajiona nyinyi Mko juu si mhame huku Pwani..
Rudini Maporini Kwenu....


Kijitu Kimeajiriwa Kama Bank Teller Kinapata 500,000 kwa mwezi kinaanza kudhani watu wa mkoa wake wote wana Maisha kama yake...Hiki kinasahau watu wa Mkoa wake wengi wao bado wanaishi maporini huko wakichunana ngozi na kuua Albino....

Halafu hivyo vi-college vya kata mnavyofungua huko maporini mnaviita Universities ?? Hamjawahi Kuziona Universities zilivyo ???

Oh sisi tuna hasira ya Maisha...kajiue basi

Mkuu personally huwa sipendi watu wanao propagate mambo ya ukabila, au kusema vibaya makabila mengine - majivuno yasiyo na tija, wengine tumewahi kutembelea mikoa hiyo mpaka vijijini - utakuta vijijini ni watu masikini sana na vijumba vya kienyeji vilivyo jengwa kiajabu hajabu, uwezi kabisa kulinganisha na nyumba za kienyeji za watu wa pwani ambazo zimejengwa kiufundi sana na wanajuwa sana kujali mazingira hawakati miti ovyo, si hilo tu watu wa pwani ni binadamu wakalimu sana hawana majivuno na kujikweza.

Vyuo vikuu anavyo zungumzai vya mkoani Mbeya ni branch tu za vyuo vikuu husika, Ukija shule za ufundi za VETA mbona vimetapa kaa nchi nzima, siyo vizuri kujaribu kuwafanya binadamu wenzako wajisikie vibaya.
 
Biashara ya ajabu ni kosa kisheria sijajua unamaanisha nn iyo mos.,pil iv unabisha kwa sabab kwenu pwan au ndo unconscious,iv nyie kariakoo mnafanya biashara gan kubwa,biashara kubwa pale zinashikiliwa na wahindi,wachaga,wakinga na few chinz,nyie mko wapi...uku uswahilin ivyo ivyo wa2 kutoka mikoan ndo wanamilik maduka na biashara nyingine kubwa nyie mko wap?,ss 2ko uswahilin 2naona na kipimio kizuri mostly standard yenu ya maisha tofaut na wengine na ilo bisha,.vijana weng vijiwen wamejazana na makempu yao yasio na maendeleo...fungua macho uone,uhoji then chukua ha2a usibishe wakat wa2 2naona...
Yale yote nliyokuwa nakuelewesha naona hujaelewa hata mmoja....sina njia nyingine Kukuelewesha.....Rudia Posti zangu utapata majibu yako....Kama hutaki endelea Kubisha
 
Yale yote nliyokuwa nakuelewesha naona hujaelewa hata mmoja....sina njia nyingine Kukuelewesha.....Rudia Posti zangu utapata majibu yako....Kama hutaki endelea Kubisha
Mkuu huna hata kimoja chenye mashiko,huwez geuza mbingu ikawa dunia wakat zinajieleza.,huna kipya man
 
Kama unajua kuwa tabia ni za mtu binafsi..na so za jamii nzima ...kwa nini mleta mada amejumlisha kuwa watu wote wa pwani Hawana maendeleo...
Hivi kuna Mkoa ambao hauna wasomi hapa nchini...?

Tatizo linajionyesha pale effect za waliopata opportunity kuwa bonyeza mizani ya mabadiliko wa wenzao na hata wao wenyewe kuweza grab opportunity kama si kujitengenezea opportunity.

Tamaduni walizotoka hao waliofanikiwa na watu wao vinavyokuwa mzigo kwao kufanya lolote la maana hata kama hawasaidi amtu mwingine.Pengine ungebahatika msikia JK akiwa naongea na watu wa karibu msoga halafu ukasikilize freeman Mbowe akiwa pale machame na wanakijiji wakinywa chai na kuongea kinyumbani wanoangea nini,wawanfanya nini ndipo utaona kwanini wengine wapo doomed to fail.Kuna vitu vinawapa raha akina JK,Mudhihiri, and the sort kama kuwapa offer za bure, kusupport band za taarabu ,na mengine kama futari, Mbowe utakuta akiwapa watu misaada pale wanapowajibika, huku akiwapa kila dalili kuwa lazima wafanya bidii, na umasikini si kitu cha kupenda.Harambee za ulinzi na michango ya kimaendeleo kama shule ,makanisa, barabara na zahanati au vituo vya polisi wanajua wahaga wenyewe jinsi vinavyofanywa kwa nguvu,huku wenzao wakiheshimu sheria sana kiasi ch akukubali kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria za vijiji.Sasa mikoa mingine mifereji yote na mito ni sewage system,na hakuna mtu anayechukua action.Wachaga wamejenga shule, makanisa, zahanati, vituo vya polisi, kuchonga barabara Tanzania nzima ama kwa nguvu kazi ama kwa pesa.Hii spirit hakuna kwa watu wengine,zaidi ya wahaya na wachaga.

Wachanga wengi huletwa mjini na ndugu zao kufany kazi bila malipo ila mwisho wa mwaka nao hufungua yao,ingawa muda wote walikuwa hawali wala kuvaa kwa anasa.mswahili akipata atakuwa msafi ghafla,ataoa,atabadili kila kitu hai mwajiri wake aanze bana kila angle.

Kuna wavivu kila mahlai ila kwa wachaga kujaa vibarazania asubuhi wakiwa wamevaa khanga mbili, na misuli hadi siku inaisha kila mtu atakushangaa.Akina mama wa kichaga arusha,moshi saa 11 wapo njiani na ndoo,vikapu etc wanawahi masokoni kununu bidhaa bora,saa moja wamshapanga ktk megenge au sokoni na tayari wanakwenda kufany abishara nyingine kama kununua na kuuaza mitumba,kutafuta nyasi za ngombe ambao pia wakiuzwa mtoto anakwenda shule au kwenda mashambani.

Cha kushangaza hawa akina mama wa apwani wanaoshinda vibarazani na nyumba zao zinathibitisha jinsi zilivyojengwa,wana miguu iliyopasuka pasuka vibaya ,huku wakiwa wachafua wa mwili na nyumba zao.
 
Mbona povu linakutoka we wapwan mbona hujapata hata ulinz wa bank,ulikuwa wap wenzenu wanavamia mji wenu wanajiendeleza mpaka wanapeana madaraka msipeane nyie..,acha kukaa kijiwen kafanye kazi..

Nimependahayo makavu
 
Nicholas said:
Kuna wavivu kila mahlai ila kwa wachaga kujaa vibarazania asubuhi wakiwa wamevaa khanga mbili, na misuli hadi siku inaisha kila mtu atakushangaa.Akina mama wa kichaga arusha,moshi saa 11 wapo njiani na ndoo,vikapu etc wanawahi masokoni kununu bidhaa bora,saa moja wamshapanga ktk megenge au sokoni na tayari wanakwenda kufany abishara nyingine kama kununua na kuuaza mitumba,kutafuta nyasi za ngombe ambao pia wakiuzwa mtoto anakwenda shule au kwenda mashambani.

Cha kushangaza hawa akina mama wa apwani wanaoshinda vibarazani na nyumba zao zinathibitisha jinsi zilivyojengwa,wana miguu iliyopasuka pasuka vibaya ,huku wakiwa wachafua wa mwili na nyumba zao.

Nicholas,

tafadhali sana watch your language. jaribu kusoma vitu unavyoandika kabla hujabonyeza reply. wananchi wa pwani shughuli yao kubwa ni uvuvi. sasa kabla ya kuwaita wavivu, unajua ndugu zetu hawa wanadamka saa ngapi kwenda baharini kuvua? je, unajua shuruba wanazokabiliana nazo siku hadi siku?

halafu unapoleta hoja ya wanawake wa pwani na kupasuka miguu, hivi unajua unachokiongea wewe? halafu umejivika kilemba cha kuzungumza kwa niaba ya wachaga huku ukiwakosea wengine adabu. sasa unataka kusema wanawake wa kabila lako hawapasuki miguu, au hawana kasoro yoyote ile?

thread hii ilikuwa na lengo na kuwa uwanja wa kufundishana. nashangaa sana wewe ni mchangiaji pekee hapa unayetoa kashfa kwa watanzania wenzako. WE NEED SOME TOUGH LOVE, LAKINI SIYO DHARAU, NA KEJELI.
 
Aliyeanzisha huu uzi ni ****** kweli,haya si mambo ya kuongelea ktk tz hii,kwa hiyo anashauri wale ambao hawajaendelea wafanye nini kama siyo kupandikiza chuki, aende rwanda akajifunze mla mavi huyu
 
Mkuu personally huwa sipendi watu wanao propagate mambo ya ukabila, au kusema vibaya makabila mengine - majivuno yasiyo na tija, wengine tumewahi kutembelea mikoa hiyo mpaka vijijini - utakuta vijijini ni watu masikini sana na vijumba vya kienyeji vilivyo jengwa kiajabu hajabu, uwezi kabisa kulinganisha na nyumba za kienyeji za watu wa pwani ambazo zimejengwa kiufundi sana na wanajuwa sana kujali mazingira hawakati miti ovyo, si hilo tu watu wa pwani ni binadamu wakalimu sana hawana majivuno na kujikweza.

Vyuo vikuu anavyo zungumzai vya mkoani Mbeya ni branch tu za vyuo vikuu husika, Ukija shule za ufundi za VETA mbona vimetapa kaa nchi nzima, siyo vizuri kujaribu kuwafanya binadamu wenzako wajisikie vibaya.

Dar na Mbeya zilijengwa na taifa chini ya mikakati ya kitaifa.Km serikali ingeamua Jenga Tanza dara igekuwa kama lindi tuu.Mbeya imebeba ukanda wa Kusini ingawa hata hivyo iringa ina uwezo wa kukuwa kuliko mbeya.Na hata wanafunzi wanaosoma mbeya idadi kubwa ni wa mikoani na waliokosa vingine maarufu.Sasa kati ya hao wa mikoani wangapi ni kabila za mbeya sidhani kama italeta taswira nzuri.

Mkoa wa pwani haujaweza kabisa tumia adavantage ya kuwa karibu na Jiji la dar kwa vyoyote vile na hiyo inachangiwa sana na mila na desturi zao.Niliwahi simamia miradi mingi mingi tuu ya ujenzi kule.Vijana wanafanya kazi ngumu bure,na wafanyapo kazi ya malipo yenye afadhali basi wakipokea malipo ya week basi ,next day wakija wanakuwa wasafi sana na kazi hawafanyi tena hadi wamalize hiyo hela.Kwa fikra za mchaga au wengine wa namna hiyo huwa wanafight ili by the time kazi inaisha basi wawe wamekusanya hela nyingi iwezekanvyo ili wafikie malengo waliyojiwekea.

Tusichukulie majivuno kuwa ndio nguvu,au kuwa downlow ni kuwa dhaifu.Udhaifu utaonekana pale mtu anapopewa task.excuse anazozitoa kuhaliasha kushindwa kwake kabla hata ya kuanza.Nimeangalia hata uchezaji wa mpira,wachezaji wa pwani utawaona wakijituma sana kila siku na kuonekana kuujua mpira ila ktk serious game utaaona wanapungua wanapisha wa mikoani.ndipo utaona watu wa Kigoma,mwanza, mbeya etc.Wachaga wanaujua mpira ila bado hawaamini hiyo route sana, ndio maana huishia shuleni na vyuoni tuu.

Kuna line nyembamba sana inayotenganisha kuwa aggressive na kuwa exploitative,kama ilivyo kwa watu wasio na majivuno ila kuwa ni wavivu na wenye dharau ya namna yao.sijui kam ahujawahi sikia kehehi wanazopata akina mangi na mshomire wanavyoingia mjini kwa mara ya kwanza.Au hata wakishafanikiwa huku wenyeji wakiwaona.utasikia huyu kaja hapa mrugaruga tuu, tumemfundisha moja,mbili..tatu sasa kapata hiki asalimii au haji tena kijiweni.Hawajui unapoongeza biashara muda wa kushidna magengeni unapungua,na kama kweli kama wao waliwafunsiha wenza vitu fulani kwanini wao wasiwe na nia ya kuvifanya?Mvivu si kwamba hajui vitu,ila hataki vifanya.

Ktk mpaka wa plot yangu niliotesha mgomba mmoja mmoja kila baada ya mti mmoja kuizunguka plot, haikuchukua muda nikawa napata ndivi za kutosha kula na kuuza kila week angalau mikungu 3.Wenzangu walikuwa na mashamba walikuwa na njaa kila siku.Na hela zao walikuwa wakimalizia kununua vyakula vya kukaribisha umasikini,kama mishikaki na chipsi ktk nyumba yenye lundo la watu.Hembu fikria unahitaji mishikaki kiasi gani na chips, maandazi au vitumbua ili wfamilia ya baba ,mama, wajomba na mashangazi 6,watoto 5,wajukuu 7 na ndugu wengine hata 3 tuu?.Hapo ndipo watu wa pwani wanapo exhaust mafanikio waliyoyapata kwa priviledge wanazozipata.Hata fisadi wa leo kesho utamkuta masikini, ndugu zake wote atakaowaweka ktk miradi wan auwezekano mkubwa kutumbua hela na kuziweka ktk miradi wasiyoweza angalia na mwishowe mstaafu kufa akiacha umasikini.

Anayebisha afungue macho kila apitapo maeneo ya pwani ukiona mabaki y amagari ulizia ni ya nani na huyo mtu alikuwa nani,utasikia jinsi wengi wakiwa ni watu maarufu sana na waliwahi shika hela sana,leo watoto zao wanaishi kwa hisani ya CCM tena.
 
Sasa hakuna kabila lilobaki nyuma kwa maendeleo na kusoma. Ngoja nawaulize wachaga ambao mnajisifia sana kwenye huu uzi kwa nini sasa mnabaguana na kudharauliana, Mkibosho anamuona Mkishimundu mjinga, Mrombo anamuona Mmachame mshenzi.
 
Ahsante kwa marekebisho.
Pia kuweka record sawa.Barabara za Kilimaanjaro maeneo mengini mpya sana.Manispaa wamekuwa wakiongeza kilomita kila kukicha, ziendazo nje ya Mji zilijngwa na taasisi fulani ktk meneo husika kupitia ufadhili.Mweka zilijengwa na chuo cha wnayama pori Mweka,kwa umihimu wa KCMC ,Chuo cha Ushirika, bara bara ya machame nayo ilijengwa kwa umuhimu wa machame hospital na lobbying ya wamachame wa mwanzo, marabara ya Moshi arusha kutokea maeneo ya CCP imeshaharibika na kabisa baada ya barabara kuhamia barabara itumikayo leo.Barabara zote zimetoweka na kubakia machimo yanayonyesha kwa mbalia kuwa paliwahi kuwa na lami.Kilichobaki ni vidaraja vyembamba vya mjerumani ambavyo vinasifika kustahimili shuhuli.

Barabara ya mailisita kwenda weruweru ni msaada kwa shule ya weruweru na ushawishi wa mama merry Kamm.Barabara ya sanya Juu,nayo ni kwajili ya umuhimu wa mardi wamisitu wa west kilimanjaro na hospital ya rufaa ya kifua kikuu. Nyingine zote ni mpya kabisa.

Kwa ujumla wakoloni waligundua njia salama kwao kudeal na wachaga ndio maana manamba walitoka nje "cha saka, machomba, wakasa".ambao walikuwa ni watu wa porini na wa hovyo.Wakoloni walijenga mfumo ambao hado leo CCM wanatumia mthibiti mchaga.Shule za wachaga zilijaa watu wa kuja kuliko wachaga wenyewe an hata watu wa nje.Shule niliyosoma haikuw ahi faulisha hata mtu mmoja hadi hsule za kata zilivyokuja ila wote walioamua kwenda secondary masomo hayakuwa kikwazo.Hao watu wa Tanga na mikoa mingine wana tabia hatarishi kiuchumi kwao na kwa watu wanaowazunguka.Hesabua kina Shelukindo ,Kibanga na hata Makamba leo, wamepat anafasi ya kucheza roll kubwa sana ktk nchi inayojengwa na wengine,ila uwepo wao maadarakani ndio ulinzi wao kiuchumi, wakitoka tuu ni muda tuu kila kitu kinabaki hadithi.


Tatizo ni watu, kwa pinda na Zenj maeneo ambayo hayjawahi pata lami kabisa, wawakilishi wao wamekubali jengea lami ya kiwango cha chini kwa kushiriki katika rushwa."hata hapa panatosha nani atakuja dai wakati hata hii ni neema tosha".

Statistics zisizo rasmi zinaonyesha kuwa wachaga walijenga nyumba kwa kazi kama kuchinja,kushona, biashara ndogo ndogo na wachache kupitia shule(miko ya maofisini na viwandani).Ila Tanzania nzima,mikoa mingine yote watu wamejenga kupitia mashirika,kama si reli, ni bandari, ni TTCL,Posta,bank ,general Tyre, Urafiki na kwingineko wachaga hawakuwa wengi kwani System ya Nyerere iliwabana na iliendelea wabana hadi leo huku wengine wakiruka hivyo vikwao wanavyotaka kwa minajili ya dini na mengineyo.

wachaga wan adapt mazingira haraka sana na kubadili kuwa success hata pale wakiwa ni underdogs,wachaga wengi waliingia mjini wakiuza karanga, umachinga, shoe shining,house boys,kuuza makongozo na chips etc huku wakidharaulika na wenyeji wao ila soon wanaanza kubalika na mizaha waliyokuwa wakikejeliwa inakuwa Brand yao na baadaye wanakuwa threat kwa wenyeji.

Hakika ukweli mtupu huu...

proudly chagga..
 
Nicholas,
nilifikiri utajifunza kuacha dharau lakini wapi. kama wapare wangekuwa wavivu basi leo hii wangekuwa ombaomba wakubwa kabisa hapa tanzania. napenda kukuhakikishia kwamba jamii yoyote ile yenye silka ya uvivu haiwezi kuishi ktk mazingira magumu ya upareni.

umeeleza ukweli kuhusu historia ya wapare na ufuaji chuma pamoja na uingiliano wao na wachaga. kitu ambacho umesahau ni kwamba siyo wapare wote waliokuwa na utaalamu huo wa kufua chuma, bali ni koo chache tu za wapare. sitaki kuzama katika historia hapa. kuhusu suala la vita, au kutawala makabila mengine, wapare hawana historia ya kuwa wapiganaji vita pamoja na kwamba miongoni mwao kuna koo zenye historia ya kufua vyuma na kutengeneza silaha. wapare wameshawahi kuvamiwa na wachaga, wazigua, wasambaa, na kushindwa katika vita vyote hivyo kutokana na ukweli kwamba hawakuwahi kuwa na watawala wenye nguvu. hizo zama ambazo ulitegemea wapare wawatawale wachaga, kulikuwa hakuna kabila linaitwa "wapare" bali kulikuwa na koo ndogo ndogo zisizokuwa na utawala rasmi--yaani uncoordinated. hizi dharau zako zinaweza kutibiwa na kujifunza historia kidogo.

wapare wana asili ya zaidi ya kabila moja ya afrika mashariki. kuna wenye asili ya ukamba, uchaga, utaita, na makabila mengi wanayopakakana nayo. hata leo hii unaweza kukutana na watu wachaga wengi tena wengine wenye hadhi kubwa ambao wana asili ya upare. hali hiyo pia ipo kwa wapare ambao wana asili na majina ya kichaga. kama umewahi kumsikia advocate tenga ambaye ni mpare, lakini leodgar tenga wa tff ni mchaga.

kuhusu mradi wa mpunga kihurio sina habari zake ila nitazitafuta. maeneo ya kihurio,ndungu,na gonja yanasifika sana kwa kilimo cha mpunga. kilimo cha mpunga upareni kina matatizo mengi lakini kubwa kupita yote ni upatikanaji wa maji, na kupungua kwa rutuba katika ardhi. pia kuna uharibifu wa mazingira unaotokana na population kuongezeka maeneo ya milimani. kilimo cha mpunga siyo kirahisi kama unavyokielezea hapa, nadhani umetoka huko mjini na uchagani na dharau zako ukaanza kutukana watu. sina hakika kama umewahi kujisaili wewe binafsi matatizo yako ni nini mpaka ukashindwa kufanya kazi na hao wapare unaowatoa dosari. kwasababu mimi naona maneno yako mengi yana ukakasi mkubwa sana wa dharau na ubaguzi.

kilimo cha mpunga: hii ni shughuli ya asili kwa wananchi wa tambarare ya upare. raisi mwinyi aliwahi kutembelea tambarare ya upare na kuwapongeza wananchi kwa kilimo cha kisasa!! wananchi walimshangaa kwasababu wamekuwa wakilima kwa umwagiliaji tangu enzi za mababu. sasa kuna kipindi mchele wa upareni ulikuwa unafika mpaka mombasa, tanga, na daresalaam. tena mombasa ulikuwa unakwenda kwa magendo a kuna wapare wametajirika kwa magendo ya mpunga. ni nini kimetokea mpaka kilimo hicho kimekuwa na matatizo hilo ni suala ambalo wadau wa upare tunapaswa kulipatia majibu.

narejea tena katika hoja yangu kwamba huko uchagani mmepakatwa kwa muda mrefu na wakoloni. huna haki yoyote ile ya kutoa maneno yako ya dharau kwa jamii nzima. hata sisi mkoloni angetupakata tungekuwa mbali kuliko ilivyo sasa hivi kwasababu kile mpare ukimpa idea ndogo tu lazima itaikuza.
mkuu naona nisamehe kama nasound too harsh na mkabila.Ila nilikuambia pia walioshuudhia hayo pia kuna wapare na makabila mengine.Pengine na uwezo wangu wa kutumia lugha pia unaweza kuwa tatizo au hata misimamo yangu inaweza kuwa ni extreme ila ningependa usikimbie baadhi ya vitu.Sijasema kuwa hayaoa yafanyikayo na wapare au wachaga ni genetic kwani sina proof kwa hilo.Ila tamaduni na kuathirika kwa tamaduni ni tatizo.Hata hao wapare wanatofautina pia, walio karibu na wakamba nao huko Kenya ni tatizo ktk kuaminika linapokuja suala la kuweka maslahi binafsi pembeni.(Yaani akina shibuda ni wengi sana), na kuna wapare wanaowabeba wengine kama tunavyowaona waking`aa mijini.

Uwezo wao wa kustahimili shida na ubahili hata wachaga wa rombo na kwingine wanajulikana kwa hilo na hilo ni dunia nzima watu waiofanikiwa walijifunza heshimu pesa,chakula, na mali zingine ambazo ni reusable,ukienda south america,china,india, central europe ,german,italy utaona wanavyokomalia chakula.Ila napo ukiuliza baada ya kusave wanafanya nini next walichosave utakuta wengine walihonga wanawake, wengine waliongeza magari zaidi ya kuimarisha vitu endelevu na vya kudumu kama nyumba bora na vitu vingine.Bishara ya mabasi na malori kwa wapare inaweza kuwa ndio kubwa zaidi mkoani kilimanjaro,ila ktk majengo si wengi sana.Ndio maana huwa wana disappear kirahisi sana kama watu wa pwani.

Kw ataarifa yako watu wa mikoa ya morogoro,rukwa, shinyanga,tabora,mwanza, singida, babati, Kondoa Iringa na mikoa mingine wana utajiri mkubwa sana kuliko hata wachaga ila mwisho wa siku huwa ni masikini kabisa kuliko wachaga.Watu wahuku wanavuna mazao kwa kiasi kikubwa kwa vile wana mashamba makubwa,wanapata ruzuku za serikali sana, ila wamewekeza sana ktk magari, hata mashine za kazi huwa zinafungwa katk majengo duni sana, kama si chini ya miti,sasa hii hufanya workshop isiwe na thamani kabisa ya kuweza uzwa.Pia biashara ikiharibika na magari kuharibika basi hubaki na mascrapers yalioyagaa ktk nyumba kama temporary camp.Si kweli kuwa wachaga wana nyumba za kutisha sana huko kwao kwa viwango vya mijini kwa leo ila bado zinamazingira yanayozithaminisha.

Wapo wapare wanaishi kimwinyi, wapo wanaoishi kama wayahudi na wapambanaji.Sasa net effect ndio inamatter.
 
Kwenye harsh and limited life conditions ndio kunakuwa na maendeleo because you either swim or sink. Europe kuna more harsh conditions kuliko most parts of Africa na ndio maana watu wanajituma na kuna maendeleo tunayoyaona.

And this reminds of this joke:
Mzee mmoja wa Kichaga aliekuwa mgonjwa kitandani alimuita mtoto wake mmoja wa kiume ambae maendeleo yake kielimu na kimaisha hayakuwa yanamridhisha baba yake. Kijana alipokuja baba yake akamwambia: "Mwanangu John, nimekupeleka shule umeshindwa, nimekufundisa wisi umeshindwa. Sasa mimi ninakufa utakula mafi yako!

Kwa hiyo kijana alifanyeje mbona umekatiza story?
 
Sasa hakuna kabila lilobaki nyuma kwa maendeleo na kusoma. Ngoja nawaulize wachaga ambao mnajisifia sana kwenye huu uzi kwa nini sasa mnabaguana na kudharauliana, Mkibosho anamuona Mkishimundu mjinga, Mrombo anamuona Mmachame mshenzi.

Hizo difference sio significant kuwafanya wasioleane wala wasishirikiane. Ikifika kwenye issue nzito haswa wakiwa ugenini wachagga wana ushirikiano mkubwa bila kujali anatokea Kibosho, machame, au kishumundu
 
Nicholas,

tafadhali sana watch your language. jaribu kusoma vitu unavyoandika kabla hujabonyeza reply. wananchi wa pwani shughuli yao kubwa ni uvuvi. sasa kabla ya kuwaita wavivu, unajua ndugu zetu hawa wanadamka saa ngapi kwenda baharini kuvua? je, unajua shuruba wanazokabiliana nazo siku hadi siku?

halafu unapoleta hoja ya wanawake wa pwani na kupasuka miguu, hivi unajua unachokiongea wewe? halafu umejivika kilemba cha kuzungumza kwa niaba ya wachaga huku ukiwakosea wengine adabu. sasa unataka kusema wanawake wa kabila lako hawapasuki miguu, au hawana kasoro yoyote ile?

thread hii ilikuwa na lengo na kuwa uwanja wa kufundishana. nashangaa sana wewe ni mchangiaji pekee hapa unayetoa kashfa kwa watanzania wenzako. WE NEED SOME TOUGH LOVE, LAKINI SIYO DHARAU, NA KEJELI.

Pengine unataka ni demonize ndugu yangu..ila niambie mtu wa kibaha,pongowe, mlandizi etc wanakwenda saa ngapi kuvua na wanavua wapi kwa scale hiyo unayosema?Hata kama wanalima mpunga kuhamia ndege ni mchana ndugu yangu.Hembu kesho panda gazi kuanzia ubungo hadi ruvu tuu halau urudi.Halafu katiza magomeni ,buguruni hadi ilala uniambie wangapi ni wavuvi ndugu yangu.

Ndugu yangu niambie kama kaian mama wanavua pia.Sijui unadhani sinaangalia vile vibaraza vyao vilivyojengwa kama viti vinajaa mida gani?Hata jioni kuwa watu kipindi ndani kunakuwa na joto.

Kwanini uchukue route nyepesi ya kutaka ni demonize ili kunijngea hoja mimi na si kuiangalia hoja.
 
Sasa hakuna kabila lilobaki nyuma kwa maendeleo na kusoma. Ngoja nawaulize wachaga ambao mnajisifia sana kwenye huu uzi kwa nini sasa mnabaguana na kudharauliana, Mkibosho anamuona Mkishimundu mjinga, Mrombo anamuona Mmachame mshenzi.

Mbona Mmasai aliyepo zenj anamdharau Mzenj kwa kumwita mvivu, na mzenj(bwanyenye) anamdharau mbara kwa ujumla wake akiona kuwa anstahili kuwa mtumwa.Na huku bara wamasai lifestyle yao inatazamwa tofauti na watu na vilevile kufanywa kundi la kudanganywa na kubambikizwa vitu.

wachaga nao wamepitana vitu vingi,wana prioroty tofauti zinazowafaya wadharaulike,kama choyo,ulafi na chaguzi mbaya.Sasa kam wanarumu na wakishumundu wengi walikuwa wakichagua vyakula,na pombe tena za bure na hivyo kuwa vulnerable.Wakibosho waliendekeza vilabu vya mbege kwa sana mwanzo viliwalipa ila baadaye vikaanza athii makuzi ya vijana na vipaumbele vya familia.Wamachame na Wamarangu walipewa ubaguzi kutokana na wakoloni waliowatawala walivyowajengea ili kuvunja tawala za Mangi wengine.Wamachame walikuwa na walutheri na waislam kw ahiyo pombe ilibanwa sana,wakati wakibosho ,wakilema,wauru, na warombo walikuwa chini ya catholics na pombe haikuwa kikwazo,hivyo kuendana na tamaduni zao za kilevi.Na hata baada ya uhuru walitumika sana kuwahadaa mangi wengine wajiunge halafu baadaye marealle akawauza kwa kukabithi mamlaka kwa nyerere.Baadaya majigambo mengi sasa hivi wamachame masikikni wanpata shida tengeza maisha maisha kuliko wakibosho na warombo wasiojua kujishaua.Mwishowe sasa wanaoenda mwendo mmoja.Mkibosho na mrombo wanaweza tengeneza hela bila shule wala urithi.
 
Kipimo kimoja cha maendeleo kizuri ni net migration. Kama Mbeya na Kilimanjaro kuna maendeleo ni watanzania wangapi wanahamia kwenye mikoa hiyo?

Kama hakuna migration yoyote, basi walichonacho watu kutoka mikoa hiyo ni unafuu wa shida. Na unafuu wa shida sio maendeleo.
 
Mkuu Joka Kuu,
Labda nikumbushe kuwa mkoa wa Tanga ndio wa kwanza kuwa na gazeti wakati wa Wajerumani 1905.
Mkonge ulikuwepo miaka mingi sana kabla ya uhuru na ndilo chimbuko la miundo mbinu kama bandari na reli.

Katika shule za zamani sana mojawapo ni Tanga Tech school iliyokuwepo kabla ya Uhuru.
Athari zitokanazo na wageni kama Waarabu zilikuwepo, ikiwa ni pamoja na wamishenari waliofika mapema.
Tanga imekuwa manisapaa tangu mwaka 1966. Umetoa takwimu nzuri tu kuwa wasomi walikuwepo tangu zama hizo.
Kwahiyo factor zote zimekamilika! Je, kwanini Tanga imefika hapo ilipo?

Tuangalie mikoa ya Kanda ya Ziwa. Ukiacha Kagera uliokuwa na cash crop kama Kilimanjaro, Mwanza na Shinyanga zilikuwa na Pamba pamoja na madini (Williamson Diamond 1948). Hata kama wazawa hawakuchimba lakini ukweli unabaki kuwa hicho ni kitu muhimu sana katika maendeleo.

Katika miaka ya 70 na 80 Pamba ilikuwa hot cake na moja kati ya Cash crop kubwa sana nchini.
Tofauti na matarajio athari za Kahawa Kagera zinaonekana katika maendeleo hadi leo, kwanini basi Mwanza na Shinyanga zisiwe kama Kagera achilia mbali Mbeya au Kilimanajaro?

Uwepo wa Bandari ya Mtwara ulitokana na kilimo cha Korosho na mengine ya cash crop. Hata kama Korosho ilianguka kama kahawa ilivyoanguka katika soko la dunia, kwanini hatuoni effect yake hata kama si kwa kiwango cha Mbeya na Kilimanjaro?

Zakumi, kama kipimo kimojawapo cha maendeleo ni net immigration, huwezi kuishia hapo ni lazima uende mbele zaidi.
Kilimanjaro, mathalani, watu hawahamii kwasababu ya uhaba wa ardhi. Kesi nyingi za Kilimanjaro ni kuhusu migogoro ya ardhi. Lakini pia lazima ufahamu kuwa ili mtu aweze kuhamia Kilimanjaro ni lazima awe contender na si pretender. Hilo linawazuia wengi kuhamia kule. Matokeo yake ni kinyume, Wakazi wengi wa Kilimanjaro, Mbeya na Kagera wanazidi kuteka maeneo mengine kwasababu wanahimili competition.

Nicholas, nadhani unawahukumu Wapare bila kuwa na inside out zao. Sidhani kuwa wewe kufanya kazi na Mpare mmoja kitakwimu inakidhi haja ya kujenga hoja achilia mbali ukweli wa takwimu hizo. Unasahau kuwa katika mkoa wa Kilimanjaro ni wilaya mbili tu ndizo zenye wenyeji wakaazi wapare yaani Same na Mwanga. Na kuna ukweli kuwa watu wanashindwa kutofautisha hata kwa majina. Njau ni Mpare na Mchagga, Mberesero ni Mchaga na ni Mpare, Minja anaweza kuwa Mchaga au Mpare. Kwahiyo ukijenga hoja kuna 'thin line' unayotakiwa kuiangalia.

Ningeomba unsome vizuri Bagusule ana hoja za msingi sana si kutaka kushinda majadiliano ni kuweka sawa kumbu kumbu.
Mfano, nimeona mifereji ya umwagiliaji iliyotumika vizazi 4 vilivyopita. Endapo kizazi kimoja kina life expectancy ya miaka 40 tu, hapo tunazungumzia umwagiliaji kuanza kutumika miaka 160 iliyopita.

Ni wapare waliowahi kusimama toe to toe na Mkoloni kupinga kodi kwa kuelewa kuwa haikuwa sahihi na wala haikuwasaidia kwa matarajio yao( MBIRU). Unapodai ni waoga na hivyo CCM itawatawala unakosea sana.
Ninachojua ni kuwa utiifu wao upo kwa viongozi wao na si chama! wamejenga shule na zahanati baada ya kuweka tofauti za kisiasa pembeni. Wakati watu wanazungumzia shule za kata wao walimaliza siku nyingi sana na Msuya.
Walivunja miamba, wakachangishana majogoo kwa kutumia mbunge wao.

Ubahili wao unawasaidia sana na ingekuwa ni majuu tungesema 'financial discipline yao ni excellent na ni fiscal conservatives. Kwa vile ni Wapare wanaitwa Mabahili.Ubahili wa kupeleka mtoto shule nadhani ni mzuri kuliko kuwa Frugal (Arusha wanasema Fogo) kusikosaidia.
Sipendi kujadili watu napenda tujadili issue, hivyo hilo sitaendelea nalo.

Tujiulize, Je, wale ndugu zangu za Malinyi, kidogo basi, Zignali na viwanja sitini wanaotumia mpunga wa msimu katika hafla za kila siku ikiwa ni pamoja na pombe wamlaumu nani?

Ninachosema hapa ni kuwa maendeleo yana vichocheo lakini kubwa zaidi ni hulka na tabia zilizojengwa na tamaduni.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom