Mbeya: Mtuhumiwa adai nyeti zake kutoweka baada ya kudharau onyo la Shekhe la kutembea na bintiye

Mkuu huwezi tenganisha dini na mienendo ya waumini wake.

Ndio maana Biblia inasema dini iliyo ya haki mbele za Mungu ni ile ya kuwasaidia Yatima, wajane, wasiojiweza na kuepuka udhalimu.

Dini ni matendo ya waumini.
Ni kweli, ila hebu tuone huyu Shekhe ambae amefanya nje msikiti, alafu tuangalia hawa ambao wamefanya yafuatayo, na wengine wanayafanya ndani ya makanisa, alafu tujiulize je ndivyo ukristo ulivyo.

1. Kwa wafuatilia habari tunakumbuka Kisa Cha wale mapadri waliokua wakiwalawiti watoto, makanisani.

2. a. Wengi tumeona visa vya mtu anaejiita Nabii Titto, Huku akitumia vifungu vya Bibilia vibaya, Mfano kile cha kula mfanyakazi wake, huku mkewe akitambua hilo, kupiga kilaji.
b. Titto, aliulizwa na wanahabari pale mlimani City, alipoenda kwe birthday, mama yake Diamond, kwanini amejiremba vile, kwa kupaka lipstick, kunyoa nyusi, kupaka rangi nywele, kuvaa heleni, na kuvaa nguo inayofanana Dela.

Akajibu: kwa kutumia vifungu vya Bibilia, alisema: Mwili ni hekalu, na hekalu maana yake ni nyumba,
nyumba inahitaji kupambwa, kwa kupanga rangi na mapambo mengine, Sasa kama nyumba inapambwa nae haoni kosa kupamba hekalu lake ambalo ni mwili wake.

Hebu tafakari ulete jibu, mbali na yanayoendelea ndani ya baadhi ya makanisa kuwatapeli waumini, kupitia vifungu vya Bibili.
 
Mnafika mbali sana ukiwa umekamata dini yako vyema utaheshimu ya mwenzako na hutosumbuka na wahuni wanaokejeli na kupanikisha wenzao waombee msamaha kwa Mola wao Hawajui wayatendayo
funzo la mjinga tabu..hapo ndo kaelewa vizuri
 
Asante sana.

Na waganga wa kienyeji kutumia Quran mwenye shughuli zao unazungumziaje?
Hilo halifai kwanza sidhani kama kweli huwa wanatumia Qur'aan.

Waganga huwa wana andika tu maandishi mfano wa maandishi ya kiarabu na huwa hayaeleweki.
 
Unauhakika wachungaji wanawekea watu mapepo?
Sijasema wachungaji wanawekea watu mapepo,..

nimesema Makanisani tuaona wachungaji wanafanya kazi za kuwatoa watu mapepo, mapepo wengine ni kweli lakini wengi wao ni michezo ya kuigiza..

Je umesha ona Misikitini mashehe wakifanya hivyo??
 
Mshtakiwa Faraji Ramadhani mwenye umri wa miaka 27 ameiomba Mahakama imruhusu ajidhamini mwenyewe kutokana na sehemu zake za siri kutoweka hivyo kupata maumivu makali anapokuwa Mahabusu.

"Hakimu nilikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mtoto wa Shekhe, Ustadhi huyo alinionya sana kuachana na Binti yake lakini sikusikia ndio chanzo cha sehemu zangu za siri kupotea, nikiwa nyumbani natumia dawa za miti shamha kutuliza maumivu"

Kutokana na malalamiko hayo Hakimu Manase aliamuru mtuhumiwa huyo aliyefikishwa Mahakamani hapo kwa kosa la wizi wa Kompyuta akaguliwe na baada ya askari kumkagua ilibainika anachokisema ni kweli.

Hata hivyo Hakimu Diana Manase wa Mahakama hiyo ya Mwanzo Jijini Mbeya aligoma kumruhusu kujidhamini kwa madai akitoroka hawezi kujua wapi kwa kumpata na kumtaka avumilie kwakuwa tatizo kalitafuta mwenyewe maana shekhe alimuonya aachane na Binti yake akakaidi, Kesi imeahirishwa hadi September 27 mwaka huu.
View attachment 1214910
Huyo si shehe ni muhuni tu. Huwezi kumfanyia mtu unyama wa aina hiyo. Alitakiwa akae chini na Bintu yake amfahamishe na sio kumfanyia mwenzake hivo alivomfanyia. Haipendezi hata kidogo. Hakuna Dini inayawafiki mambo yakishenzi kama hayo.
 
Nukuu

... avumilie kwakuwa tatizo kalitafuta mwenyewe maana shekhe alimuonya aachane na Binti yake akakaidi,...
Hapo Sheikh amemtegea siku akienda kuomba msamaha atamuambia ili nikusamehe inabidi unipe nikupime oil.yaani hapo huyo jamaa lazima atatoa tu kwa Sheikh.
 
Chuki ni kama kilema, kuna vilema vingine mtu hajui kama anacho na kumwambia kua wewe mtoto wa kiume unakilema cha kutembea huku unakatika mauno kama demu mcheza sindimba inakua kama wamkashifu

Wewe unakilema cha chuki dhidi ya hiyo imani uliyoitaja. Huo ni mwelekeo wa wa posts zako nyingi. Lakini sijui wataka ku achieve kitu gani? Kupata waumini wapya waje kwenye imani yako?
Umenielewa vibaya
 
na mimi nakuuliza dini ya kikristo inaruhusu kula nyama ya nguruwe? kama hapana mbona waumini wenu na wachungaji wanakula: biblia imekataza kula nyama ya nguruwe matthew ch 5 v, 7-20 na isaiah ch 65 v, 2-5
Ndugu yangu. Kiingiacho mdomoni sio haram. Haram ni kile kinachotoka mdomoni. Kwa mfano ukila nguruwe au hata nyama ya nyani. Ndani ya masaa kumi utakua umeipeleka uani kama haja kubwa na kusahau. Hebu fikiria mtu akutukanie mama yako au kibamia chako. Hakika jambo hilo hutakaa ulisahau. Na hata kama utasamehe lkn hamtakua na mtu huyo vizuri kivile
 
Quran kabisa mkuu
Ndio maana ktk mchango wangu wakwanza nilikuambia umepigwa vita vya kifikra,kila unachoona kimeandikwa kwaherufi zakiarabu unaona ni qur'an.kwakukusaidia tu hizo herufi zinatumika ktk lugha nyingi sana kiajemi wanatumia hizo nadhani hata kiindi wanatumia herufi kama hizo pia kipakstan.kama unavyoona kiswahili tunatumia herufi kama zakiingereza.qur'an niile iliyomo ktk msahafu hata vitabu vingi vyakiislam wewe ukiona utasema niqur'an sababu hujui qur'an ni nini ukiona mtu kashika kitabu charugha tu yakiarabu ambayo itatumiwa nawatu hata wagalatia walioko mashariki yakati wewe utasema niqur'an.
 
hilo halikufuata taratibu za uislam. Kumbuka shekh ni mtu sawa na watu wengine, anaweza kumtumikia shetani akipenda.
assalamu alaykum,
Hivi dini yenu inaruhusu ushirikina?
Kama hapana, kwanini baadhi ya viongozi wenu na waumini wenu wanafanya ushirikina tena hadharani na bado wanachukuliwa kama waumini?
Naombeni kwa hili mnijuze, napenda kujifunza.
Tukio la sheikh Mbeya kutoa nyeti za kijana ambae alikuwa anatembea na Binti wa sheikh huko mbeya limenishitua sana. Na hii sio mara ya kwanza kwa matukio kama haya kufanywa na waumini na hta viongozi wa misikiti.
Nawasilisha.
 
Ndio maana ktk mchango wangu wakwanza nilikuambia umepigwa vita vya kifikra,kila unachoona kimeandikwa kwaherufi zakiarabu unaona ni qur'an.kwakukusaidia tu hizo herufi zinatumika ktk lugha nyingi sana kiajemi wanatumia hizo nadhani hata kiindi wanatumia herufi kama hizo pia kipakstan.kama unavyoona kiswahili tunatumia herufi kama zakiingereza.qur'an niile iliyomo ktk msahafu hata vitabu vingi vyakiislam wewe ukiona utasema niqur'an sababu hujui qur'an ni nini ukiona mtu kashika kitabu charugha tu yakiarabu ambayo itatumiwa nawatu hata wagalatia walioko mashariki yakati wewe utasema niqur'an.
Mkuu Quran naifahamu.

Ni Quran sio kitabu cha kiarabu kama unavyofikiria.

Nishawahi kuwa na Quran pia.
 
Ndugu yangu. Kiingiacho mdomoni sio haram. Haram ni kile kinachotoka mdomoni. Kwa mfano ukila nguruwe au hata nyama ya nyani. Ndani ya masaa kumi utakua umeipeleka uani kama haja kubwa na kusahau. Hebu fikiria mtu akutukanie mama yako au kibamia chako. Hakika jambo hilo hutakaa ulisahau. Na hata kama utasamehe lkn hamtakua na mtu huyo vizuri kivile
Na wewe mkristo mwenzangu acha kupotosha!

Biblia hairuhusu ulaji wa nguruwe wala unywaji wa pombe.

Nyie ndio mnaofanya ukristo uonekane uhuni.

Mtu anakula nguruwe kwa tamaa zake za moyo na sio kwa Baraka ya kitabu kitakatifu cha biblia.

Ukisoma fungu kwenye biblia tafuta wa kukufafanulia. Hicho sio kitabu cha hadithi!!!

ASANTE
 
61412758_2198333966949152_2212134369072513024_n.jpg
 
Kwa hiyo kumbe tukiudhiwa tutoe kende tu eehe?
kwani mkeo au mwanao hajakuudhi mbona humtoi nenda kwenye sababu ya kumtoa. wazinzi kama hawa toleambali tena na bado hapo hadi awe shoga shenzi zake kama alijuwa sheikh ndo kafanya y hakwenda kumwomba msamaha, wahuni kama hawa ndio dawa yao.
mguse mkewe sasa anakuongezea tobo ili midume ipite.
 
Back
Top Bottom