johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
- Thread starter
-
- #41
Mkuu mbunge hachaguliwi na polisi!Uzuri hiyo itakuwa 2020. Polisi watakuwa wametawanyika, na wananchi watakuwa wengi kulikompolisi kwenye majimbo husika ya uchaguzi. utasikilizia mziki wake.
Basi Tulia atawashangaza!
Mwenywe amerudi na ni mwisho wa Tulia kukaimu kiti cha Sugu.Utakuwa ni mpambano wa watu wawili tofauti kabisa.... Niishie hapo!
I reserve my commentMkuu mbunge hachaguliwi na polisi!
Muulize Mwakalebela wa Iringa mjini wakati yeye ni MnyakyusaKuna ukabila kumbe?
Mrema hajawahi kuwa mbunge kinondoni acha uzushi Alikuwa wa temekeHicho siyo kisingizio, Augustino Lyatonga Mrema akiwa Nccr mageuzi alishinda katika uchaguzi mgumu kuliko ule wa Kinondoni!
Hicho siyo kisingizio, Augustino Lyatonga Mrema akiwa Nccr mageuzi alishinda katika uchaguzi mgumu kuliko ule wa Kinondoni!
Mimi ni mzawa wa mbeya we subiri ifke siku tume imtangaze aliyeshindwa ndipo utaifaham vizuri mbeya mjin.Tume kwani ni ya Chadema?
Mbeya inahistoria ngumu aisee na kwa umoja usiseme inahistoria ndefu kwanza ya kandoro tu iliwatoa jasho askari anaishiwa zana zinaanza kupigwa kavu kavu face to face tena na mtu mmoja hadi askari zinamwokoa mbio, tunaijua watatumia risasi za moto hio tunajua sasa subirini.Muulizeni jk kuhusu mbeya anaijua vizuri
Polisi hawapigi kuraTulia hawezi kushinda hata kwa dawa. Mimi ni mwana CCM ila siwezi kumpa Tulia kura yangu.
Dawa yake ili ashinde lazima atumie polisi. Ingawa vijana wa Mbeya tuko imara. Sisi sio wajinga j8nga wala legelege
Bado itakuwa vigumu, namshauri huyu binti aachane na mbeya, kwanza mbeya mwanamke kwenye uongozi kuanzia ndani ya nyumba syo preference yao,sawa na moshi kwa wachaga,tofauti kubwa ya kura itamnyima huyo dada ushindi.aombe kuteuliwa kama ilivyo sasa.wanyaki hawapendi ujinga na kampeni hizi zitaongozwa hata na wana ccm wenyewe
Bado itakuwa vigumu, namshauri huyu binti aachane na mbeya, kwanza mbeya mwanamke kwenye uongozi kuanzia ndani ya nyumba syo preference yao,sawa na moshi kwa wachaga,tofauti kubwa ya kura itamnyima huyo dada ushindi.aombe kuteuliwa kama ilivyo sasa.wanyaki hawapendi ujinga na kampeni hizi zitaongozwa hata na wana ccm wenyewe