Dr. Tulia utashinda IPU sio Mbeya

Vmatongo

Senior Member
Dec 8, 2021
156
237
Wengi tuliamini Sugu alikuwa hasikilizwi kwa sababu alikuwa anatoka upinzani, kumbe sio! Ile barabara kuu ya ajali nyingi za kutisha kutoka Mbeya kwenda Tunduma sie tuliamini sasa imepata mwarobaini ambaye ni Tulia Aksoni kumbe tulikosea sana, hamna kitu kabisa.

Hiyo barabara ndio haizungumzwi kabisa, bora Sugu alikuwa anaipigia kelele. Hvi nyie wabunge wa Mkoa wa Mbeya hasa nyie ambao mpo kando kando ya hiyo barabara eti mnaendesha matambiko ya kupunguza ajali wakati hiyo barabara ni nyembamba kupishana tu shida inataka ipanuliwe angalau njia nne, lakini mmekazana na waganga wa kienyeji!

Sisi wananchi tunamshangaa Tulia, ye ndio angekuwa mstari wa mbele kwenye hili kwa sababu wanasema ana nguvu serikalini sasa hata yeye ziiiii! Sasa tofauti yake na Sugu ipo wapi?

Mambo mengi Tulia pale Mbeya ni kama umeshindwa na ndio maana badala kupambana unakazania Marathon tu, maana ndio kitu unakijua zaid!

Sasa tumeshaamua jimbo halitagawanywa, utagombea hapo hapo Mbeya mjini ili tukufundishe adabu.
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
 
Wewe sijui Mnyiha au Msafwa wa wapi...

Plan ya hiyo barabara ipo muda mrefu na pia kulikuwa na plan ya barabara mbadala ya kutoka Uyole Igawilo na kutoboa kwenda Mbalizi
Kwa sasa hatuzungumzii habari za plan,kwa sasa ni utekelezaji tu ndio hatua iliyopo kwa sasa ndio hatua inayokwenda mchaka mchaka
 
Wengi tuliamini Sugu alikuwa hasikilizwi kwa sababu alikuwa anatoka upinzani, kumbe sio! Ile barabara kuu ya ajali nyingi za kutisha kutoka Mbeya kwenda Tunduma sie tuliamini sasa imepata mwarobaini ambaye ni Tulia Aksoni kumbe tulikosea sana, hamna kitu kabisa.

Hiyo barabara ndio haizungumzwi kabisa, bora Sugu alikuwa anaipigia kelele. Hvi nyie wabunge wa Mkoa wa Mbeya hasa nyie ambao mpo kando kando ya hiyo barabara eti mnaendesha matambiko ya kupunguza ajali wakati hiyo barabara ni nyembamba kupishana tu shida inataka ipanuliwe angalau njia nne, lakini mmekazana na waganga wa kienyeji!

Sisi wananchi tunamshangaa Tulia, ye ndio angekuwa mstari wa mbele kwenye hili kwa sababu wanasema ana nguvu serikalini sasa hata yeye ziiiii! Sasa tofauti yake na Sugu ipo wapi?

Mambo mengi Tulia pale Mbeya ni kama umeshindwa na ndio maana badala kupambana unakazania Marathon tu, maana ndio kitu unakijua zaid!

Sasa tumeshaamua jimbo halitagawanywa, utagombea hapo hapo Mbeya mjini ili tukufundishe adabu.
Aende akamuulize Balozi Mongela kile alichofanyiwa na watu wa Ukerewe, ndo nakiona kinaenda kumpata
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
Acha promo za kijinga shenztype
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
Wacha upumbavu wewe Mnyiha kama kweli hilo jina Mwashambwa ni la kwako. Unamfagilia sana huyu kigagula Tulia. Nilishakuambia Tulia hakuchaguliwa na wana Mbeya bali aliwekwa na Magufuli. Na ukitaka Tulia ashinde tena nenda Chato kamfufue yule DIKTETA.

Huo UPUMBAVU wenu wa kusubiri watu wafe ndiyo muende MISIBANI kupeleka sukari na mchele na vifedha kwenye bahasha ni kampeni za hovyo
IMG-20231014-WA0029.jpg
 
Wacha upumbavu wewe Mnyiha kama kweli hilo jina Mwashambwa ni la kwako. Unamfagilia sana huyu kigagula Tulia. Nilishakuambia Tulia hakuchaguliwa na wana Mbeya bali aliwekwa na Magufuli. Na ukitaka Tulia ashinde tena nenda Chato kamfufue yule DIKTETA.

Huo UPUMBAVU wenu wa kusubiri watu wake ndiyo muende MISIBANI kupeleka sukari na mchele na vifedha kwenye bahasha ni kampeni za hovyo View attachment 2782668
Hakuna mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kumtoa Dr Tulia katika jimbo la Mbeya mjini. Wana Mbeya wanajitambua na wanaelewa vizuri thamani ya Dr Tulia na kazi kubwa aliyoifanya katika kuwaletea maendeleo jimbo la Mbeya,ambapo sasa Mbeya inaheshimika na kusikika na kuvuma kwa mipango ya maendeleo tu,ndio maana unaona hata viongozi wakuu kwa sasa wanajisikia furaha kuitembelea Mbeya mara kwa mara. Yote hii ni kutokana na uwepo wa Dr Tulia kiongozi mchapa kazi na mbunifu wa kiwango cha juu.
 
Hakuna mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kumtoa Dr Tulia katika jimbo la Mbeya mjini. Wana Mbeya wanajitambua na wanaelewa vizuri thamani ya Dr Tulia na kazi kubwa aliyoifanya katika kuwaletea maendeleo jimbo la Mbeya,ambapo sasa Mbeya inaheshimika na kusikika na kuvuma kwa mipango ya maendeleo tu,ndio maana unaona hata viongozi wakuu kwa sasa wanajisikia furaha kuitembelea Mbeya mara kwa mara. Yote hii ni kutokana na uwepo wa Dr Tulia kiongozi mchapa kazi na mbunifu wa kiwango cha juu.
Kiongozi mkubwa ni mmoja tu Rais Samia, niambie katembea mara ngapi huko Mbeya?

Halafu ni undezi kusifia ziara ya kiongozi mkoani kwa kuwa kinachotakiwa ni maendeleo na siyo sura ya kiongozi
 
Itakuwa unaota usingizini wewe .Kazi anayoifanya Dr Tulia pale Mbeya mjini ni kubwa sana ambayo Sugu hata angepewa miaka mia asingeweza kuifanya hata robo tu .Ni kwa juhudi za Dr Tulia sasa Mbeya inakwenda kujengwa Barabara za njia nne kutoka igawa Mbeya hadi Tunduma kwa km 237.9. kazi hii maandalizi yake yameshakamilika na pesa ipo Tayari .miradi mingi sana imejengwa mkoani Mbeya kuanzia shule , zahanati, vituo vya afya ,maji kila sehemu, barabara za mitaa n.k .sasa Mbeya inapendeza na kung'aa kwa maendeleo kila sehemu.wafanyabiashara wanafanya biashara kwa amani na utulivu tofauti na hapo awali jiji lilipokuwa chini ya uongozi wa CHADEMA ambapo lilitawaliwa na mivurugu ya kila aina isiyo koma wala kuwa na kikomo.

Dr Tulia ameviwezesha vikundi mbalimbali vya akina mama na vijana Kupata mitaji kwa kuvipatia pesa za kutosha.ni Dr Tulia aliyewapa vijana wengi sana bodaboda na bajaji ambazo zinawasaidia katika kujipatia kipato cha kila siku, Ni Dr Tulia amekuwa akiwasaidia wajane ,yatima na wazee misaada ya kila aina ambayo imeleta tabasamu na matumaini kwao.

Ndio maana Mbeya kwa umoja wao na kwa kauli moja wameamua kwenda na Dr Tulia tena uchaguzi ujao,wameamua na wamejiandaa kumpigia kura za ndio kwa kishindoo uchaguzi ujao.
unakandamiza mno utaua watua aiseee
 
Kiongizi mkubwa ni mmoja tu Rais Samia, niambie katembea mara ngapi huko Mbeya?

Halafu ni undezi kusifia ziara ya kiongozi mkoani kwa kuwa kinachotakiwa ni maendeleo na siyo sura ya kiongozi
Kwa hiyo unafikiri akija Mbeya huwa anakuja kudhurura kama wewe ufanyavyo?
 
Kiongizi mkubwa ni mmoja tu Rais Samia, niambie katembea mara ngapi huko Mbeya?

Halafu ni undezi kusifia ziara ya kiongozi mkoani kwa kuwa kinachotakiwa ni maendeleo na siyo sura ya kiongozi
Kwa hiyo unafikiri akija Mbeya huwa anakuja kudhurura kama wewe ufanyavyo?
 
Tz kuna vituko, eti Tulia ni spika. Hovyooo
Uwezo wa Dr Tulia kiuongozi ni mkubwa sana,ni kiongozi makini,mchapa kazi , mbunifu,mwenye maono na akili kubwa.Ndio maana kwa uwezo wake mkubwa Dunia inamhitaji ili akawaongoze kwa kuwa Rais wa umoja wa mabunge Duniani. Dr Tulia amekuwa mwalimu wa shule kuu ya sheria pale mlimani. unafikiri vichwa panzi aina yako unaweza ukafanya kazi hiyo? Unaweza ukafundisha ukaeleweka? Dr Tulia amekuwa naibu mwanasheria Mkuu wa serikali. Unafikiri unaweza kupewa nafasi hiyo kama kichwa chako hakipo sawa na kidogo kiufahamu kama kuku wa kisasa? Dr Tulia ni akili kubwa ile,Ni kiongozi na Nusu. Ukienda hovyo na mikurupuko ya hoja ni lazima upotezwe fahamu na kuzimia chini. Huoni Machadema alipoingia Bungeni namna alivyowakaba koo mpaka wakashindwa kupumua? Huoni wakina sugu walivyonywea na kuamua kunyoosha mikono juu? Dr Tulia ndio Nembo ya wana Mbeya na fahari ya nyanda za juu kusini.
 
Uwezo wa Dr Tulia kiuongozi ni mkubwa sana,ni kiongozi makini,mchapa kazi , mbunifu,mwenye maono na akili kubwa.Ndio maana kwa uwezo wake mkubwa Dunia inamhitaji ili akawaongoze kwa kuwa Rais wa umoja wa mabunge Duniani. Dr Tulia amekuwa mwalimu wa shule kuu ya sheria pale mlimani. unafikiri vichwa panzi aina yako unaweza ukafanya kazi hiyo? Unaweza ukafundisha ukaeleweka? Dr Tulia amekuwa naibu mwanasheria Mkuu wa serikali. Unafikiri unaweza kupewa nafasi hiyo kama kichwa chako hakipo sawa na kidogo kiufahamu kama kuku wa kisasa? Dr Tulia ni akili kubwa ile,Ni kiongozi na Nusu. Ukienda hovyo na mikurupuko ya hoja ni lazima upotezwe fahamu na kuzimia chini. Huoni Machadema alipoingia Bungeni namna alivyowakaba koo mpaka wakashindwa kupumua? Huoni wakina sugu walivyonywea na kuamua kunyoosha mikono juu? Dr Tulia ndio Nembo ya wana Mbeya na fahari ya nyanda za juu kusini.
Nakuuliza tena kwa mara nyingine,
Vipi umeshavuna mkonge?
 
Hakuna mwenye ubavu wala uwezo wala nguvu ya kuweza kumtoa Dr Tulia katika jimbo la Mbeya mjini. Wana Mbeya wanajitambua na wanaelewa vizuri thamani ya Dr Tulia na kazi kubwa aliyoifanya katika kuwaletea maendeleo jimbo la Mbeya,ambapo sasa Mbeya inaheshimika na kusikika na kuvuma kwa mipango ya maendeleo tu,ndio maana unaona hata viongozi wakuu kwa sasa wanajisikia furaha kuitembelea Mbeya mara kwa mara. Yote hii ni kutokana na uwepo wa Dr Tulia kiongozi mchapa kazi na mbunifu wa kiwango cha juu.
Ndoto za alinacha hizo,hata avae hirizi kwenye kiharage.mbeya hapiti ng'oooo.we Kaa huko huko igamba udanganye watu
 
Back
Top Bottom