Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,492
- 8,537
Wabunge washajua mawazo yenu yapo kwenye ujinga wa dimondi hivyo wanajifanyia Yao kwa wepesi bila wasi wasi!Acha dharau mkuu, heshimu kazi ya mwenzako kabisa. Unadhani hekima nini? Viongozi wa siasa hekima wakiwa hajapata wacho tafta. Wakipata huwaoni na wako bussy. Imagine mbunge anakupangia kode ila yeye hakuna kodi anayolipa maisha yake ya ubunge.
Hadi mshtuke mtajikuta mnalipia kodi zisizowastahili!