Mbeya: Mbowe apokea zawadi toka kwa Wanachama wa CHADEMA waliohudhiria kikao cha ndani

Acha dharau mkuu, heshimu kazi ya mwenzako kabisa. Unadhani hekima nini? Viongozi wa siasa hekima wakiwa hajapata wacho tafta. Wakipata huwaoni na wako bussy. Imagine mbunge anakupangia kode ila yeye hakuna kodi anayolipa maisha yake ya ubunge.
Wabunge washajua mawazo yenu yapo kwenye ujinga wa dimondi hivyo wanajifanyia Yao kwa wepesi bila wasi wasi!
Hadi mshtuke mtajikuta mnalipia kodi zisizowastahili!
 
Kuuwa Chadema si tu kwamba imeshindikana , Bali haitawezekana milele , kama kuna mtu alilipwa hela ili auwe Chadema basi bila shaka anapaswa kuzirejesha kwa wenyewe , au kama hayupo basi familia yake ilipishwe gharama ya utapeli wa ndugu yao .

Chadema haifi na wala haitakufa .

Hii hapa ni video ikionyesha vikao vya ndani vya Chadema , huku wanachama wakimimina zawadi kwa Mwamba Mbowe huku usafiri wake ukishindwa kuzibeba , imebidi ajipapase mfukoni ili akodi Scania yenye kontena la Futi 40 kuweza kubeba mizigo aliyopewa Mbeya wakiwemo mbuzi kadhaa

View attachment 1817929

View attachment 1817930
Kuna watu utawakuta wakiongea peke yao wakiiona hii video
 
Shida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:

1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.

2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.

Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
Kwa comment hii bado unajiita Dr,akili au umestaafu?
 
ukweli ni kwamba Chadema imekufa na mojawapo ya uhakika kwamba Chadema imekufa ni kuporomoka kutoka kuwa na idadi kubwa sana ya wabunge kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mpaka kuwa na mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa na Chama kama Chadema kilitumia nyota ya TAL kupata idadi ya kura ambazo zilisababisha kupata wabunnge 19 wa viti maalumu ...

Hata baada ya anguko hilo Chadema hawataki kukiri makosa yao kwamba anguko lao ni mchakato wa makosa ya kuwarubuni wapiga kura mwaka 2015 baada Ya chadema kuwaacha wananchi kwa kushindwa kuungana na Magufuli kutetea sera zinazoyagusa Maisha ya watanzania kama Mapambano dhidi ya Rushwa na ulinzi wa Rasilimali za Taifa letu

Chadema imekosa mwelekeo haina hoja tena ya kuwaambia Watanzania kilichobaki sasa hivi ni kurusha rusha miguu at their last breath there's no mechanism of the fundamental regime of which Chadema could retrieve its manifestations in order to conquer voters mindset their fishy smelling mindset is irreplaceable.

Chadema wanashambulia kila mtu mwenye mafanikio kama kweli Chadema inapendwa kama Diamond Mbowe na Diamond waitishe mkutano Diamond aweke kiingilio cha 20000 na Mbowe afanye bure nina uhakika Mbowe hafikishi 0.01% ya wafuasi wa Diamond kuna vitu vya kushobokea lkn kuamua kupambana na watu wenye nyota zao kama Diamond na Magufuli ni kaburi la chadema
Mbowe hana muda wa siasa za kipumbavu.
 
ukweli ni kwamba Chadema imekufa na mojawapo ya uhakika kwamba Chadema imekufa ni kuporomoka kutoka kuwa na idadi kubwa sana ya wabunge kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mpaka kuwa na mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa na Chama kama Chadema kilitumia nyota ya TAL kupata idadi ya kura ambazo zilisababisha kupata wabunnge 19 wa viti maalumu ...

Hata baada ya anguko hilo Chadema hawataki kukiri makosa yao kwamba anguko lao ni mchakato wa makosa ya kuwarubuni wapiga kura mwaka 2015 baada Ya chadema kuwaacha wananchi kwa kushindwa kuungana na Magufuli kutetea sera zinazoyagusa Maisha ya watanzania kama Mapambano dhidi ya Rushwa na ulinzi wa Rasilimali za Taifa letu

Chadema imekosa mwelekeo haina hoja tena ya kuwaambia Watanzania kilichobaki sasa hivi ni kurusha rusha miguu at their last breath there's no mechanism of the fundamental regime of which Chadema could retrieve its manifestations in order to conquer voters mindset their fishy smelling mindset is irreplaceable.

Chadema wanashambulia kila mtu mwenye mafanikio kama kweli Chadema inapendwa kama Diamond Mbowe na Diamond waitishe mkutano Diamond aweke kiingilio cha 20000 na Mbowe afanye bure nina uhakika Mbowe hafikishi 0.01% ya wafuasi wa Diamond kuna vitu vya kushobokea lkn kuamua kupambana na watu wenye nyota zao kama Diamond na Magufuli ni kaburi la chadema
Kauli kama hizi ndio hutia watu hasira sana. Unazungumzia uchaguzi ulioibwa mchana kweupe na kila mtu anajua !!
 
Shida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:

1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.

2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.

Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
toka kaingia mzee moja ya malengo ni kuua chadema. na uhun wote huo waliofanyiwa lakin bado wapo.. even if hawana kiti bungeni.
labda definition ya kufa iwe imebadilika.. maana kufa ni kupotea kwenye uso wa dunia.
kufutika kabisa.
lakin mbona bado wamo?
 
ukweli ni kwamba Chadema imekufa na mojawapo ya uhakika kwamba Chadema imekufa ni kuporomoka kutoka kuwa na idadi kubwa sana ya wabunge kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 mpaka kuwa na mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa na Chama kama Chadema kilitumia nyota ya TAL kupata idadi ya kura ambazo zilisababisha kupata wabunnge 19 wa viti maalumu ...

Hata baada ya anguko hilo Chadema hawataki kukiri makosa yao kwamba anguko lao ni mchakato wa makosa ya kuwarubuni wapiga kura mwaka 2015 baada Ya chadema kuwaacha wananchi kwa kushindwa kuungana na Magufuli kutetea sera zinazoyagusa Maisha ya watanzania kama Mapambano dhidi ya Rushwa na ulinzi wa Rasilimali za Taifa letu

Chadema imekosa mwelekeo haina hoja tena ya kuwaambia Watanzania kilichobaki sasa hivi ni kurusha rusha miguu at their last breath there's no mechanism of the fundamental regime of which Chadema could retrieve its manifestations in order to conquer voters mindset their fishy smelling mindset is irreplaceable.

Chadema wanashambulia kila mtu mwenye mafanikio kama kweli Chadema inapendwa kama Diamond Mbowe na Diamond waitishe mkutano Diamond aweke kiingilio cha 20000 na Mbowe afanye bure nina uhakika Mbowe hafikishi 0.01% ya wafuasi wa Diamond kuna vitu vya kushobokea lkn kuamua kupambana na watu wenye nyota zao kama Diamond na Magufuli ni kaburi la chadema
Kwa sababu ya uchafuzi ule uliofanyika ndio maana ukadanganyika kuwa chama hicho mliweza kukiua na kupa pole kwani mtazamo wako hauko sawa, kaa tulia mkiweza anzisheni mbinu mpya ya jinsi ya kupambana ili lengo na furaha yenu iweze timia.
 
yupo Chattle Mabatini akipunga upepo wa ziwa nyanza unaovuma kutokea Gambosh

Dadeq!
😂😂😂
drakelaugh.png
 
Shida mnajifanya hamjui dalili ya kitu kilichokufa. Kwa kuwakumbusha tu ni kwamba:

1. Kwa viumbe hai hususani binadamu ni mapigo ya moyo kuwa 0, kupumua kuwa 0 na fahamu za ubongo kuwa 0.

2. Kwa vyama hususani chadema ni idadi ya wabunge kuwa 0, idadi ya madiwani kuwa 0 na idadi ya wenyeviti wa mitaa au vijiji kuwa 0.

Kiumbe kikifa kukifufua ni jambo lisilowezekana ila wapo watu wanaofanya usanii wa kufufua watu hususani baadhi ya wachungaji wa makanisa ya walokole. Vivyo hivyo kwa vyama kama chadema watu wanaweza fanya usanii wa aina hiyo wa kufufua.
Ahahahahah ngoja waje
 
Back
Top Bottom