Mbeya long time kitambo

Kumbuka nonde juu ilikuwa si mchezo. Mmenikumbusha mbata primary. Mwangomile alifundisha pia. Alikua mkaaliiiii. Balaaa.
Mwangomile stiki zake si mchezo. Anafundisha Mbata fimbo anapiga Mbata nzima kisha anahamia Majengo Juu kisha Majengo Chini then Itiji Na Maendeleo anaenda kumalizia kuchapa wachelewaji
 
Buji, ile ibada ya kula nyama ulienda? Kulikuwa na wanyama aina ngapi?
 
Bila kusahau Black Belt Mwanjelwa to Soko matola
 
Umenikumbusha mwalimu mkuu wangu wa Azimio shule ya msingi alikuwa anaitwa mwangomile, aisee alikuwa anachapa bakora yaani ndugai haoni ndani kabisa
Uyo mwl mwangomile,,nahisi amewahi kufundisha Chunya..Alikua mwl wa somo la Hisabati..Anapiga bakora ni balaaaaa
 
Mi pia kanichapa mbata primary. Du siku hizo...

Mwaka 1986 pale Mbata kulikuwa na Mwl Peter naye alikua akichapa balaaa. Sema alikua na umbo na tako zuri. Sujui yuko wapi siku hizi...
Mbata mnamkumbuka Mwl mhina!? Alikua mwembamba na mdogo wa umbo lakini alikua mkali usipime. Ole wako awe mwalimu wa zamu halafu uchelewe 'namba'! Sijui kako wapi?!
 
Sie watoto wa Nonde tuliokuwa karibu na kanisa la Lutheran la mawe minuso safari zilikuwa zinaanzia pale tukiona tu! Harusi mnaunga inakoelekea kufanyikia baada ya ndoa
haaa mkuu kwa mzee gani mitaaa ile
 
Yalikuwepo kama kina bora imani, mwailubi bus, baby kapritan na father kapritan, sasa kazi yote haya yalikua mbalizi stand kuu

Post sent using JamiiForums mobile app
ha ha enzi hizo duub
 
Uyo mwl mwangomile,,nahisi amewahi kufundisha Chunya..Alikua mwl wa somo la Hisabati..Anapiga bakora ni balaaaaa

Halafu Mbeya day tukakutana na Mwl Mwandeko. It was hell. Tumesota sana guys...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…