Kukurupuka ni ugonjwa mbaya sananimefatilia kwa ukaribu uzi huu. naona maneno yaliyotawala zaidi ni haya: bob (marley), ganja, ubabe, jombi, kukaba, kubaka, vitisho, utemi, uchawi, doksi, pusha, magendo, kanitandika, kipigo, rushwa, machata etc. duuh. bado tuna kazi kubwa ya kukomboa taifa hili.
Then Mmasi baadaeDCT Karibu na NMB Mbalizi Road ndio sehemu za mwanzo kutoa huduma za computer na Internet! Tumelipia sana kucheza games in the late 1990s!
Sio dr Ben dr Minja mkuuBERN au
Alikua kupewa ualimu mkuu mbataMwalimu Msuya
Jina la vyeti/passport = Gilbert sangaHUJAMTAJA GILLBIZ
nimetoka mbeya mwka 70 nasoma st francis naona mimi ndiye mzee kuliko wote humu. nimepita pale kuwaona wale ma sista wa kizungu miaka ya 90 sijui kama wakoMimi naikumbuka Mbeya ya 1975/1977. Reli ya Tazara inazinduliwa 1976 tulipanda train iliyotoka Kapiri Mposhi tukashuka Makambako tukarudi Mbeya kwa gari VW combi. Nilikuwa na viwanja vya golf kabla ya kugeuzwa matumizi ili ujengwe uwanja mkubwa wa michezo. Tulishiriki katika Ujenzi wa Uwanja wa Mapinduzi ( Sokoine) tukitokea Majengo primary school tukishirikiana na wanafunzi wa Sisimba, Mbaya, Azimio hiyo ilikuwa 1976 etc. Mwalimu Mkuu Malengo alikuwa Mwl Mwangomile na Mbaya alikuwa Mwakang'ata.
Nakumbuka kulikuwa na kikundi cha Sanaa kilichoitwa Chamnambe kikiongozwa na Mzee Ryoba. Kulikuwa na shule inaitwa Muungano ilikuwa msituni njia ya Mwanjelwa sijui kama bado ipo. Pia nakumbuka Pareto ya uyole. Those old good days.
Pia nakumbuka 1976 ilitokea ajali kubwa ya basi likiitwa Mwambipile Bus Service ilipinduka huko Mwakaleli ikaua watu wengi sana.
Sijafika Mbeya Tangu Dec. 1977, nasikia imebadilika mno.
Mwakaleli ipi private au Government??Yaani niliwahi kuwa na boyfriend wa MTC,kipindi nasoma Mwakaleli high school,lkn masikani ilikuwa Mbeya Block T. Vurugu zake nilikoma,alikuwa akinitembezea kichapo popote hata anikute tu nimekaa na mtu wa jinsia tofauti hata kama ni ndugu yangu. MTC walikuwa washenzi bwana,makondakta na madereva walikuwa wanakiona.
Iyunga boys na MTC walikuwa paka na panya likija suala la Loleza girls. Ila ilikuwa poa sana
Barabara ya chunyaHapo ni Kitonga au??
Tenende yupo kazeeka saizDa! Umenikumbusha mbali sana mkuu. Enzi za "jesus" na "Shetani" pale juakali.
Kuna mbabe tenende mlima nyoka na kulikuwa na gari moja ina sura mbaya sana iliandikwa "kisonzo".
Enzi za kutizama sarakasi za kina wanne star na kiingilio cha shillingi 20 baada ya masomo.
Ilikuwa kama kuna mashindano ya mpira, watoto wa isanga ilikuwa tishio sana.
Mbeya....home sweet home.
That was life.
Green city OiiiiiMbeya home yani daa napamic sn.
Ukienda uyole enzi hizo chips 300,
Za 500 unaulizwa mpo wangapi?
Daa block T mpaka pande za Iyela.
Duh, walikuwa dada zangu wale mapacha weupe hivi. Kipindi hicho nipo kidato cha 3 wao ndo wanaanza kidato cha 1 hapo Mby day! Haaaaaaaa!Kulikuwa na watoto fulani wa Ilolo walikuwa mapacha wanasoma Mbeya Day miaka 1996 to 1999 hakika walikuwa wakali
Gilbert Paulinus SangaJina la vyeti/passport = Gilbert sanga
Yes Mkuu, nawakumbuka sana hasa mwl Ndowa coz ndo alinifundisha std 1 enzi hizo ndo naanza kusoma A, E, I, O hadi U mwaka 1987!!!Nawakumbuka pia walimu wengine km Kilumbi, Mbega, Kaaya, Bwire, Kasiba, Yarabi, Mwasyoke, Mgase, Manase duh kwa uchache!Jiwegangi kwa miaka hiyo Itiji bila shaka walimu wafutao utakuwa unawakumbuka vizuri Bwalya, Mwakajila, Ndowa, Kyusa, Kalinga, Manase, Mwanakaya n.k.
Yes Mkuu, nawakumbuka sana hasa mwl Ndowa coz ndo alinifundisha std 1 enzi hizo ndo naanza kusoma A, E, I, O hadi U mwaka 1987!!!Nawakumbuka pia walimu wengine km Kilumbi, Mbega, Kaaya, Bwire, Kasiba, Yarabi, Mwasyoke, Mgase, Manase duh kwa uchache!Jiwegangi kwa miaka hiyo Itiji bila shaka walimu wafutao utakuwa unawakumbuka vizuri Bwalya, Mwakajila, Ndowa, Kyusa, Kalinga, Manase, Mwanakaya n.k.
Lack of creativityTegemea nyuzi kadhaa za dizaini hii kuhusu mikoa mingine.
Unamkumbuka mzee mwasyanguti wa forest?[/Q
Huyu mzee alikuwa anaitwa Mwansyunguti.Mzee alikuwa mbabe acha tu,ngumi mkononi! Nakumbuka alikuwa ana gari yake aina ya Pijoti kwenye bodi kaandika 'Kikusya farm'!Kuna siku mitaa ya Sokomatola alizichapa kavux2 na mzee mwenzie aliyejulikana kwa jina la Seme ambaye alikuwa mtumishi wa zimamoto enzi hizo. Ngumi zilipigwa km nusu saa hivi hadi watu walipofanikiwa kuachanisha ugomvi .
Pia mzee Mwansyunguti alikuwa na mtoto wake kwa jina la Ally. Jamaa alikuwa mtu wa kuvuta bangi plus mkorofi km baba yake!Huyu mshikaji na baba yake walikuwa wasumbufu sana mjini Mbeya!