Mbeya long time kitambo

Kukurupuka ni ugonjwa mbaya sana
Ulitaka wadanganye historia au?
 
nimetoka mbeya mwka 70 nasoma st francis naona mimi ndiye mzee kuliko wote humu. nimepita pale kuwaona wale ma sista wa kizungu miaka ya 90 sijui kama wako
 
Mwakaleli ipi private au Government??
 
Tenende yupo kazeeka saiz
 
Kuna ma dj wakali wa enzi hizo.
Dj Emma alikuwa mlemavu
Robert Cool, J4, Boomler (Lenny Makaya), Lugax, BBG yaani enzi ni turn table za LP na deck za Kanda
 
Nilimsahau dj Ayeya na wimbo wake wa akandu
 
Jiwegangi kwa miaka hiyo Itiji bila shaka walimu wafutao utakuwa unawakumbuka vizuri Bwalya, Mwakajila, Ndowa, Kyusa, Kalinga, Manase, Mwanakaya n.k.
Yes Mkuu, nawakumbuka sana hasa mwl Ndowa coz ndo alinifundisha std 1 enzi hizo ndo naanza kusoma A, E, I, O hadi U mwaka 1987!!!Nawakumbuka pia walimu wengine km Kilumbi, Mbega, Kaaya, Bwire, Kasiba, Yarabi, Mwasyoke, Mgase, Manase duh kwa uchache!
 
Jiwegangi kwa miaka hiyo Itiji bila shaka walimu wafutao utakuwa unawakumbuka vizuri Bwalya, Mwakajila, Ndowa, Kyusa, Kalinga, Manase, Mwanakaya n.k.
Yes Mkuu, nawakumbuka sana hasa mwl Ndowa coz ndo alinifundisha std 1 enzi hizo ndo naanza kusoma A, E, I, O hadi U mwaka 1987!!!Nawakumbuka pia walimu wengine km Kilumbi, Mbega, Kaaya, Bwire, Kasiba, Yarabi, Mwasyoke, Mgase, Manase duh kwa uchache!
 
Marappa wakali walikuwa Sunday Jackson (Sun Jacko) Musa Mwaiposa (Chancellor Wise/ Dr. Wise) Dika Chakudika (Dika Sharp), Kwaherini King, GILLBIZ, Uswahilini Matola, Cave dwellers, Adili, Isanga family, 2proud etc
 
Mbeya kulikuwa na timu ya Tiger inatoka Tunduma. Pia kulikuwa na rasta chotara wa kizungu Henry Mwambopo tulikuwa tunamuita Henule
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…