Kituo cha polisi ilomba,kimevunjwa,watuhumiwa wamekimbia,na kimechomwa moto.Ni kituo cha polisi cha pili kuchomwa,kingine ni cha uyole.Inasemekana watu wengine kutoka Mbalizi wameenda kuungana na wenzao kupambana na askari.Wananchi wanapiga simu redioni,wanasema hawamtaki Kandoro.Mbunge wa mbeya mjini yupo njiani kuelekea Mbeya.
Hamna siku nimefurahi kama leo yaani kusikia vituo vya polisi vimechomwa moto na polisi ameuwa full faraja naona sasa wataanza kuelewa gharama ya ukombozi ni kubwa kiasi gani. Big up wanambeya
Huyu Mkweree anafahamu kilichowasibu Mwandosya na Mwakyembe; kama mnakumbuka kuna siku aliwahi kusema kuwa uhasama kati ya makundi ndani ya CCM umefikia kiasi kwamba mtu hawezi akaacha glasi yake ya maji na kwenda maliwatoni na ikawa salama!! Sasa mnafikiri alikuwa hana habari kuwa kuna watu walikuwa na mpango wa kuwalisha sumu wanachama wenzao? Hayo matamshi yake yalichimbukia wapi?
majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo hii akiwa kapigwa kichwani. Hadi sasa kuna majeruhi wanne wa risasi, wawili kichwani, mmoja kwenye paja na mwingine mkononi Mmoja wa majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo, Abel Mwalukali akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya kupigwa risasi kwenye mkono. Hali Badi ni Mbaya sana Kumefuka