ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Hahahaha. ..Huyo lazima ni bavicha
Hahahaha. ..Huyo lazima ni bavicha
Una mwandiko mbaya sijawahi ona!!
Duu si angetoa mimba kabla ya kuanza mchakato wa ndoaHuyo bwana harusi kabla ya siku moja ya kwenda kanisani kufunga ndoa alipokea ujumbe kuwa bi harusi ana mtoto na ana mimba ya miezi minne ya baba wa mtoto wake yaaani X -Bf.
Wakati muolewaji hakumpa taarifa hizo muowaji toka mwanzo wa uhusiano wao.
Aliye zaa nae na mwenye mimba ya miezi minne ndiyo alimtumia SMS bwana harusi mtarajiwa.Kwa kumueleza bi hausi unamuowa lkn ni mjamizito na mimba ni yangu na ana mtt wangu hayo hajakwambia.
Habari hii nimeisoma sehemu kisa cha kukimbia huyo bwana harusi.
Hiyo team inapatikana wapi?pole yake ajiunge na timu yetu ya wachepukaji maarufu
Hata mimi nilihisi kitu kama hicho kuwa lazima atakuwa kaolewa hlf akaachika maana anaonekana ana mdomo sana na kujiona mzuri.Aliolewa akaachika.
Kuna comment moja katika thread fulani kaandika hivyo.
Kijana mmoja aitwae mwakabongo Leo ameonyesha kihoja pale alipokimbia ndoaa Kanisa LA KKKT usharika wa isanga
Akiongea kwahuzuni MCH WA KANISA HILO ANDAGILE MWAKAJUNGU AMESEMA KWAMARA YA KWANZA KUTOKEA HILI TATIZO KANISANI KWAKE
AKUISHIA HAPO AKASEMA HAJUI PEOLILILOMPATA KIJANA HUYU MAANA JANAWAMEKUJA NA MKEWE OFISINI KWAKE NAKUTHIBITISHA NDOA IPO... KABLA YAKUWAPA MAELEKEZO MENGINE
NDUGU WALIONEKANA KUCHANGANYIKIWA KABLA YA KUAMUA KUMPIGIA NAPALE ALIPOGOMA KUPOKEA WAKAONA MDA UNAENDA NAKUMWOMBA MCH AMBAE ALIPIGA MARAYA PILI IKAPOKELEWA NAKUMWOMBA RADHI NAKUMHAIDI KUMWONA AMWELEZE HALIHALISI.. MMMH
TUKIO ZIMA LILIKUA HIVI
WAMEFIKA WOTE KANISAN WAKATI WAKISUBIRIA KUINGIA NDANI BW HARUSI AKAZUNGUKA AKAELEKEA NYUMA YA KANISA KUMBE KUNA PIKPIK ASHAIITA. AKACHAPA LAPA...
NDIPOMDA UKATIMIA JAMAA AONEKANI APOKEI.... MCH AKATANGAZA MDA UMEKWISHA ATOWEZA FUNGA NDOA
MMH NAHISI JAMAA ALILETEWA MZIGO NASHANGAZI HAYA NDIO MATOKEO YAKE....
ahaaa kila kona ipoHiyo team inapatikana wapi?
duuuh! kwa hiyo ww ni mmoja wao sio? basi itabidi nikutafuteahaaa kila kona ipo
kawaida sanaduuuh! kwa hiyo ww ni mmoja wao sio? basi itabidi nikutafute
ARAFUU ZIWA NDALAA HILOOO UMELISOMAA HAPOOCHU... SASITAAAAA
KIJANAA AMEHISI NGUVU ALIZONAZOO ATOMTOSHELEZA LAZIMA ASAIDIWE TU LOH
sendoff hioView attachment 449715 Bwana harusi aliyekimbia apatka ndoa yafungwa kimya kimya.