babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,959
- 20,283
Carnival ni wabovu sana sijui wanazidiwa wateja,
Agiza kuku aloo si mchezo sikula,supu balaa,nyama choma ayaaa
sijui hata tuliishia kuonjaonja tu
Meza imejaa vyakula hamuwezi kula.
Tukaita mabarmaid wakala balaa.
Kuna hotel mbele nanenane stendi sijui inaitwa mfikemo.
Agiza supu kongoro wakaleta guu zima km lilivyo.
Ntakulaje sasa hamjakatakata.
Kuku balaa,
Mbuzi hovyo,
Chipsi yai la kienyeji hata kachumbari hawawezi.
Nikapewa tomato sauce.
Ila kwenye mabanda kitimoto nilienjoy haswa wako vizuri.
Agiza kuku aloo si mchezo sikula,supu balaa,nyama choma ayaaa
sijui hata tuliishia kuonjaonja tu
Meza imejaa vyakula hamuwezi kula.
Tukaita mabarmaid wakala balaa.
Kuna hotel mbele nanenane stendi sijui inaitwa mfikemo.
Agiza supu kongoro wakaleta guu zima km lilivyo.
Ntakulaje sasa hamjakatakata.
Kuku balaa,
Mbuzi hovyo,
Chipsi yai la kienyeji hata kachumbari hawawezi.
Nikapewa tomato sauce.
Ila kwenye mabanda kitimoto nilienjoy haswa wako vizuri.