Mbeya hawajui kabisa nyama choma

Mbeya hawajui kabisa nyama choma

Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Penye fursa ndipo kwenye kutengeneza hela, ukienda hapo na malaji yenye ladha utapata wateja wengi sana. Usimuamshe alo lala akiamka utaikosa bahati.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Bonge la investment ukiwa na mtaji means unaagiza viungo baadhi mkoani halafu unaandaa hapo
 
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
Umeanza na lugha chafu halafu bado unataka tukusaidie !
 
Katika sehemu ambazo nilikula kiti fire nzuri kuliko sehemu nyingine yoyote ni Mbeya

Nyuma ya Carnival hapo kuna hospital inaitwa K's karibu na hapo kuna pub moja inaitwa vamponji ni muda mrefu more than 8 yrs ila nakumbuka nilikula nyama moja matata sana
Mimi ni 6 yrs, sijui kama bado hii huduma inapatikana. Wale jamaa walikuwa vizuri sana kwa kitimoto.
 
Nenda nasoma pale mama John nyama choma ya ngombe na mbuzi safi. Nenda city pub nyuma choma ngombe mbuzi kuku safi labda kwa city pub ulishindwa bei ipo juu. Kitimoto nenda kwa Bashiri pale Soweto kitimoto loast safi taamu. Kitimoto ya kuchoma nenda pale mafiati karibu na SH amon kuna bar wanachoma vizuri kabwe hutojuta
 
Nenda nasoma pale mama John nyama choma ya ngombe na mbuzi safi. Nenda city pub nyuma choma ngombe mbuzi kuku safi labda kwa city pub ulishindwa bei ipo juu. Kitimoto nenda kwa Bashiri pale Soweto kitimoto loast safi taamu. Kitimoto ya kuchoma nenda pale mafiati karibu na SH amon kuna bar wanachoma vizuri kabwe hutojuta
Nikirudi Mbeya nitapita sehemu hizo.
 
Katika biashara zangu huwa nafika mikoani.
Mkoa mmoja nafika natembelea ni Mbeya.
Kwa mara tofauti nikaulizia sehemu ya nyama/kuku choma nikaambiwa Carnival (karibu na Mafiati,Mwanjelwa) na Mbeya Pazuri, Sae kuelekea Uyole.

Nilikuwa Mbeya Pazuri wiki iliyopita.

Sehemu zote hizi kuku choma nilizoagiza ni mbaya, mbaya, mbaya mno.
Kuku hajapakwa viungo wala vilainishi nyama na ana shombo.

Nyama inatiwa kwenye mafuta yaliyo chemshwa na kutolewa hivyo hivyo.
Nyama ngumu kama manati.

Mbeya mkoje lakini?
Chakula kinatoka huko kuja Dar lakini hamjui kupika.
Wadau huko tupeni sehemu nzuri kwa vitafunwa na moja baridi.
We mwenye mshamba tu.Kosa la hoteli moja au mbili unajumuisha mkoa mzima.
 
Hujaenda mitaa ya soweto karibu na nkwe Zulu ukafurahi sio unaenda sehemu za mabrother men hizoo
 
Fursa hiyo wachaga changamkieni.Mikoa ambayo watu SI wafugaji Kama mbeya nyama choma kweli hawajui.Hata ukienda kagera,Lindi,mtwara, ruvuma, nk Tatizo ni Hilo hilo
Kagera gani hayo ambayo sio wafugaji.

Wakati kagera ni ya nne Kwa idadi ya mifugo nchini.
 
Kama umezoea misosi ya daslamu huwezi kuridhika na misos inayopikwa mikoa mingi ya Tz kama iringa mbeya, rukwa dodoma nk

Iringa mbona kuna bar wanachoma nyama vizuri sana? Mfano Miami. Mbeya bado kuna shida shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom