Mbeya City vs Dodoma City: Mpambano wa majiji yanayochipukia

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,030
49,686
Salamu nyingi memba wa JF,

Kumekuwa na mabishano ya muda sasa kati ya Mbeya na Dodoma kuhusu jiji gani liko vizuri kupita lenzie in terms of miundombinu, kipato, biashara na mishemishe.

Sasa leo tukate ubishi huu lengo likiwa ni pamoja na kufahamishana fursa za biashara na mipango ya kuiendeleza miji husika.

Kwa maoni yangu Mbeya ni kongwe lakini inapigwa vibaya sana na Dodoma kwenye mzunguko wa pesa na fursa nyinginezo.

Tuendelee kitiririka
 
Mbeya haina tuu majengo ila kwa mzunguko wa pesa upo mkubwa pamoja na mishemishe kibao.
 
Unafahamu kwamba Dom kwa sasa ni ya pili kwa pesa baada ya Dar? Mbeya hakuna kitu hapo

Kwanza umedanganya, Dom haikuwa ya pili bali ilikuwa ya kwanza yani iliizidi mpaka DSM.

Haya hayakuwa mapato ya mkoa bali ya halmashauri?

Je unaelewa maana yake au tukuelekeze?

Kuna tofauti kati ya halmashauri ya Jiji la dsm na mkoa kimapato.

Hivyo ukisema mbeya jiji, hauhesabii migodi ya chunya, mpunga kule mbarali, huhesabii wilaya za kyela na tukuyu, ni pale halmashauri ya jiji la mbeya tu.!! Pale town tu.

Mbeya(mkoa) haiwezi kuzidiwa na Dodoma(mkoa) kimapato miaka 100, mikoa pekee inayoweza kuizi Mbeya ni DSM, Arusha, Mwanza na miaka yote imekuwa hivyo , achana na mapato ya halmashauri(jiji) hiyo hata Dsm ilizidiwa na Dodoma.

Alafu usirudie kuongea usichokijua.
 
Kwanza umedanganya, Dom haikuwa ya pili bali ilikuwa ya kwanza yani iliizidi mpaka DSM.

Haya hayakuwa mapato ya mkoa bali ya halmashauri?

Je, unaelewa maana yake au tukuelekeze?

Kuna tofauti kati ya halmashauri ya Jiji la dsm na mkoa kimapato.

Hivyo ukisema mbeya jiji, hauhesabii migodi ya chunya, mpunga kule mbarali, huhesabii wilaya za kyela na tukuyu, ni pale halmashauri ya jiji la mbeya tu! Pale town tu.

Mbeya(mkoa) haiwezi kuzidiwa na Dodoma(mkoa) kimapato miaka 100, mikoa pekee inayoweza kuizi Mbeya ni DSM, Arusha, Mwanza na miaka yote imekuwa hivyo , achana na mapato ya halmashauri(jiji) hiyo hata Dsm ilizidiwa na Dodoma.

Alafu usirudie kuongea usichokijua.
Wewe mimi nilikuwa namaanisha hicho hicho ulichoandika na nafahamu sana hapo post ya chini kuna mdau nimemfafanulia
 
Public money booming Dom. Baada ya uhamisho was babeli, Dom itarudi kama ilivyo. Ni ujenzi na ununuzi was viwanja unaoendelea ndio unaiboost Dom. Ikifikia constant rate, itakuwa na mapato ya kawaida sana tu.

Watu wa Dom sio wachakarikaji kama watu wa Mbeya. Wajenga uchumi ni watu wenyewe kwa sababu hata kodi ya serikali hutokea kwa watu. Tunaweza kuwa ba majengo ya serikali Dom yasiwe na impact hasa kutokana na nusu mkate mode na DSM.
 
public money booming Dom. Baada ya uhamisho was babeli, Dom itarudi kama ilivyo. Ni ujenzi na ununuzi was viwanja unaoendelea ndio unaiboost Dom. Ikifikia constant rate, itakuwa na mapato ya kawaida sana tu. Watu wa Dom sio wachakarikaji kama watu wa Mbeya. Wajenga uchumi ni watu wenyewe kwa sababu hata kodi ya serikali hutokea kwa watu. Tunaweza kuwa ba majengo ya serikali Dom yasiwe na impact hasa kutokana na nusu mkate mode na DSM.
Umenena mkuu
 
Salamu nyingi memba wa jf
Kumekuwa na mabishano ya mda sasa kati ya Mbeya na Dodoma kuhusu jiji gani liko vizuri kupita lenzie in terms of miundombinu,kipato,biashara na mishemishe.Sasa leo tukate ubishi huu lengo likiwa ni pamoja na kufahamishana fursa za biashara na mipango ya kuiendeleza miji husika
Kwa maoni yangu Mbeya ni kongwe lakini inapigwa vibaya sana na Dom kwenye mzunguko wa pesa na fursa nyinginezo..tuendelee kitiririka
We utakuwa mgogo sio buree sio kwa kwa kuunga juhudi huko
 
Kwanza umedanganya, Dom haikuwa ya pili bali ilikuwa ya kwanza yani iliizidi mpaka DSM..

Haya hayakuwa mapato ya mkoa bali ya halmashauri.?

Je unaelewa maana yake au tukuelekeze.?

Kuna tofauti kati ya halmashauri ya Jiji la dsm na mkoa kimapato..

Hivyo ukisema mbeya jiji, hauhesabii migodi ya chunya, mpunga kule mbarali, huhesabii wilaya za kyela na tukuyu, ni pale halmashauri ya jiji la mbeya tu.!! Pale town tu...

Mbeya(mkoa) haiwezi kuzidiwa na Dodoma(mkoa) kimapato miaka 100, mikoa pekee inayoweza kuizi Mbeya ni DSM, Arusha, Mwanza na miaka yote imekuwa hivyo , achana na mapato ya halmashauri(jiji) hiyo hata Dsm ilizidiwa na Dodoma..

Alafu usirudie kuongea usichokijua..
Umemueleza vzur sana. Asipokuelewa atakua na matatzo ,Mbeya ni jiji kwa mda mrefu sasa means ilikua ina Uwezo mkubwa Wa kujikusanyia mapato na ikajimudu yenyewe bila kutegeme pesa kutoka serikali kuu. Mzunguko Wa pesa na kuchangamka Mbeya iko vzur Sana'a kuzidi Dom
 
Back
Top Bottom