walio enda pale watakimbia wenyewe subilia mwezi wa piliNani ataenda huko.????
Hivi CCM mnaelewa maana ya machinga.????
Machinga inabidi aruhusiwe kuuza pembezoni mwa soko au barabara kama alivyoruhusu wale wa Mwanza waliompigia kura...
Hakuna qnayetoka nyumbani na kwenda sokoni kumfuata machinga, ila akitoka kununua kitu dukani akabakiwa na chenji kisha aone kitu kilichopangwa na machinga akakipenda ndipo ananunua...
Au wewe unaweza kutoka KAWETELE, ukapita MWANSEKWA, ukapita IGANZO, ukapita MAGEGE, ukapita MAKUNGURU, ukapita JUAKALI, ukapita MWANJELWA, ukapita MAFYATI, ukaenda AIRPORT kununua kitu cha 2000.?????
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..