KAWETELE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 676
- 1,593
Ikumbukwe eneo hilo liliombwa kwa Mh. Rais na Naibu spika Dr. Tulia siku ya tarehe 26 April 2019.
Zaidi soma
Tangu juzi wafanyabiashara wadogo wadogo wamekuwa wakimininika kuwahi maeneo ya kuweka Meza zao..
Kigezo kikubwa ilikuwa kuwa na kitambulisho cha ujasiliamali.
Changamoto:
* waliopata wanadai vimeza vidogo mno.
* waliokosa wanalalamika kuwa waliopata siyo wamachinga
Zaidi soma
MBEYA: Rais Magufuli ahutubia wananchi Uwanja wa Ruanda Nzovwe. Agusia usajili wa laini na machinga
Rais wa Jamhuri ya Muungano Mh Magufuli atazungumza na Watanzania mapema leo. UPDATES Hotuba ya Rais Magufuli Kuhusu usajuli wa laini, Watanzania wapo milion 55 lakini waliosajiliwa NIDA ni million 15 tu.Hivyo tangazo la TCRA kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa tano itapelekea watanzania zaidi ya...
www.jamiiforums.com
Tangu juzi wafanyabiashara wadogo wadogo wamekuwa wakimininika kuwahi maeneo ya kuweka Meza zao..
Kigezo kikubwa ilikuwa kuwa na kitambulisho cha ujasiliamali.
Changamoto:
* waliopata wanadai vimeza vidogo mno.
* waliokosa wanalalamika kuwa waliopata siyo wamachinga