Mbele ya Urusi, Marekani lazima ale kona!

Mbele ya Urusi, Marekani lazima ale kona!

Hilo la ukimwi ni Miongoni mwa mambo mengi wanayotufadhili ndio maana nadhani si vizuri kushabikia hii mambo ya vita. Vile vile hata direct effeft(s) za hii vita zinaweza kutuumiza.
Kwa kweli sisi waafrika hususani Tz tunatakiwa tuombe haya mambo yaishie kwa maneno hivihivi, tusije tukafurahia kuona wanavyopigana mwisho wa siku ndugu na jamaa zetu wakawa wanapata shida kama na wao wako kwenye nchi zinazopigana. Yaani tutapata athari nyingi tu kwa hivi vita maana haitakuwa syria na Marekani bali itakuwa ni vita vya nchi zenye nguvu kubwa duniani
 
Kwa kweli sisi waafrika hususani Tz tunatakiwa tuombe haya mambo yaishie kwa maneno hivihivi, tusije tukafurahia kuona wanavyopigana mwisho wa siku ndugu na jamaa zetu wakawa wanapata shida kama na wao wako kwenye nchi zinazopigana. Yaani tutapata athari nyingi tu kwa hivi vita maana haitakuwa syria na Marekani bali itakuwa ni vita vya nchi zenye nguvu kubwa duniani
Kweli kabisa. Mfano mzuri ni hizi nchi jirani zetu wanapigana wao lakini wakimbizi wanajaa huku kwetu, matendo ya ujambazi na uvunjifu wa amani yanaongezeka maeneo ya mipakani nk
 
Huna effect yoyote.
Sawa sina effect, ila lazima nisimamie sehemu ya ushindi, siwezi kuumia kila siku kwa uonevu unaofanywa na Urusi dhidi ya Marekani, ni bora nihamie kwa Mbilikimo mwenye msimamo usio yumbishwa
 
Kabsa kiongozi mm nahisi kuna baadhi yetu wanahisi kuwa Syria hawaishi binadamu kama sisi na wenye damu na malengo kama yetu. Inasikitisha kuona watoto wasiokuwa na hatia wakiangamia..
Hakuna anayefurahia mauaji hata, ila mimi nachukia na kuumia juu ya Uonevu unaofanywa na Mbilikimo dhidi ya Mawigi.
 
sasa hivi kila mtu ana nyuklia ikitokea kila mtu akaachia lakwake unadhani dunia itakuwepo?
Hakuna kitu kama hicho wewe, upotoshaji na uwoga tu. Watakufa wenyewe tu, acha team Mawigi wapambane na Taariban tu, kwa Mbilikimo ni maji marefu
 
Utamwitaje Putin mbilikimo?
Screenshot_20180412-104711%7E2.png
 
Putin yuko smart zaidi ya missile anazozisema mvaa mawigi, ndo maana tunaona kimya bora akaendelee ma ziara zake amerika kusini.
 
tusishabikie vita wanaoumia ni wanawake na watoto
 
Vita anayoiweza kwasasa ni vita ya twitter tu
Kweli kaka, mwenzake Mbilikimo hata hiyo tweeter haijui, kwanza Mbilikimo (putin) anakwambia hajawahi kumiliki hata Smartphone yoyote, sasa hiyo tweeter aijulie wapi, Hongereni Team Mbilikimo(putin) kwa ushindi dhidi ya MAWIGI. But naomba mnipokee nimehama Rasmi from team Mawigi to Team Mbilikimo.
 
Nipo brother,Majukumu tu,lakini nipo nafuatilia umichango ya wadau kwenye ule uzi wako wa masuala ya Elimu.Umenivutia sana.
Naona umehama jukwaa baada ya kuchoshwa na Unyanyasaji wa kijeshi unaofanywa na Mbilikimo (putin) dhidi ya Mawigi wenu.

Nakushauri uhame kama mimi tu, lasivyo utakuwa ni mtu wa kulialia na kutoa mipovu.
 
Putin yuko smart zaidi ya missile anazozisema mvaa mawigi, ndo maana tunaona kimya bora akaendelee ma ziara zake amerika kusini.
Mvaa Mawigi kwa sasa choo cha Whitehouse kinakaribia kujaa, any time ataanza kumgeukia Mvimba macho(China) kuwa anamsaidia Mbilikimo.
 
Kweli kaka, mwenzake Mbilikimo hata hiyo tweeter haijui, kwanza Mbilikimo (putin) anakwambia hajawahi kumiliki hata Smartphone yoyote, sasa hiyo tweeter aijulie wapi, Hongereni Team Mbilikimo(putin) kwa ushindi dhidi ya MAWIGI. But naomba mnipokee nimehama Rasmi from team Mawigi to Team Mbilikimo.
Hahah!! Karibu sana kundini huku hatuimbi taarabu ni action tu
 
Kwa hiyo Erdogan ndio SI unit ya urefu wa marais duniani?
Naona umekomaa na vitu vidogovidogo kwenye hii maada, Team mawigi hameni tu kama mimi.

Mzee wa Geneva nakuona siku hizi baada ya Mawigi kutolewa 0-count naona unalandalanda tu.
 
Back
Top Bottom