MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
SirChief you good bro ??Utamwitaje Putin mbilikimo?
Sijakuonapo kwa muda aisee!
SirChief you good bro ??Utamwitaje Putin mbilikimo?
Wafilipi : Mlango 1Who cares bcoz very soon all of us will die with these two reckless behaviour but I will be with Jesus
Achana na hizo kwa sasa ana matoleo mapya ya S500 na juzi katoa jipya LA S600!!!Zile S400 ni hatarii aisee ndio maana wanasita
Kabsa kiongozi mm nahisi kuna baadhi yetu wanahisi kuwa Syria hawaishi binadamu kama sisi na wenye damu na malengo kama yetu. Inasikitisha kuona watoto wasiokuwa na hatia wakiangamia..Nashindwa kuelewa umewaza nini ndugu, hivi kama muhanga(Syria) ingekua ndio nchi yako ungethubutu kuandika hivi, unaona ni jambo la mchezo kwa vile ww haikuathiri. Kumbuka kuna watu kule km ww wenye malengo km ya kwako wanaopenda kuishi kwa amani km unavyoishi wewe. Haikusadii chochote kwa Marekani ama Urusi akiwa mbabe kwa kuvuruga maisha ya wengine sisi sote ni Binadamu. Tafakari.
Sawa tu ngoja nihame, kama anafikili hivyo tambo za nini sasa? Au ndo vitisho kwa Mbilikimo?Nilicho ona mm sio kwqmba marekani wanashindwa ila hawataki kufanya kama yaliyo fanywa kipindi cha hiroshima na nagasaki...
OVA..
Hama salama mkuu....
Hata Trump ni Mawigi, ni majina tu bro.Kumwita putin mbikikimo na matusi pia kwa utawala wa sasa
Mkuu uliyo yaongea ni kweli, lakini ushabiki unatoka rohoni so kuukataa ni mpaka ujitoe kwenye emotional feelings, mfano hata kama CCM inafanya mabaya lakini wafuasi hawakosi, lazima wawepo tu, I'm sorry bro.Nashindwa kuelewa umewaza nini ndugu, hivi kama muhanga(Syria) ingekua ndio nchi yako ungethubutu kuandika hivi, unaona ni jambo la mchezo kwa vile ww haikuathiri. Kumbuka kuna watu kule km ww wenye malengo km ya kwako wanaopenda kuishi kwa amani km unavyoishi wewe. Haikusadii chochote kwa Marekani ama Urusi akiwa mbabe kwa kuvuruga maisha ya wengine sisi sote ni Binadamu. Tafakari.
Tafuta picha Putin akiwa na Erdogan na Rouhan, ndo utajua putin ni MbilikimoSirChief you good bro ??
Sijakuonapo kwa muda aisee!
sasa hivi kila mtu ana nyuklia ikitokea kila mtu akaachia lakwake unadhani dunia itakuwepo?Nilicho ona mm sio kwqmba marekani wanashindwa ila hawataki kufanya kama yaliyo fanywa kipindi cha hiroshima na nagasaki...
OVA..
Hama salama mkuu....
Duuhsasa hivi kila mtu ana nyuklia ikitokea kila mtu akaachia lakwake unadhani dunia itakuwepo?
Hatuna pa kuponea, hasa gonjwa hili la ukimwi linalohusu jamii nzima donor mkuu ni mmarekani sijui itakuwaje bajeti akiipeleka vitaniHivi hii vita tunayoishabikia haiwezi kutuathiri na sisi kwenye hizi nchi zetu maskini? Nauliza tu
Hilo la ukimwi ni Miongoni mwa mambo mengi wanayotufadhili ndio maana nadhani si vizuri kushabikia hii mambo ya vita. Vile vile hata direct effeft(s) za hii vita zinaweza kutuumiza.Hatuna pa kuponea, hasa gonjwa hili la ukimwi linalohusu jamii nzima donor mkuu ni mmarekani sijui itakuwaje bajeti akiipeleka vitani