umeona ehhh, vagalantiHeading imepinda!
mguu wa nyuma wa mbuzi ni mifupi lkn ndo tamu kwani ndio iko kwenye eneo la jembe na kiuno na katika nyama tamu kuliko zote ni kiuno ikifuatiwa na salala ila nyama nyingi ni jembe. miguu ya mbele ni mirefu ila haina nyama tamu manake imekaa na misuli isiyokua na mafuta kama ya nyuma. na hata location yake ni mbaya yaani karibu na shingo na mbavu.
Nyuma tamu sana pia nyama nyingi na lainiiiii, mbele kugumu
Acheni kuleta mada za kitoto hapa ndani. Mnatupotezea muda. Kama huna cha kuandika, tulia, nyamaza kimya kabisa. Soma michango ya wenzako iliyoenda shule. Nasema hii tabia ikome mara moja. Toeni mada zenye tija na kuelemisha taifa letu. Ni hayo tu.
Tupo pamoja mkuu. Tatizo siku hizi hadi siye watoto wa uswazi tunaAccess ya internet ndo maana yanatokea yote haya. Kuna siku mtu atataka kuingia msalani halafu aanzishe mada yenye heading "NIKITAKA KUINGIA MSALANI NITANGULIZE MGUU WA KUUME AU WA KUSHOTO?".
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Acheni kuleta mada za kitoto hapa ndani. Mnatupotezea muda. Kama huna cha kuandika, tulia, nyamaza kimya kabisa. Soma michango ya wenzako iliyoenda shule. Nasema hii tabia ikome mara moja. Toeni mada zenye tija na kuelemisha taifa letu. Ni hayo tu.