Mbegu ya pinecone yenye siri kubwa na dunia

Mbegu ya pinecone yenye siri kubwa na dunia

Hiyo miti inatumika kwenye sikukuu ilitokana na upagani. Hiyo miti ya mipine huwa haipukutishi majani. Ni ya kijani mwaka mzima. Kuwe na baridi kuwe na jua. Wapagani waliona inawakilisha uhai na wakaanza kuiabudu. Baadaye imeingia kwenye ukristo. Upagani mtupu.
fact
 
Mada yenyewe haieleweki mala ni jamii ya miti mala majengo
 
Mada yenyewe haieleweki mala ni jamii ya miti mala majengo
ninkwamba duniani kuna mti wapine ambao tuhoa kitu juu kiitwaacho pinecone.
Sasa kwenye mwili wa mwanadamu kuna gland inafaana sana na pinecone. gland hiyo(tezi) hujulikan kama pineal gland ambayo inasemekana kwamba kwenye tezi hiyo ndipo nafsi inapokaa au utenganisho wa mwili na nafsi ulipo ya between 3 dimension and to infinity dimensions.
_ Dini mbali mbali ikiwemo madha wnaamin gland hiyo ikifanya kazi katika potential fulani humfanya mwanadamu kuwa na uwezo mkubwa sana (Jicho la tatu) yan the third eye alama ya jicho duniani kote maana yake ndo iyo sasa wanatumia neno pinecone secretes ili wasimwage mchele kipindi hicho. na mengine mengi mpaka tesla yupo humu.

Wanatumia urembo na majengo yenye umbo la kushabiana na pinecone kutukusha gland hiyo na jicho lake.

trained bender naomba niwesilishe
 
ninkwamba duniani kuna mti wapine ambao tuhoa kitu juu kiitwaacho pinecone.
Sasa kwenye mwili wa mwanadamu kuna gland inafaana sana na pinecone. gland hiyo(tezi) hujulikan kama pineal gland ambayo inasemekana kwamba kwenye tezi hiyo ndipo nafsi inapokaa au utenganisho wa mwili na nafsi ulipo ya between 3 dimension and to infinity dimensions.
_ Dini mbali mbali ikiwemo madha wnaamin gland hiyo ikifanya kazi katika potential fulani humfanya mwanadamu kuwa na uwezo mkubwa sana (Jicho la tatu) yan the third eye alama ya jicho duniani kote maana yake ndo iyo sasa wanatumia neno pinecone secretes ili wasimwage mchele kipindi hicho. na mengine mengi mpaka tesla yupo humu.

Wanatumia urembo na majengo yenye umbo la kushabiana na pinecone kutukusha gland hiyo na jicho lake.

trained bender naomba niwesilishe

Watu hawana fact ndio ujue humu jf wamejaa wasongesha komment na nini umekosea.jf inapoteza watu polepole kwa mtindo huu.ongera kaka umenieleza
 
Nadhani kuna vitu vingi hatuvijui na tutakufa hatuvifahamu hasa ukizingatia sisi ni watu wa mapokeo na kumeza kisha kujiaminisha 100% bila kutafakari.
 
Ni jambo la kushangaza sana kukuta kitu fulani kipo kila kona na miaka hiyo ilikuwa si rahisi kufikiana kufanya jambo kwa kuambizana,ila kuna vitu vinaweza kutufikirisha na kushindwa kuchambua labda huko mbele hatakaye tegua kitendawili !

Tuje kwenye mbegu hiyo
Ni aina ya mbengu yenye mfano kama wa nanasi ulivo ila upatikana kwenye miti jamii fulani.
View attachment 1647004

Mbegu hii watafiti wengi wa mambo ya keli utafsiri kama:
Ishara ya mwangaza, uzazi, jicho la tatu, uzima wa milele

Mbegu hizi zilitumika kama ishara ya uzazi kwa Warumi, Wagiriki, Waashuri, na Wakristo. Ubunifu wao huunda mlolongo kamili wa Fibonacci.
Yani muundo wa siri
View attachment 1647006
Huu unajumuisha jinsi kuanzia ,anga ya galaxy,bahari,umbaji wa kiumbe na n.k
View attachment 1647007


Mbegu za pine pia zimehusishwa na Jicho la Tatu, mwangaza.hata Ustaarabu wa zamani ulitumia koni ya pine katika usanifu, uchongaji, na uchoraji.
Hata huko nchi za asia nako Miungu ya Kihindu ina koni za pine mikononi mwao.
View attachment 1647010

Na majengo yake juu imetumika
View attachment 1647011

Tukitazama pengine ambapo Nywele za Shiva zimesukwa na nyoka kwa sura ya koni ya pine.
View attachment 1647012
Kutumia mbegu za pine na nyoka inawakilisha ufahamu wa kiroho.
Mbegu za pine pia zimetumika kuashiria uzima wa milele. Kuna nakshi za Waashuri za sanamu zinazofanana na mungu zilizoshikilia koni za pine juu.
View attachment 1647013
Waashuri pia wanaonyesha koni ya pine kama inayotumika kutia mbolea Mti wa Uzima.
View attachment 1647015

Tumeweza kupata ushaidi mwingi katika mbegu hiyo hata
Sanamu ya mungu wa Mexico inashikilia mananasi na matawi ya miti ya kijani kibichi kila wakati.
View attachment 1647016

Dionysus pia alipenda kutembea na hiyo fimbo yenye pine. View attachment 1647020
Kuna koni ya pine ya shaba yenye urefu wa futi tatu .
ambayo ilitumika katika Roma ya kale kama chemchemi. Ilikaa katika Pantheon.
View attachment 1647021

Mbegu hii usemekana ni jicho la tatu
View attachment 1647022

Kwa nini wanunaki walikuja na hii na hata dunia nzima kuwa na mbegu
View attachment 1647023

Tujadili wanazengo


A typical superstition.
 
Ndo mana nlikuwa interested sana na hii kitu aseeView attachment 1655533
20201213_180404.jpg
 
Kama unasema hivo basi hata vitabu vya dini ikutakiwa kuandikwa shetani itaje mambo ya mbinguni tu


Utawafanya watu watafute hiyo mbegu ya (pinecone) na waivae kama hirizi. Ikifikia hatua hiyo basi Mungu anakosa nafasi katika nafsi zao na hapo ndipo ushirikina huanza.
 
Utawafanya watu watafute hiyo mbegu ya (pinecone) na waivae kama hirizi. Ikifikia hatua hiyo basi Mungu anakosa nafasi katika nafsi zao na hapo ndipo ushirikina huanza.

Hapa tuna tafakari na kuchambua ndio maana ya elimu.siku zote kutafuta kuchambua tuna baki ni kwa nini.kama tukisema hapa mwisho tutabaki na akili za giza
 
Back
Top Bottom