Mbegu ya pinecone yenye siri kubwa na dunia

Mbegu ya pinecone yenye siri kubwa na dunia

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,137
Reaction score
33,549
Ni jambo la kushangaza sana kukuta kitu fulani kipo kila kona na miaka hiyo ilikuwa si rahisi kufikiana kufanya jambo kwa kuambizana,ila kuna vitu vinaweza kutufikirisha na kushindwa kuchambua labda huko mbele hatakaye tegua kitendawili !

Tuje kwenye mbegu hiyo
Ni aina ya mbengu yenye mfano kama wa nanasi ulivo ila upatikana kwenye miti jamii fulani.
IMG_2811.jpg


Mbegu hii watafiti wengi wa mambo ya keli utafsiri kama:
Ishara ya mwangaza, uzazi, jicho la tatu, uzima wa milele

Mbegu hizi zilitumika kama ishara ya uzazi kwa Warumi, Wagiriki, Waashuri, na Wakristo. Ubunifu wao huunda mlolongo kamili wa Fibonacci.
Yani muundo wa siri
IMG_2813.png

Huu unajumuisha jinsi kuanzia ,anga ya galaxy,bahari,umbaji wa kiumbe na n.k
IMG_2812.jpg



Mbegu za pine pia zimehusishwa na Jicho la Tatu, mwangaza.hata Ustaarabu wa zamani ulitumia koni ya pine katika usanifu, uchongaji, na uchoraji.
Hata huko nchi za asia nako Miungu ya Kihindu ina koni za pine mikononi mwao.
IMG_2817.jpg


Na majengo yake juu imetumika
IMG_2818.jpg


Tukitazama pengine ambapo Nywele za Shiva zimesukwa na nyoka kwa sura ya koni ya pine.
IMG_2819.jpg

Kutumia mbegu za pine na nyoka inawakilisha ufahamu wa kiroho.
Mbegu za pine pia zimetumika kuashiria uzima wa milele. Kuna nakshi za Waashuri za sanamu zinazofanana na mungu zilizoshikilia koni za pine juu.
IMG_2810.jpg

Waashuri pia wanaonyesha koni ya pine kama inayotumika kutia mbolea Mti wa Uzima.
IMG_2794.jpg


Tumeweza kupata ushaidi mwingi katika mbegu hiyo hata
Sanamu ya mungu wa Mexico inashikilia mananasi na matawi ya miti ya kijani kibichi kila wakati.
IMG_2820.jpg


Dionysus pia alipenda kutembea na hiyo fimbo yenye pine.
IMG_2821.jpg

Kuna koni ya pine ya shaba yenye urefu wa futi tatu .
ambayo ilitumika katika Roma ya kale kama chemchemi. Ilikaa katika Pantheon.
IMG_2823.jpg


Mbegu hii usemekana ni jicho la tatu
IMG_2809.jpg


Kwa nini wanunaki walikuja na hii na hata dunia nzima kuwa na mbegu
IMG_2824.jpg


Tujadili wanazengo
 
Back
Top Bottom