Mbatia's Endorsement ni Busu la kifo!!

Mbatia's Endorsement ni Busu la kifo!!

Mkuu kinachotafutwa hapo sio Tume huru ili eti upinzani ushinde bali ni kuipa uhalali ushindi wa yeyote yule awe CCM au CHADEMA.
Unajua kipindi wapinzani wanadai mgombea binafsi na tume huru 2014 CCM wengi walikejeli ila shida inakuja pale mwana CCM akikatwa kura za maoni kwa rafu, hata akienda upinzani hana assurance ya kushinda anaanza kuona umuhimu wa tume huru.
Kwahiyo tume huru ikiombwa tusiangalie kwa jicho la kwamba Mbowe au Seif ndio wanataka ushindi bali hata kina Kassim Majaliwa au Makonda wataihitaji 2025!!
Nimejikuta namkumbuka much.mtikila sijui kwann

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok fine mna tume kama ya kenya Iebc na jamaa anakubalika kama JPM nini kitakusaidia kwenye kura za urais? Jana kunywa kahawa tu chato ni kama amepata kura 30% za urais. Point yangu ni kwamba good derivery of results ndio zinakupa ushindi. Na siasa ni sayansi.
Mkuu na hapa ndio shida inapokuja, mtazamo wenu ni kwamba tume huru inahitajika ukiwa unataka ushindi. Ni hivi tume huru inahitajika whether Magufuli anakubalika or not, hata Lipumba alipigania tume huru kipindi ambacho Kikwete alishinda kwa zaidi ya 80% ndio sembuse kwa Rais wa sasa!! Kwa sababu kuna Tz baada ya magufuli na Mbowe.

Kingine kuna shida kubwa ya kubalance kati ya upinzani na chama tawala, yaani unapimaje delivery ya upinzani kuendana na majukumu yao?? Hili naomba unisaidie.

Chaguzi ni kushindanisha sera kwahiyo hata kama unajenga madaraja na hospitali mfano ACT wao wanalenga mifuko ya jamii imfikie kila raia so mtu atapiga kura kwa kulinganisha sera, haya CHADEMA wao wanataka serikali za majimbo ili maendeleo yashuke chini yaani ugatuzi.

So wakati wa uchaguzi mtu anapaswa kuangalia haya sio madaraja na hospitali maana hayo ni lazima tu yafanyike iwe CCM au CHADEMA imeshika nchi social amenities ni haki yetu.
 
Mkuu na hapa ndio shida inapokuja, mtazamo wenu ni kwamba tume huru inahitajika ukiwa unataka ushindi. Ni hivi tume huru inahitajika whether Magufuli anakubalika or not, hata Lipumba alipigania tume huru kipindi ambacho Kikwete alishinda kwa zaidi ya 80% ndio sembuse kwa Rais wa sasa!! Kwa sababu kuna Tz baada ya magufuli na Mbowe.

Kingine kuna shida kubwa ya kubalance kati ya upinzani na chama tawala, yaani unapimaje delivery ya upinzani kuendana na majukumu yao?? Hili naomba unisaidie.

Chaguzi ni kushindanisha sera kwahiyo hata kama unajenga madaraja na hospitali mfano ACT wao wanalenga mifuko ya jamii imfikie kila raia so mtu atapiga kura kwa kulinganisha sera, haya CHADEMA wao wanataka serikali za majimbo ili maendeleo yashuke chini yaani ugatuzi.

So wakati wa uchaguzi mtu anapaswa kuangalia haya sio madaraja na hospitali maana hayo ni lazima tu yafanyike iwe CCM au CHADEMA imeshika nchi social amenities ni haki yetu.
Mpinzani anatakiwa alete matokeo chanya yapi? Chama tawala ndio kinapimwa na wananchi ndani ya miaka tano je kuna good results? Kama hamna ndio wataaamua kukiondoa. Sasa nyie mnataka nini? Subirini wananchi waamue
 
Mpinzani anatakiwa alete matokeo chanya yapi? Chama tawala ndio kinapimwa na wananchi ndani ya miaka tano je kuna good results? Kama hamna ndio wataaamua kukiondoa. Sasa nyie mnataka nini? Subirini wananchi waamue
Mpinzani anapimwa pia kwa kazi yake ya kuisimamia serikali, yaani kampeni ya upinzani inaongozwa na mambo waliosimamia serikali hasa masuala ya uwajibikaji,utendaji,bajeti n.k. Sasa kivipi useme inategemea na performance ya serikali iliyopo??

Huyo seif kwa Zanzibar hana hata diwani kabisa ina maana hawezi kugombea urais kisa Shein kapiga maendeleo miaka 5 bila bugdha??

Mkuu siasa ni sera yaani CCM wakija na viwanda wao ACT wanakuja na sera ya social security, CHADEMA na majimbo/katiba mpya kwahiyo whether Magufuli katekeleza aliyoahidi au lah maadam kuna sera zingine mtu ana haki ya kuchagua.

Yaani Rais hapaswi kuchaguliwa kwa kile alichofanya bali uchaguzi unahoji kuna mbadala?? Je kuna anayeweza kufanya zaidi ya haya?? Je sera mbadala kwa magufuli ni zipi?? Wakiridhishwa wanachagua ila sio mpaka magufuli afeli ndio eti upinzani ufikiriwe hii hoja sio sawa kabisa.
 
Mpinzani anapimwa pia kwa kazi yake ya kuisimamia serikali, yaani kampeni ya upinzani inaongozwa na mambo waliosimamia serikali hasa masuala ya uwajibikaji,utendaji,bajeti n.k. Sasa kivipi useme inategemea na performance ya serikali iliyopo??

Huyo seif kwa Zanzibar hana hata diwani kabisa ina maana hawezi kugombea urais kisa Shein kapiga maendeleo miaka 5 bila bugdha??

Mkuu siasa ni sera yaani CCM wakija na viwanda wao ACT wanakuja na sera ya social security, CHADEMA na majimbo/katiba mpya kwahiyo whether Magufuli katekeleza aliyoahidi au lah maadam kuna sera zingine mtu ana haki ya kuchagua.

Yaani Rais hapaswi kuchaguliwa kwa kile alichofanya bali uchaguzi unahoji kuna mbadala?? Je kuna anayeweza kufanya zaidi ya haya?? Je sera mbadala kwa magufuli ni zipi?? Wakiridhishwa wanachagua ila sio mpaka magufuli afeli ndio eti upinzani ufikiriwe hii hoja sio sawa kabisa.
Hypothetical issues.
 
Hypothetical issues.
Kama ni hypothetical nieleze kivipi Maalim anafikaga 50% ya kura zake ilihali hanaga serikali ya kujenga mabarabara???

Sababu kuu ni yeye kusimamia sera ya Zanzibar huru hivyo hata Shein afanye nini Maalim anaingia kila uchaguzi na mtaji wa 50% ya wazanzibar wote!!

Hayo ya maji na barabara ni kwa watu wasiojitambua ambao ndio mtaji wa kura za CCM wakidhani ni hisani ya Magufuli.
 
Ok fine mna tume kama ya kenya Iebc na jamaa anakubalika kama JPM nini kitakusaidia kwenye kura za urais? Jana kunywa kahawa tu chato ni kama amepata kura 30% za urais. Point yangu ni kwamba good derivery of results ndio zinakupa ushindi. Na siasa ni sayansi.
Acha pumba zako wew kama wew unaona anakubalika kwa nini anapiga watu risasi na kuzuia mikutano ya Cdm? Uchaguzi tuu wa serikali za mitaa kaogopa labda kama anakubalika kwako wew na mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hypothetical nieleze kivipi Maalim anafikaga 50% ya kura zake ilihali hanaga serikali ya kujenga mabarabara???

Sababu kuu ni yeye kusimamia sera ya Zanzibar huru hivyo hata Shein afanye nini Maalim anaingia kila uchaguzi na mtaji wa 50% ya wazanzibar wote!!

Hayo ya maji na barabara ni kwa watu wasiojitambua ambao ndio mtaji wa kura za CCM wakidhani ni hisani ya Magufuli.
Mimi nitaamini vipi unayosema? Wale makala wake walitakiwa watuonyeshe hiyo dhuluma.maana wanakuwa na form za majumuisho anzia kituo mpaka ngazi ya taifa.kama kuna defects wanatakiwa wathibitishe.
 
Mkuu kinachotafutwa hapo sio Tume huru ili eti upinzani ushinde bali ni kuipa uhalali ushindi wa yeyote yule awe CCM au CHADEMA.
Unajua kipindi wapinzani wanadai mgombea binafsi na tume huru 2014 CCM wengi walikejeli ila shida inakuja pale mwana CCM akikatwa kura za maoni kwa rafu, hata akienda upinzani hana assurance ya kushinda anaanza kuona umuhimu wa tume huru.
Kwahiyo tume huru ikiombwa tusiangalie kwa jicho la kwamba Mbowe au Seif ndio wanataka ushindi bali hata kina Kassim Majaliwa au Makonda wataihitaji 2025!!
Shida ni pale yanapotolewa maelezo kuwa hata sasa tume iko huru, tena kwa kurejea maandiko. Wasiwasi wangu mkubwa ni kuwa kelele zikizidi unaweza kuchezwa mchezo kama ule wa katiba mpya.
 
Do nyie manyumbu kwani hamfikiria hata kiduchu
Hello Jf

Napenda kuandika kupitia JF kutuma salamu kwa Mbatia na kundi lake kuwa hii endorsement yao ni kiss of death!

Kuna taarifa kwamba Mbatia na Lipumba waliyakubali mapendekezo yote ya JIWE bila masharti wala marekebisho isipokua kwa maalim Seif peke yake.

Napenda nimkumbushe Mbatia kwamba akionacho sasa si matakwa ya akina Mbowe au yeyote mwana mageuzi isipokua ni nguvu ya wakati!

Wakati una nguvu kuliko vifaru vya jeshi na zana zote za vita!! Huu wakati ni muafaka kwa wana mageuzi kuvuna walichopanda na si kukimbia chombo na kujitosa kwa CCM!!

CCM kiuhalisia haipo tena isipokua inaning'inia kwenye kamba nyepesi iitwayo DOLA.

Kukimbilia CCM kwa majira haya ni kama kukimbilia kifo!!

Hii task aliyopewa Mbatia kamwe asifikiri atashinda na NCCR kuibuka tena kamwe asifikiri hivyo.

Hii endorsement kwake is a kiss of death na itampoteza mazima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unataka kusema JMT ni nchi ya kibepari? Yaani hapa kuna mabeberu ndio wanaingoza hii Tz?

Sio nchi ya kibepari bali ya kibepari uchwara, maana haiko kwenye ujamaa wala ubepari. Hii nchi haina mfumo wowote, bali kutokana na katiba yenye mapungufu makubwa, inafanya tabia binafsi za rais kuwa ndio mfumo wa nchi. Ndio maana unaona rais mmoja anatawala kwa mapenzi yake binafsi kugeuka kuwa ndio sura ya nchi, kisha akitoka akija mwingine anaanza upya vile vinavyomfurahisha. Mfano halisi, wakati wa JK, Magufuli alikuwa rais wakati tunaimbishwa wimbo kwa umeme na uchumi wa gas. JK akaenda kukopa 1.+t ili kuwekeza kwenye umeme wa gas huku Magufuli akiwa kimya na kuitikia beti za uchumi wa gas. Mara pap, Magufuli Kawa rais hsongea chochote kwenye kile kiitikio cha umeme wa gas, bali katunga wimbo mpya wa umeme wa maji, na ana vina vya kujenga mradi huo kwa fedha za ndani, lakini kimya kimya anaenda kukopa ili kujenga miradi huo. Sasa nyie wacheza midundo ya marais, mnaimba mradi wa umeme wa maji na hakuna anayehoji umeme wa gas umeishia wapi, na deni litalipwaje?
 
Sio nchi ya kibepari bali ya kibepari uchwara, maana haiko kwenye ujamaa wala ubepari. Hii nchi haina mfumo wowote, bali kutokana na katiba yenye mapungufu makubwa, inafanya tabia binafsi za rais kuwa ndio mfumo wa nchi. Ndio maana unaona rais mmoja anatawala kwa mapenzi yake binafsi kugeuka kuwa ndio sura ya nchi, kisha akitoka akija mwingine anaanza upya vile vinavyomfurahisha. Mfano halisi, wakati wa JK, Magufuli alikuwa rais wakati tunaimbishwa wimbo kwa umeme na uchumi wa gas. JK akaenda kukopa 1.+t ili kuwekeza kwenye umeme wa gas huku Magufuli akiwa kimya na kuitikia beti za uchumi wa gas. Mara pap, Magufuli Kawa rais hsongea chochote kwenye kile kiitikio cha umeme wa gas, bali katunga wimbo mpya wa umeme wa maji, na ana vina vya kujenga mradi huo kwa fedha za ndani, lakini kimya kimya anaenda kukopa ili kujenga miradi huo. Sasa nyie wacheza midundo ya marais, mnaimba mradi wa umeme wa maji na hakuna anayehoji umeme wa gas umeishia wapi, na deni litalipwaje?
Out of point.
 
Na kugawana alichoiba mwizi
Huko tuendako nguvu ya wapiga kura inaenda kupoteza maana, kinachoonekana kinafaa sasa ni nguvu ya mwenyekiti wa CCM aliye na dola, tume ya uchaguzi, na vyote upande wake, pamoja na kodi za wapiga kura kununulia wapinzani.

Ndio maana kina Mbatia na wenzake wameliona hilo, kuliko kuhangaishana na CCM kulinda kura zisiibiwe bora kutengeneza urafiki na mwizi uwe na uhakika wa kushinda, iwe kihalali au kwa makubaliano maalumu na mwizi.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima mkubali ukweli kuwa mlipata nafasi mkafanya masihara sasa imeondoka. Na wengine pia wanayo haki ya kuwa na hiyo nafasi, punguzeni woga.
 
Huwezi kunilaghai niimani cdm kwasasa,niiamini 2015 inatosha ni zamu ya wengine sasa
 
Back
Top Bottom