Mbatia: Rais Magufuli si msafi

Mbatia: Rais Magufuli si msafi

Mbona watu wanaweweseka sana week hii? Wanaogopa nini Magufuli akiwa mwenyekiti wa CCM?

Halafu huyo Mbatia anapata wapi moral authority ya 'ubadhirifu? NCCR-Mageuzi imefia leo anasimama kuongelea uongozi wa Magufuli?
 
myoyambendi ;
Majibu niliyotoa ndio majibu halisi kulingana na propaganda za Mbatia.

Mbatia bado yuko kwenye general election campaign mode.

Tumsubiri mpaka atakapozinduka na kujikuta chama chake hakiwezi hata kufanya mkutano wa hadhara.

Kwa sasa acha aendelee kufanya kazi ya Tumaini Makene wakati yeye ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi.
sawa...
 
Mbona watu wanaweweseka sana week hii? Wanaogopa nini Magufuli akiwa mwenyekiti wa CCM?

Halafu huyo Mbatia anapata wapi moral authority ya 'ubadhirifu? NCCR-Mageuzi imefia leo anasimama kuongelea uongozi wa Magufuli?
A/c ya CCM ni nyeupe Pesa yote imetafunwa wao wenyewe ndio
*Kuoa au kuolewa ni sawa na kuchagua parachichi gengeni, unabonyeza tisa unanunua moja* ...

*( Hashim Rungwe)*
 
UUZWAJI WA NYUMBA ILIKUA NI SERA YA WAKATI HUO, KWAHIYO ULITAKAJE? NA HIZO PESA ALIPELEKA WAPI ? JE ALIFUNGUA AKAUNT NJE YA NCHI AU? JE ALIPELEKA CHATO, AU ZIMEFANYA MAMBO KWA MAENDELEO YA NCHI YAKE?
Unapotenda kinyume na Katiba, sheria, taratibu na kanuni za nchi unatakiwa kusimamishwa kazi. Na kama wewe ni top na hakuna wa kukusimamisha, inakubidi ujitathmini na uombe radhi au uachie ngazi. Njia mbaya haiwezi kuhalalisha matokeo hata kama yatakuwa mazuri. Ni sawa na jambazi akiiba pesa akazijengea Shule, bado ni jambazi tu, na ana hatia ya kujibu mbele ya Sheria.
 
A/c ya CCM ni nyeupe Pesa yote imetafunwa wao wenyewe ndio
*Kuoa au kuolewa ni sawa na kuchagua parachichi gengeni, unabonyeza tisa unanunua moja* ...

*( Hashim Rungwe)*
Mbatia kaongea ukweli na siku zote ukweli huwa unauma sana .
 
Muuzaji wa Nyumba za serikali wanaye huko huko UKAWA anaitwa Sumaye.

Pia Sumaye wakati anatangaza nia ya kugombea urais aliulizwa hilo swali ,inakuwa vipi Nyumba ziuzwe na yeye ni waziri mkuu???
 
Yeye ni msafi kama ni msafi kwanini Nccr inamfia??
Achieni vyama vifanye kazi za siasa muone huo msiba mnaoutabiri km utakuwepo,Hamwezi kuminya demokrasia eti watu wafanye kazi huo ni wizi kazi ya hivi vyama ni nini au hizo kazi mnazotaka wafanye fursa mmewaonesha au mmewekeza kiasi gani kwa taifa/sekta ili huko pawe mkombozi wetu wa kufanya kazi,Huu ni wizi tuu tuachieni tufanye siasa nayo ni kazi pia km nyingine
 
Jibuni hoja katika uzi huu mkitaka kumshambuli Mbatia anzisheni uzi wenu
Mwambie Mbatia tunamshambulia sababu ana kipaji alichosema baba wa taifa za upumbavu. Kabla ya kumvaa magufuri akumuulize yule waliyempokea mwaka jana awasaidie mafuriko ya viroba mh Sumaye mbona hawataki kumwamini alichokisema na mwamuamini Lowasa alipokataa yeye si fisadi? Ushahidi alishautoa kamanda wa vijana ww bavicha
 
Mwambie Mbatia tunamshambulia sababu ana kipaji alichosema baba wa taifa za upumbavu. Kabla ya kumvaa magufuri akumuulize yule waliyempokea mwaka jana awasaidie mafuriko ya viroba mh Sumaye mbona hawataki kumwamini alichokisema na mwamuamini Lowasa alipokataa yeye si fisadi? Ushahidi alishautoa kamanda wa vijana ww bavicha
Richmond ni ya kikwete
 
Mh Rais leo nakupongeza sana kwa kutumbua majipu wale waliohusika kulitia hasara taifa na kulifanya taifa kuwa shamba la bibi. Kila mahali kulikuwa na hewa mh Mtukufu Rais endelea na kasi hiyo. Moto wa NSSF tumeona.

Nakuomba baba kuna huku nako tumepata hasara chonde chonde wahusika watumbue tu majipu haya hakuna namna tunakuombea sana.

1. Uuzaji wa nyumba za serikali
2. Vivuko vibovu
3. Meli ya Kichina ile MV Dar es Salaam haifanyi kazi licha ya kununuliwa kwa bil 8.
4. Pia wale wote waliohusika na mgao wa pesa za Escrow na zile chenji za za rada tujue zilifanyia nini.

Tuko pamoja kupinga ubadhirifu.a kutumbua majipu wale waliohusika kulitia hasara taifa na kulifanya taifa kuwa shamba la bibi. Kila mahali kulikuwa na hewa mh Mtukufu Rais endelea na kasi hiyo. Moto wa NSSF tumeona.

Nakuomba baba kuna huku nako tumepata hasara chonde chonde wahusika watumbue tu majipu haya hakuna namna tunakuombea sana.

1. Uuzaji wa nyumba za serikali
2. Vivuko vibovu
3. Meli ya Kichina ile MV Dar es Salaam haifanyi kazi licha ya kununuliwa kwa bil 8.
4. Pia wale wote waliohusika na mgao wa pesa za Escrow na zile chenji za za rada tujue zilifanyia nini.

Tuko pamoja kupinga ubadhirifu.

Atazame na gepf pi bado wanatuibia asilmia 10 ya salar badala ya 5.
 
Watoe Uhuru wa vyama vya siasa watafafanua vizuri jinsi , kivuko cha Dsm Bagamoyo kilivyonunuliwa kifisadi , jinsi mchakato wa uuzaji nyumba za serikali ulivyofanyika na wale ambao walijiuzia nyumba zaidi ya moja Kisha kuzingawa na wengine wameziuza Kwa mabilioni mengi , pia wataelezea zile bilioni 252 zilizopotea kule wizara ya ujenzi Kwa kuwalipa makandarasi Hewa , ujenzi barabara chini ya kiwango na madili memgineyo
 
Watachonga weee lakini hawana jipya. Wamekosa cha kumkosoa Rais wangu JPM sasa wamebaki mara nyumba za serikali, mara mafisadi, mara amekandamiza demokrasia. Sasa ili mjue Rais wangu JPM anakerwa na ufisadi kaanzisha mahakama ya mafisadi.

Kuhusu kukandamizi demokrasia si kweli na pia demokrasia ni mikutano ya hadhara tu? Kwanza uzoefu unaonesha mikutano ya hadhara ya wapinzani imejaa uchochezi na matusi.

Uchaguzi umeisha mmeshindwa kaeni kimya subirini tena 2020. Mwisho hata huyo Mbatia naye si msafi mwambieni atoe boriti kwenye jicho lake kwanza ndo aone kakibanzi kwenye jicho la Rais wangu JPM.
Kheri ya wewe umejisemea ni rais wako.
 
Sumaye si mko naye, mwambieni awape ufafanuzi wa hizo nyumba za serikali. Kama hamna la kuongea kaeni kimya WAKAWA
 
Wakiacha Udikteta wataona jinsi Ukawa inavyoibua Majipu .
Majipu aliyonayo mgonjwa wa upande wa chama chetu siowakumfanyia matibabu bali kumuua mauaji ya huruma maana ukisema kumpasua mtabakiza mifupa kwa kukamua usaha.
 
Achieni vyama vifanye kazi za siasa muone huo msiba mnaoutabiri km utakuwepo,Hamwezi kuminya demokrasia eti watu wafanye kazi huo ni wizi kazi ya hivi vyama ni nini au hizo kazi mnazotaka wafanye fursa mmewaonesha au mmewekeza kiasi gani kwa taifa/sekta ili huko pawe mkombozi wetu wa kufanya kazi,Huu ni wizi tuu tuachieni tufanye siasa nayo ni kazi pia km nyingine
Vyama vipi hiv ambavyo hata offisi ni tatizo!!!
 
Back
Top Bottom