Mbatia: Rais Magufuli si msafi

Mbatia: Rais Magufuli si msafi

Mheshimiwa Mbatia unaheshimiwa sana tafadhali usijishushe hadhi yako kwa matamko ambayo hayatarajiwi toka kwako.
JPM hakuwahi kuwa na uwezo wa kuuza nyumba au mali yoyote ile ya serikali. Kwenye kuuzwa nyumba za serikali rightly or wrongly ilikuwa uamuzi wa baraza zima la mawaziri chini ya rais. Na hili lilifikiwa baada ya mjadala mrefu kuhusu nyumba hizo. Hivyo basi kumlaumu JPM eti kwa vile ametekeleza wajibu wake kisheria ni kutomtendea haki kabisa.
Kama unatafuta wa kumlaumu mbona Mzee Ben humchokozi?
Tatizo la Escrow lilikuwa lakisheria mno na kwa mtu kama wewe unalifahamu vizuri sana.
Hisia zangu, rightly or wrongly ni kuwa huyu JPM anawanyima raha jinsi anavyokubalika na umma na kwa kiasi fulani mnahisi mkiendelea kunyamaza kimya basi mtakuwa hamna ajenda na hili ndiyo maana mara mnafunga midomo yenu, mara naibu spika hamumtaki[taratibu za kumng'oa mnazijua lakini hamfuati hizo].
Ushauri wangu ni kwamba kwa sasa tulieni. JPM yuko honeymoon. wananchi wengi wanamkubali na wanaamini kuwa muelekeo wa serikali yake ni mzuri kwao na honeymoon ikiisha mtapata tu mada za kuzungumzia.
Mkuu tatizo ushabiki!!! Awa jamaa baada washiriki maendeleo wanabaki na propaganda!!
 
Mh Rais leo nakupongeza sana kwa kutumbua majipu wale waliohusika kulitia hasara taifa na kulifanya taifa kuwa shamba la bibi. Kila mahali kulikuwa na hewa mh Mtukufu Rais endelea na kasi hiyo. Moto wa NSSF tumeona.

Nakuomba baba kuna huku nako tumepata hasara chonde chonde wahusika watumbue tu majipu haya hakuna namna tunakuombea sana.

1. Uuzaji wa nyumba za serikali
2. Vivuko vibovu
3. Meli ya Kichina ile MV Dar es Salaam haifanyi kazi licha ya kununuliwa kwa bil 8.
4. Pia wale wote waliohusika na mgao wa pesa za Escrow na zile chenji za za rada tujue zilifanyia nini.

Tuko pamoja kupinga ubadhirifu.a kutumbua majipu wale waliohusika kulitia hasara taifa na kulifanya taifa kuwa shamba la bibi. Kila mahali kulikuwa na hewa mh Mtukufu Rais endelea na kasi hiyo. Moto wa NSSF tumeona.

Nakuomba baba kuna huku nako tumepata hasara chonde chonde wahusika watumbue tu majipu haya hakuna namna tunakuombea sana.

1. Uuzaji wa nyumba za serikali
2. Vivuko vibovu
3. Meli ya Kichina ile MV Dar es Salaam haifanyi kazi licha ya kununuliwa kwa bil 8.
4. Pia wale wote waliohusika na mgao wa pesa za Escrow na zile chenji za za rada tujue zilifanyia nini.

Tuko pamoja kupinga ubadhirifu.
Nina unga mkono na miguu yote hoja.... na hakuna kuwalinda wale wote waliotufikisha hapa.
Tutamkumbuka JPM na ataweka historia abadilishe katiba na kupata katiba mpya ya Wananchi toka Tume ya Warioba na kuiboresha kwa kuipa Meno Makali zaidi.
 
Nakumbuka story ya Yesu na asiye na Dhambi awe wa kwanza kumpiga uyu mama.
Mbatia naona anajaribu kukokotoa namna ya kutoka ata kwa single ambazo haziuziki.
All the best baba ingawa msipobadili namna ya kukabiliana na CCM awamu hii itakula kwenu.
Mbinu za awamu ya nne achaneni nazo come up with new tactics ndo maana ya upinzani itaonekana.
Soon Mwanahalisi nalo litapoteza mvuto maana mada zake zimekaa kutetea maslai ya chama unlike zamani
 
Sasa mbatia mbona hamsafishi mgombea wake wa uraisi,kwa hizi mistakes wanazofanya upinzani wanazidi kuiimarisha ccm,baadae wasitafute mchawi nani.
 
Lol Lugumi...haiwezeka ushindwe ....na hicho kivuko ushindwe na ulegee
 
Mkuu tatizo ushabiki!!! Awa jamaa baada washiriki maendeleo wanabaki na propaganda!!

Tatizo ni kwamba ndugu zangu hawa wanadhani wananchi ni mbumbumbu na hawajui kinacho endelea nchini.

Ukweli ni kwamba wananchi wa kawaida wanauelewa mkubwa kuliko wanavyofikiria. Hii inanikumbusha kuhusu mbunge mmoja wa upinzani hivi karibuni aliwekwa kapeti na wananchi wake wakitaka kujua kwa nini ameamua kutohudhuria vikao vya bunge kuwawakilisha kama mkataba wao na yeye.

Jamaa alijibu kuwa anafuata maelekezo ya viongozi wake na wakamwambia jee huko mjengoni ulipelekwa na viongozi wake au ni sisi ndiyo tuliokupa kazi hiyo????

Wengi waliosikia kauli hii hawakuipa kipa umbele lakini kwa maoni yangu hiyo ni ishara tosha kuelewea kuwa wananchi hawa tunaowaita wa kawaida wanauelewa mkubwa sana kuliko tunavyofikiria. zile enzi za kuwadanganya zimepita.
 
Duh hii sasa ni hatari sana yaani Terminal III bado haijaisha lakini kuna ufisadi..!?
 
Tatizo ni kwamba ndugu zangu hawa wanadhani wananchi ni mbumbumbu na hawajui kinacho endelea nchini.
Ukweli ni kwamba wananchi wa kawaida wanauelewa mkubwa kuliko wanavyofikiria. Hii inanikumbusha kuhusu mbunge mmoja wa upinzani hivi karibuni aliwekwa kapeti na wananchi wake wakitaka kujua kwa nini ameamua kutohudhuria vikao vya bunge kuwawakilisha kama mkataba wao na yeye. Jamaa alijibu kuwa anafuata maelekezo ya viongozi wake na wakamwambia jee huko mjengoni ulipelekwa na viongozi wake au ni sisi ndiyo tuliokupa kazi hiyo????
Wengi waliosikia kauli hii hawakuipa kipa umbele lakini kwa maoni yangu hiyo ni ishara tosha kuelewea kuwa wananchi hawa tunaowaita wa kawaida wanauelewa mkubwa sana kuliko tunavyofikiria. zile enzi za kuwadanganya zimepita.
Alafu unamchukua MTU kama sumaye ambaye ndo muusika mkuu wa uuzwaji wa Nyumba unampa kadi ya chadema anaingia ukawa
Daaah hawa jamaa!!!
 
Ni nani alimwambia Rais Magufuli ni msafi?

Common sense inatuambia hakuna binadamu hapa duniani aliye msafi.

Kinachonifurahisha ni kwamba, kwa sasa Mbatia amechukua cheo cha Tumaini Makene bila ridhaa ya vikao vya CHADEMA huku NCCR-Mageuzi ikimfia polepole.

Huu wimbo wa kusema Rais Magufuli siyo msafi haukufanya kazi wakati wa kampeni za Urais lakini kwa vile hakuna nyimbo zingine mpya, ndio maana bado anaendelea nao.

Nadhani Mbatia hafamu kuwa siasa zinabadilika na kama habadiliki, basi siasa zitambadilisha na kumuweka yeye na NCCR-Mageuzi katika sehemu mbaya kisiasa.
Ukiangalia kwa ukweli utagundua kuwa Team Ukawa hawana mashiko tena wamekuwa ni watu wa kuvizia matukio ambayo hayana shida,Ila sio mbaya pia wakiwa wanacheza old is gold,maana aliye kubali nyumba ziuzwe ndio anatarajia kuwa director general wa pwani,Poleni ukawa
 
Muuzaji wa Nyumba za serikali wanaye huko huko UKAWA anaitwa Sumaye.

Pia Sumaye wakati anatangaza nia ya kugombea urais aliulizwa hilo swali ,inakuwa vipi Nyumba ziuzwe na yeye ni waziri mkuu???
 
Huyu nae mbona anarudia haya mambo tena? Eeeh mkosaji wa mapya...haya yalielezewa vizuri tu humu ilivuokuwa na wakuu gani walisimamia kizaidi...yeye kama waziri hakuwa nalo la kupinga. Mmmmmh
 
Wanajamvi sina uhakika na uelewa wa hichi kinachojiita mwanahalisi,kiundani ni kakundi amabako kamekaaa kulalamika tu na kuleta habari habazo mashiko ni zero,kama mnakuwa mnakosa habari basi wekeni hata majarida ya wanafunzi wasome,pia mtakuwa mmesaidia jamii,lakini nyie kila siku ni kuvizia mkikosa mnarudi kwe storry ambazo hazina mashiko,

Ningependa niwashauri Muishi kwa mfumo wa 5S itawasaidia sana,mda mwingine mnaboa
 
msemajiukweli nilijua umekuja na ukweli hapa.....hebu jibu alichasema mbatia ila tumsage
myoyambendi ;
Majibu niliyotoa ndio majibu halisi kulingana na propaganda za Mbatia.

Mbatia bado yuko kwenye general election campaign mode.

Tumsubiri mpaka atakapozinduka na kujikuta chama chake hakiwezi hata kufanya mkutano wa hadhara.

Kwa sasa acha aendelee kufanya kazi ya Tumaini Makene wakati yeye ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi.
 
JPM anahusika na kashfa nyingi tu, ikiwemo Meli Chakavu, kuhamisha fedha za umma kinyume na Mamlaka ya Bunge na kukandamiza Demokrasia ya Vyama vingi na Uhuru wa kupata Habari, kinyume na Katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea.
Pia CAG alibaini bilion 252 kupotea wizara ya Ujenzi Kwa kuwalipa makandarasi Hewa , huku barabara ya Ubungo magomeni kutawaliwa mapungufu kibao kutokana na kuwa nyembamba sana .
 
Back
Top Bottom