Mbatia na Magufuli nani ni bingwa wa kumbukumbu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,742
109,178
Namwona hapa Clouds TV 360 mbunge wa Vunjo James Mbatia akijibaraguza kujifanya ni mtu wa kumbukumbu kila anapojibu hoja. Kwa mfano kila akiulizwa swali na kamoga badala ya kujibu hoja anaanza kwanza kutaja jina la mtu, mara tarehe ngapi, mara saa ngapi na siku ipi.

Sioni mantiki ya yeye (James Mbatia) kutaka kutuonesha kuwa ana uwezo mkubwa wa kumbukumbu na najua atakuwa anafanya hivi makusudically kabisa ili kama vile kumjibu rais Dr. Magufuli kuwa hata yeye ni " genius " vile vile.

Naomba sasa tujadili hapa hivi kati ya huyu Mbatia (mbunge) na Magufuli (rais wa nchi) nani ni bingwa aliyetukuka kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kumbukumbu na ambaye anaonekana hakariri bali vitu (data) zinatoka tu kwa mtiririko kichwani?
 
Thread yako ina define hata umri wako, wewe ni Dogo na umevamia jiji kwa pupa, Moron.

Flash back Mbatia ameanza kuwa mbunge kabla hata ya Magufuri 1995, na yeye ukitaka kumjuwa vizuri reflect kwa Dada yake ambaye ni mbunge Wa East Afrika anaitwa Ndelikijo Kessy, kwa wanaowajuwa wachaga wale Wa Marangu Mawenya ni automatically anakuwa Kessy sawa na Mbatia. ( Tutusa kama wewe hata usome hii post miaka 100 huwezi kuelewa nilichoandika hapa.)

Genuine bonafide Mbatia ndio binadamu Wa kwanza duniani kuhutubia hotuba ya kambi ya upinzani bila kusoma popote miaka hiyo hata Magufuri hajawaza kuwa mbunge.

Nashukuru Leo Kujua KIWANGO CHAKO CHA MWISHO Cha KUFIKIRI. Halafu Ukome Kutaka KUSHINDANA Na Mimi KIAKILI Kwani Nina UHAKIKA Chukua AKILI Zako Changanya Na Za Mbatia Wako HAMFIKII Tu Hata Robo Ya Nilizonazo. Nani ALIYEKUAMBIA KUWA KUTOA HOTUBA BILA KUSOMA POPOTE NDIYO ISHARA KUWA FULANI ANA AKILI? Hivi Kwa UPOPOMA Huu Na Wewe UNAJIITA INTELLECTUAL au ACADEMICIAN? Nilikuwa NAKUDHARAU Ila Leo Kwa UPUUZI WAKO HUU ULIOTUKUKA Uliouandika Hapa Ndiyo UMENIHALALISHIA NIKUDHARAU Na Kwakuwa Nimeshajua UMEHAMAKI Sasa Kama Kawaida Yangu Nitaku Provoke Hadi Upasuke!
 
Kwanza wewe sio raia wa nchi hii kwanini unapenda kuijadili nchi pamoja na viongozi wetu? Sasa kama ulikimbia vita na genocide miaka hiyo si urudi kwenu kwa dictator?

Nipo Kwenu Tanzania Kwa KAZI MAALUM Ambayo Hata Hivyo Tayari Nimekwishaimaliza Na Sasa Naelekea Nchini DRC Kwani Juzi Pia Niliimaliza Huko Nchini Uganda. Lakini Nipo Katika MKAKATI MAALUM Wa Kuifanya Tena Nchini Burundi Na Baada Ya Miaka Miwili Ijayo Nitaifanya Tena Hapo Nchini Kenya. Hadi HIMAYA YA KITUTSI Na KIHIMA ITIMIE HAPA AFRIKA YA MASHARIKI.
 
Nashukuru Leo Kujua KIWANGO CHAKO CHA MWISHO Cha KUFIKIRI. Halafu Ukome Kutaka KUSHINDANA Na Mimi KIAKILI Kwani Nina UHAKIKA Chukua AKILI Zako Changanya Na Za Mbatia Wako HAMFIKII Tu Hata Robo Ya Nilizonazo. Nani ALIYEKUAMBIA KUWA KUTOA HOTUBA BILA KUSOMA POPOTE NDIYO ISHARA KUWA FULANI ANA AKILI? Hivi Kwa UPOPOMA Huu Na Wewe UNAJIITA INTELLECTUAL au ACADEMICIAN? Nilikuwa NAKUDHARAU Ila Leo Kwa UPUUZI WAKO HUU ULIOTUKUKA Uliouandika Hapa Ndiyo UMENIHALALISHIA NIKUDHARAU Na Kwakuwa Nimeshajua UMEHAMAKI Sasa Kama Kawaida Yangu Nitaku Provoke Hadi Upasuke!
Hahaha
mkuu umenifanya nicheke
 
Umchafue usimchafue
huyo ndio Rais wako
Mkuu, kwani hujaona title ya mleta mada inasemaje?
Amesema tulinganishe uwezo wa kumbukumbu ya watu wawili, sasa mimi nimeanza na huyu, unaruhusiwa kuongeza au kuleta ya mwingine. Hapa jambo kuu ni 'kumbukumbu'
 
Nashukuru Leo Kujua KIWANGO CHAKO CHA MWISHO Cha KUFIKIRI. Halafu Ukome Kutaka KUSHINDANA Na Mimi KIAKILI Kwani Nina UHAKIKA Chukua AKILI Zako Changanya Na Za Mbatia Wako HAMFIKII Tu Hata Robo Ya Nilizonazo. Nani ALIYEKUAMBIA KUWA KUTOA HOTUBA BILA KUSOMA POPOTE NDIYO ISHARA KUWA FULANI ANA AKILI? Hivi Kwa UPOPOMA Huu Na Wewe UNAJIITA INTELLECTUAL au ACADEMICIAN? Nilikuwa NAKUDHARAU Ila Leo Kwa UPUUZI WAKO HUU ULIOTUKUKA Uliouandika Hapa Ndiyo UMENIHALALISHIA NIKUDHARAU Na Kwakuwa Nimeshajua UMEHAMAKI Sasa Kama Kawaida Yangu Nitaku Provoke Hadi Upasuke!
Maajabu Haya yanapatikana JF tu, yaani Anonymous aniprovoke Mimi? U can't be serious, nimekutoa nishai just to set the record clear hata watoto zetu watayasoma Haya maandishi milele na watajuwa zuzu ni nani.

Unajuwa kwamba Marekani INA library nyingi kuliko matawi ya MacDonald? You know why?

Cc Nyani Ngabu
 
hiv magu anajua kingereza hata kidogo ha ha ha ha nakumbuka ile im not a politicians columbia university ooooh i mean university of columbia aaaah colombia hahahahaha ngachoka mie

Hivi Anayejua Kiingereza Japo Cha Wastani Na Anaeleweka Lakini Hajinyei Na Yule Anayekijua Kiingereza Vizuri Lakini Muda Wote Anajinyea Nani Ana UFANISI Kwa Mgeni? Naomba Majibu Tafadhali.
 
Mkuu, si umesema tulinganishe Mbatia na JPM, sasa mbona unaongeza wengine?

Ni Aina Yangu Tu Ya UBUNIFU Wa KUCHOKONOA Mada Ila Ukweli Ni Kwamba Nimewatega, Mmetegeka Na Sasa Mnacheza Ngoma Niliyotaka Muicheze. Nafurahi Sana KUCHEZA Na AKILI Za Watu. Sijui Kwanini Mwenyezi Mungu ALINIPA ZAWADI KUBWA YA AKILI, MAARIFA, MBINU Na UJANJA Na Hakuwapa Wengine. Nifah, Mussolin5, UncleBen, miss chagga Na kadoda11 Njooni Huku Muwasaidie MAPOPOMA Wenzenu Kwani Angalau Nyie Kidogo MNANIWEZA Ila Siyo Hawa. Nitawatesa Mno.
 
personal attach nikuishiwa hoja wewe mbona unafanya au kisa sio maarufu
Kuna viumbe wengine hawakamiliki au amani yao inatokana na kujenga chuki kwa wengine hiyo ndio sehemu wanayoimudu maishani mwao. Losers.
[HASHTAG]#GENTAMYCINE[/HASHTAG]
Nina uhakika hata wazazi wako wanajilaumu kukuleta duniani, hivi utashi wako ndio umekuongoza kuandika huu upuuzi hapa wa nani mwenye kumbukumbu zaidi, real?
 
Nipo Kwenu Tanzania Kwa KAZI MAALUM Ambayo Hata Hivyo Tayari Nimekwishaimaliza Na Sasa Naelekea Nchini DRC Kwani Juzi Pia Niliimaliza Huko Nchini Uganda. Lakini Nipo Katika MKAKATI MAALUM Wa Kuifanya Tena Nchini Burundi Na Baada Ya Miaka Miwili Ijayo Nitaifanya Tena Hapo Nchini Kenya. Hadi HIMAYA YA KITUTSI Na KIHIMA ITIMIE HAPA AFRIKA YA MASHARIKI.
Hizi sifa zako za ukabila ndo huwa zinakuondolea utu wako.
 
Namwona hapa Clouds TV 360 mbunge wa Vunjo James Mbatia akijibaraguza kujifanya ni mtu wa kumbukumbu kila anapojibu hoja. Kwa mfano kila akiulizwa swali na kamoga badala ya kujibu hoja anaanza kwanza kutaja jina la mtu, mara tarehe ngapi, mara saa ngapi na siku ipi.

Sioni mantiki ya yeye (James Mbatia) kutaka kutuonesha kuwa ana uwezo mkubwa wa kumbukumbu na najua atakuwa anafanya hivi makusudically kabisa ili kama vile kumjibu rais Dr. Magufuli kuwa hata yeye ni " genius " vile vile.

Naomba sasa tujadili hapa hivi kati ya huyu Mbatia (mbunge) na Magufuli (rais wa nchi) nani ni bingwa aliyetukuka kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kumbukumbu na ambaye anaonekana hakariri bali vitu (data) zinatoka tu kwa mtiririko kichwani?
Hujui hata tofauti ya kumbukumbu na kukariri. Mkulu hana sifa ya kumbukumbu Bali kukariri. Akiwa waziri alikuwa anasema safari za nje za muhimu sana kwa Rais ili tupate fedha za kujenga barabara, lakini siku ya kwanza kulihutubia bunge akasema kuna watu wanasafiri sana nje bila sababu mara nyingi(JK) kuliko hata wanavyokwenda kuwaona mama zao kijijini, hapo sio kupoteza kumbukumbu.
Ila nimegundua nyie group 46 ndio mnampango wa kumchafua Rais wetu, maana kila siku mnaanzisha mada mkijifanya kumsifu kwa uongo uongo ambao mnajua wazi utajibiwa na wapenda ukweli ili adhalilike. Na ninahisa operesheni hiyo ina lengo la kumjenga yule aliyeondoka ambaye aliwapa ajira na majuzi kawaombea msaada kwa Rais naye katupa kule kwani shida zenu group 46 sio kipaumbele
 
Rest In Peace Reverend Mtikila.Najua uliipenda sana Tanzania, damu yako haitaenda bure,taratibu virus vimeanza kujitokeza.God bless Tanzania.
Nipo Kwenu Tanzania Kwa KAZI MAALUM Ambayo Hata Hivyo Tayari Nimekwishaimaliza Na Sasa Naelekea Nchini DRC Kwani Juzi Pia Niliimaliza Huko Nchini Uganda. Lakini Nipo Katika MKAKATI MAALUM Wa Kuifanya Tena Nchini Burundi Na Baada Ya Miaka Miwili Ijayo Nitaifanya Tena Hapo Nchini Kenya. Hadi HIMAYA YA KITUTSI Na KIHIMA ITIMIE HAPA AFRIKA YA MASHARIKI.
 
Back
Top Bottom