Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Takribani siku mbili zimepita toka Mbatia alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari makao makuu ya NCCR-Mageuzi Ilala akieleza kupokea ushauri kutoka kwa viongozi wa dini wa kurudi bungeni, lakini cha kustaajabisha kwa sasa takribani wiki moja wabunge wa CUF, CHADEMA wameonekana Dodoma kuhudhuria vikao vya kamati pamoja na wabunge wa CCM ilihali waliapa kutoshirikiana nao.
Mbatia inapaswa ujibu swali hili na sio kukaza mishipa ya shingo huku ukipokea posho kabla ya kikao;
Je imekuwaje wanahudhuria vikao vya bunge kabla ya makubaliano?
Nawasilisha
Mbatia inapaswa ujibu swali hili na sio kukaza mishipa ya shingo huku ukipokea posho kabla ya kikao;
Je imekuwaje wanahudhuria vikao vya bunge kabla ya makubaliano?
Nawasilisha